Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Hapo mwisho mtoa mada umenichekesha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaTena watuache kabisaaa ila mbona sikuoni kwenye list au o kwenye list ya mioyoni mwa watu tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Basi tupongeze mastar wa jf tunatrend jf[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]Hahahaha
Sja wahi kuwa star, nna watu wangu tu nna waelewa na wao wananielewa. Namshukuru Mungu kwa ajili yao tuu. Ina ntosha kabsa hiyo.
Au mwenzetu kwa kua umetajwaThe bold ashatajwa mno wanatajwa wapya wapya pia wahenga wapumzike
HahahaaBasi tupongeze mastar wa jf tunatrend jf[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
hahaa acha basiii"" heading yake inapingana na hiki unachokisema...heading inasema list ya ma star wa jf na sio list ya mastar wa majukwaa ya jf ""....@shunie mzigua Demiss...wamekosekana vipi hawa...huwezi kumtaja mama Sabrina bila kuwahusisha mashost zake hao ....Hapana nadhani ye katoa list ya upande wa majukwaa ya MMU,chitchat hao wanajulikana kwa nondo za hatari humu toka zamani
Nakumbuka kabisa mpaka tulipoishia (Easter holiday) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha, usinikumbushe tulikoanzia lakini!
Najua hilo na ukiwa karibu na uwaridi lazima unukieHahahaa
Wewe nakupongeza
Unajua always naku appriciate.
Sikujua kama nitatajwa na uzi nimeona nishalewaa aiseeAu mwenzetu kwa kua umetajwaView attachment 769130
Hapo kasahau kabisa tunamuomba aongeze list haiwezekani Demiss,mzigua,natafuta wakosane
Yupo anazurura leo humu utafikiri anakagua sijui niniHahaha
espy my mentor
HahahaYupo anazurura leo humu utafikiri anakagua sijui nini
Pm zangu zisizioni umeziiba wewe au?Hahaha
Mwache azurure hapo atapotea kama wiki hivi
Halaf atarud tena
Nakumbuka kabisa mpaka tulipoishia (Easter holiday) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hakufanya tafiti zake vyema ..that's why waona alijiwekea defence mechanism kwakusema kuwa anajua fika kuna watu watakao pinga...hivi kama utafiti umefnyika vizuri na ukabakia kuwa na upungufu finyu tutapinga ili iwe nini ?? hivi kunauzi unaongoza kwa kutrend kama Uzi wa jembekillo humu ndani . hata kama concept yke imekaa kikawaida tuHapo kasahau kabisa tunamuomba aongeze list haiwezekani Demiss,mzigua,natafuta wakosane
HahahaPm zangu zisizioni umeziiba wewe au?
Hapo tulimtuma mwakilishi wetu Mama Sabrina
Bahati mbaya bana hata kwenye ufalme wa Mungu wapo watakaosahaulika kama nyinyi hivihakufanya tafiti zake vyema ..that's why waona alijiwekea defence mechanism kwakusema kuwa anajua fika kuna watu watakao pinga...hivi kama utafiti umefnyika vizuri na ukabakia kuwa na upungufu finyu tutapinga ili iwe nini ?? hivi kunauzi unaongoza kwa kutrend kama Uzi wa jembekillo humu ndani . hata kama concept yke imekaa kikawaida tu