Orodha ya mataifa yenye jeshi lenye nguvu kubwa duniani

Orodha ya mataifa yenye jeshi lenye nguvu kubwa duniani

badili swali,
sema ingekua marekani kaivamia Mexico alafu mexico asaidiwe na nchi zote (uk, france, russia, germany, italy, spain,), alafu hapo hapo apigwe vikwazo asiweze kama alivyopigwa russia.... je US angeendesha vita kwa zaidi ya miez 5???

Ilo pia badili mpe hili
Marekani na nato yake walipotaka kumtoa rais Assad wa Syria mrusi akaingilia mpk saiv Assad yuko madarakan au lah.na alipotaka kuivamia cuba [emoji1083] mrusi akaingia tena [emoji23]nn kilihappen pande zile,saiv mrusi kaingia ukraine kwann marekani isilipize kisasi kwa kuingia Ukraine kumzuia urusi kama mrusi alivomzuia mara kadhaa???
 
Nakuliza swala mtoa mada

Endapo israel angeivamia ukraine alafu ukraine asaidiwe na Nato countries + usa pia israel iwekeze vikwazo lukuki na nato countries + usa,

Swali; unafikiri israel bado angekua na nguvu ya kupigana na ukraine mpaka sasa?
Acha ifanyike kwanza ndio tupate jibu, tusiwe manabii wa uongo.
 
Mataifa tano yenye jeshi lenye nguvu duniani:

1. USA
2. Israel
3. Russia
4. China
5. India

Kwahiyo, Uingereza, Ufaransa, Japan, Korea kote huko majeshi yao madhaifu kwa Israel?
 
List hii hapa iliyo sahihi
RDT_20230609_1624099059519441004344187.jpg
 
Ilo pia badili mpe hili
Marekani na nato yake walipotaka kumtoa rais Assad wa Syria mrusi akaingilia mpk saiv Assad yuko madarakan au lah.na alipotaka kuivamia cuba [emoji1083] mrusi akaingia tena [emoji23]nn kilihappen pande zile,saiv mrusi kaingia ukraine kwann marekani isilipize kisasi kwa kuingia Ukraine kumzuia urusi kama mrusi alivomzuia mara kadhaa???
Enzi zake zinakwenda ukingoni. Ameingia Cha kike.
 
Kiukweli ni:
USA
CHINA
FRANCE
RUSSIA
UK
INDIA
ISRAEL
SOUTH KOREA
TURKEY
IRAN
 
Hivi inakuwaje Russia anayewahenyesha NATO wote Pamoja na EU azidiwe na USA half na Israel et?
Russia imewahenyesha NATO wapi pale Ukraine ile vita Urusi anahenyeshwa na jeshi la Ukraine na nchi za NATO zinatoa silaha tu
 
Back
Top Bottom