Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
True,Nilichogundua mada za kiwack(mapenzi),Mahoka,Utunzi,Ucheshi ndio zinapendwa sana,Mada zenye mafunzo hazina wachangiaji,hata wewe ukiweka Mada sijui mpenzi wangu anataka nimle jicho naomba ushauri aisee utapata comments za kufa mtu ila anzisha mada zinazofikirisha hupati mtu watapita kimyakimya.
Ntumie nauli nijeMzigua njoo Pm
HaahahahahahMimi ni star wa PM
Hata haya majukwaa mengine yana umuhimu sana tukuna watu mna tabia ya kupenda vibovu, asa list gani mbovu ivo
japo umetutaka kutoa list zetu ila iyo list yako ni mbovu sana. nenda jukwa la intelligence uone wanavyo tupia madude ya maana.
Nadhani kakusahau tu kabisaFake
Watu wanapenda sana mada za mapenzi,kuchekesha nadhani zinawapunguzia mawazoNilichogundua mada za kiwack(mapenzi),Mahoka,Utunzi,Ucheshi ndio zinapendwa sana,Mada zenye mafunzo hazina wachangiaji,hata wewe ukiweka Mada sijui mpenzi wangu anataka nimle jicho naomba ushauri aisee utapata comments za kufa mtu ila anzisha mada zinazofikirisha hupati mtu watapita kimyakimya.
Hahahahahaua comment zenuWawe makini wasijiingize kwenye matumizi ya madawa ya kulevya na skendo za kijinga mana maisha ya kistaa yana changamoto sana...
[emoji125]
Hao ni majukwaaa yenu huko ya stress kataja wa huku tunaowatoa stressList ya watoto wenzako!
Umeacha watu muhimu kama Chief-mkwawa, Mwl Rct, Pascal Mayalla na wengineo...
Wee kwenye ukuda huwaga hukosekanii nashangaa unatupondaahahaa akili zake. zimechacha huyu ....hii ndio athari ya kushinda kwenye majukwaa ya ukuda
Hahah!!Hahahahahaua comment zenu
Hahahaahhahaah iceman mnaniuaaYaan sijatajwa!! Huo utafiti jua ni wa twaweza
Feki [emoji2]
List ya watoto wenzako!
Umeacha watu muhimu kama Chief-mkwawa, Mwl Rct, Pascal Mayalla na wengineo...
Ontario anafaa awe namba moja kabisaa cc IbrahimuUnaota wewe Ontario umemsahau?
Nimemiss jamanii The listThe List je? mzee wa Rubbish?
Skunk!
AhahahahahahhaMkuu,
Mimi ingewezekana kugawia likes zangu zote kwa wanaozihitaji ningewatolea kama sadaka.
Kuandamana kwenyewe hatuwezi acha tuchekeshane tuTrue,
Halafu tuna mawazo ya Tz ya viwanda,
Tutaishia kuvichora kwenye makaratasi.
lol.