Orodha ya mastaa wa JamiiForums ambao wakipost ni hatari kwa likes na kuchangiwa hoja zao

Orodha ya mastaa wa JamiiForums ambao wakipost ni hatari kwa likes na kuchangiwa hoja zao

Nilichogundua mada za kiwack(mapenzi),Mahoka,Utunzi,Ucheshi ndio zinapendwa sana,Mada zenye mafunzo hazina wachangiaji,hata wewe ukiweka Mada sijui mpenzi wangu anataka nimle jicho naomba ushauri aisee utapata comments za kufa mtu ila anzisha mada zinazofikirisha hupati mtu watapita kimyakimya.
True,
Halafu tuna mawazo ya Tz ya viwanda,

Tutaishia kuvichora kwenye makaratasi.
lol.
 
Mkuu weka top 10 ya Id zinazoandika na kujibu "Pumba" katika "comments" zao
 
kuna watu mna tabia ya kupenda vibovu, asa list gani mbovu ivo

japo umetutaka kutoa list zetu ila iyo list yako ni mbovu sana. nenda jukwa la intelligence uone wanavyo tupia madude ya maana.
Hata haya majukwaa mengine yana umuhimu sana tu
 
Nilichogundua mada za kiwack(mapenzi),Mahoka,Utunzi,Ucheshi ndio zinapendwa sana,Mada zenye mafunzo hazina wachangiaji,hata wewe ukiweka Mada sijui mpenzi wangu anataka nimle jicho naomba ushauri aisee utapata comments za kufa mtu ila anzisha mada zinazofikirisha hupati mtu watapita kimyakimya.
Watu wanapenda sana mada za mapenzi,kuchekesha nadhani zinawapunguzia mawazo
 
Back
Top Bottom