Orodha ya mastaa wa JamiiForums ambao wakipost ni hatari kwa likes na kuchangiwa hoja zao

Orodha ya mastaa wa JamiiForums ambao wakipost ni hatari kwa likes na kuchangiwa hoja zao

Tena watuache kabisaaa ila mbona sikuoni kwenye list au o kwenye list ya mioyoni mwa watu tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha
Sja wahi kuwa star, nna watu wangu tu nna waelewa na wao wananielewa. Namshukuru Mungu kwa ajili yao tuu. Ina ntosha kabsa hiyo.
 
The bold ashatajwa mno wanatajwa wapya wapya pia wahenga wapumzike
Au mwenzetu kwa kua umetajwa
30715664_2090915171174830_2487353180455698432_n.jpg
 
Hapana nadhani ye katoa list ya upande wa majukwaa ya MMU,chitchat hao wanajulikana kwa nondo za hatari humu toka zamani
hahaa acha basiii"" heading yake inapingana na hiki unachokisema...heading inasema list ya ma star wa jf na sio list ya mastar wa majukwaa ya jf ""....@shunie mzigua Demiss...wamekosekana vipi hawa...huwezi kumtaja mama Sabrina bila kuwahusisha mashost zake hao ....
 
hahaa acha basiii"" heading yake inapingana na hiki unachokisema...heading inasema list ya ma star wa jf na sio list ya mastar wa majukwaa ya jf ""....@shunie mzigua Demiss...wamekosekana vipi hawa...huwezi kumtaja mama Sabrina bila kuwahusisha mashost zake hao ....
Hapo kasahau kabisa tunamuomba aongeze list haiwezekani Demiss,mzigua,natafuta wakosane
 
Ahahahah naomba msinisingizie sijawah kuwa star maisha yangu yote leo mim star wenu wa jf naomba msiseme nimehonga tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mtoa mada kanichekesha sana hapo mwisho eti kuna watu wakitoaga uzi watu hawachangii nimecheka sana
Cc the hearly
 
Hapo kasahau kabisa tunamuomba aongeze list haiwezekani Demiss,mzigua,natafuta wakosane
hakufanya tafiti zake vyema ..that's why waona alijiwekea defence mechanism kwakusema kuwa anajua fika kuna watu watakao pinga...hivi kama utafiti umefnyika vizuri na ukabakia kuwa na upungufu finyu tutapinga ili iwe nini ?? hivi kunauzi unaongoza kwa kutrend kama Uzi wa jembekillo humu ndani . hata kama concept yke imekaa kikawaida tu
 
hakufanya tafiti zake vyema ..that's why waona alijiwekea defence mechanism kwakusema kuwa anajua fika kuna watu watakao pinga...hivi kama utafiti umefnyika vizuri na ukabakia kuwa na upungufu finyu tutapinga ili iwe nini ?? hivi kunauzi unaongoza kwa kutrend kama Uzi wa jembekillo humu ndani . hata kama concept yke imekaa kikawaida tu
Bahati mbaya bana hata kwenye ufalme wa Mungu wapo watakaosahaulika kama nyinyi hivi
Naomba usinirushie mawee
 
Back
Top Bottom