Orodha ya Miji na Wilaya zenye mzunguko mkubwa wa Fedha na Uhakika wa Mapato

Orodha ya Miji na Wilaya zenye mzunguko mkubwa wa Fedha na Uhakika wa Mapato

Haijaanza kujengwa Serikali inamobilise funds,watafanya yafuatayo,

1.Watajenga njia 4 yaani dual carriage way kuanzia Inyala hadi Songwe.

2.Watajenga Mbeya Bypass kuanzia Uyole hadi Mbalizi,

3.Watajenga Iwambi Bypass ikatokee karibu na airport


Kwa hiyo kuna double road au ring road inatengenezwa Mbeya.
Au ndiyo hivyo vi service road vinavyoleta vumbi.
 
Kuwa tuu na movement kubwa ya watu sio ndio kwamba kuna hela.Baada ya Dar bandari yenye shughuli nyingi ni Tanga ,pia baada ya Dar,Pwani mkoa wenye viwanda vingi ni Tanga.

Je wewe unaamini siasa uchwara kwamba kijiji cha Wachuuzi cha Kahama kinaweza kuizidi Tanga kwa lipi?
Kahama ilichokufanya huko nyuma..itakua ni zaidi ya psychological torture..pole sana ila tunaendelea kutengeneza pesa...chuki zako na kahama na kanda ya ziwa kwa ujumla ni kama kelele za chura..wasaka mali wote mejichimbia kanda ya ziwa where wealth is being generated.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kahama ilichokufanya huko nyuma..itakua ni zaidi ya psychological torture..pole sana ila tunaendelea kutengeneza pesa...chuki zako na kahama na kanda ya ziwa kwa ujumla ni kama kelele za chura..wasaka mali wote mejichimbia kanda ya ziwa where wealth is being generated.

#MaendeleoHayanaChama
Wasaka mali za ushirikina labda ila kama na malighafi za kuzalisha pesa wako Njombe na Kanda yote ya Kusini kiujumla.

This year Kahama 7.89b Vs Njombe 7.5b ,last year Kahama 7.12b Vs Njombe 5.6b

Baada ya kusema hayo ni kwamba Njombe TC tunadaiwa mil.300 tuu kufunga gap na Kahama kutoka gap ya mabilioni 😃😃.

Sasa kwa Takwimu hizo unazani wapi kuna wasaka pesa?👇👇 Njombe

Screenshot_20210806-211311.png


Screenshot_20210806-211252.png


Screenshot_20210806-211229.png


Screenshot_20210806-211204.png


Screenshot_20210806-211033.png


Screenshot_20210806-204620.png


Screenshot_20210806-204601.png


Screenshot_20210806-211303.png
 
Wilaya za mkoa wa Lindi na Pwani bado zina fursa nyingi Sana ambazo ni untapped, utashangaa Sana by 2025.

Mkoa wa Tabora zaidi ya Kaliua kuna nini huko kwingine?

Hata Chalinze, kama mji hauna biashara youote, tozo za machimbo ya kokoto nyeusi(granite) za Msolwa, Mdaula na Vigwaza vimeipaisha sana Chalinze
 
Hata Chalinze, kama mji hauna biashara youote, tozo za machimbo ya kokoto nyeusi(granite) za Msolwa, Mdaula na Vigwaza vimeipaisha sana Chalinze
Kila sehemu Mungu kawapa chakula Chao,miji mingi ya Kanda ya Ziwa pia inategemea tozo na service charge za Madini.

Bora hata Njombe na Mafinga kuna mchanganyiko wa shughuli kiasi licha ya kutegemea zaidi ushuru wa Mazao ya misitu .

Wilaya za Mkoa wa Iringa zimefeli Sana mwaka huu kulinganisha na mwaka Jana shida nini?

Kwa sera ya serikali kwamba Halmashauri zenye mapato zaidi ya 5b zitumie 60% ya mapato kwenye maendeleo bila shaka sasa tutaanza kuona impacts ya hizo pesa kwenye jamii badala ya kukusanya nyingi afu wanaenda kutumia wengine.
 
Kahama ilichokufanya huko nyuma..itakua ni zaidi ya psychological torture..pole sana ila tunaendelea kutengeneza pesa...chuki zako na kahama na kanda ya ziwa kwa ujumla ni kama kelele za chura..wasaka mali wote mejichimbia kanda ya ziwa where wealth is being generated.

#MaendeleoHayanaChama
Hakuna Kitu huko Kanda ya Ziwa mkuu ,mnajilisha upepo tuu👇

Screenshot_20220506-134844.png
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Tanzania.

Ifuatayo ni List ya Miji,Majiji,Manispaa na Wilaya 50 Kati ya 184 ambazo zina mzunguko Mkubwa wa fedha na kwamba wananchi wake Wana kipato cha uhakika na hivyo kuwa maeneo yanayofaa zaidi kwa fursa za biashara mbalimbali.

Mpangilio umewekwa kwa kuangalia wingi wa mapato halisi kuanzia kiasi cha Tsh. bilioni 3.5 na kuendelea yaliyokusanywa na Halmashauri mwaka wa fedha 2020/21 kutoka vyanzo vya shughuli za kiuchumi za wananchi kama biashara,kilimo,ufugaji,viwanda nk. Figures in Tsh.bilion

1.Dar es Salaam CC(Ilala) = 48.17

2.Dodoma CC=36.32

3.Kinondoni MC=33.11

4.Temeke MC=28.05

5.Mbeya CC=15.27

6.Ubungo MC=14.22

7.Mwanza CC=12.70

8.Arusha CC=12.36

9.Tanga CC=11.07

10.Chalinze DC=9.64

11.Geita TC=9.38

12.Kahama MC=7.98

13.Ilemela MC=7.76

14.Mkuranga DC=7.65

15.Njombe TC=7.50

16 . Morogoro MC=7.18

17.Kigamboni MC=6.90

18.Mufindi DC=6.52

19.Tunduma TC=6.33

20.Tarime DC=5.76

21.Rungwe DC=5.53

22.Moshi MC=5.21

23.Rufiji DC=5.21

24.Mbarali DC=5.13

25.Geita DC=4.92

26.Muleba DC=4.84

27.Kibaha TC=4.54

28.Mafinga TC=4.36

29.Nachingwea DC=4.30

30.Kilwa DC=4.22

31.Hanang' DC=4.16

32.Kilosa DC=4.16

33.Tandahimba DC=4.10

34.Mbeya DC=4.06

35.Ruangwa DC=4.03

36.Mbozi DC=3.95

37.Msalala DC=3.92

38.Mbinga DC=3.76

39.Kyela DC=3.75

40.Misenyi DC=3.68

41.Kaliua DC=3.65

42.Morogoro DC=3.62

43.Masasi DC=3.62

44.Karatu DC=3.57

45.Arusha DC=3.54

46.Njombe DC=3.54

47.Tunduru DC=3.51

48.Meru DC=3.50

49.Mtwara MC=3.46

50.Chato DC=3.46




My Take.Hizi Takwimu zinaonesha Uchumi unakua,mwaka wa fedha uliopita kulikuwa na Halmashauri 37 tuu lakini sasa ziko 50 zilizokidhi vigezo.

Takwimu hizi ni kwa Mujibu wa website ya Tamisemi.[emoji116]
To live and die in DSM, period.
 
Hata Chalinze, kama mji hauna biashara youote, tozo za machimbo ya kokoto nyeusi(granite) za Msolwa, Mdaula na Vigwaza vimeipaisha sana Chalinze
Kwamba chalinze hakuna biashara yoyote, fafanua
 
Hakuna Kitu huko Kanda ya Ziwa mkuu ,mnajilisha upepo tuu👇

View attachment 2213977

Punguza chuki na hoja zako mfu,

Kanda ya Ziwa ina mikoa ya Mara, Mwanza, Kagera, Simiyu, Geita na Shinyanga

Mwanza ina 33bl, Geita ina 20bl na Shinyanga ina 21 bl,,,, inamaana kama hii mikoa ( Shinyanga na Geita) isingekuwa imemegwa kutoka Mwanza basi MWANZA ingekuwa imekusanya jumla ya tsh 74bl.

Na kama tukiongezea mikoa mingne kanda ya Ziwa ya Kagera 21 bl, Mara 17bl na Simiyu 10bl inafanya kanda ya Ziwa kwa ujumla iwe ina makusanyo ya tsh 122bl

Hitimisho ni kwamba ukitoa kanda ya Pwani ( Dar, pwani) basi kanda ya Ziwa ndio inayofuatia kwa makusanyo makubwa zaidi nchini
 
Mkuu kati ya mkuranga na chalinze wilaya gan nzuri kwa makazi ya kuishi
kaa chalinze wewe!! ukiingia bongo unaanzia kuonsa mahali pasafi mbezi au kimala...lkn mkuranga unaanza kuona uchafuuuuuu!
 
Wasaka mali za ushirikina labda ila kama na malighafi za kuzalisha pesa wako Njombe na Kanda yote ya Kusini kiujumla.

This year Kahama 7.89b Vs Njombe 7.5b ,last year Kahama 7.12b Vs Njombe 5.6b

Baada ya kusema hayo ni kwamba Njombe TC tunadaiwa mil.300 tuu kufunga gap na Kahama kutoka gap ya mabilioni [emoji2][emoji2].

Sasa kwa Takwimu hizo unazani wapi kuna wasaka pesa?[emoji116][emoji116] Njombe

View attachment 1887443

View attachment 1887444

View attachment 1887445

View attachment 1887447

View attachment 1887448

View attachment 1887449

View attachment 1887450

View attachment 1887451
Acha kufananisha KAHAMA na upuuzi
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Tanzania.

Ifuatayo ni List ya Miji,Majiji,Manispaa na Wilaya 50 Kati ya 184 ambazo zina mzunguko Mkubwa wa fedha na kwamba wananchi wake Wana kipato cha uhakika na hivyo kuwa maeneo yanayofaa zaidi kwa fursa za biashara mbalimbali.

Mpangilio umewekwa kwa kuangalia wingi wa mapato halisi kuanzia kiasi cha Tsh. bilioni 3.5 na kuendelea yaliyokusanywa na Halmashauri mwaka wa fedha 2020/21 kutoka vyanzo vya shughuli za kiuchumi za wananchi kama biashara,kilimo,ufugaji,viwanda nk. Figures in Tsh.bilion

1.Dar es Salaam CC(Ilala) = 48.17

2.Dodoma CC=36.32

3.Kinondoni MC=33.11

4.Temeke MC=28.05

5.Mbeya CC=15.27

6.Ubungo MC=14.22

7.Mwanza CC=12.70

8.Arusha CC=12.36

9.Tanga CC=11.07

10.Chalinze DC=9.64

11.Geita TC=9.38

12.Kahama MC=7.98

13.Ilemela MC=7.76

14.Mkuranga DC=7.65

15.Njombe TC=7.50

16 . Morogoro MC=7.18

17.Kigamboni MC=6.90

18.Mufindi DC=6.52

19.Tunduma TC=6.33

20.Tarime DC=5.76

21.Rungwe DC=5.53

22.Moshi MC=5.21

23.Rufiji DC=5.21

24.Mbarali DC=5.13

25.Geita DC=4.92

26.Muleba DC=4.84

27.Kibaha TC=4.54

28.Mafinga TC=4.36

29.Nachingwea DC=4.30

30.Kilwa DC=4.22

31.Hanang' DC=4.16

32.Kilosa DC=4.16

33.Tandahimba DC=4.10

34.Mbeya DC=4.06

35.Ruangwa DC=4.03

36.Mbozi DC=3.95

37.Msalala DC=3.92

38.Mbinga DC=3.76

39.Kyela DC=3.75

40.Misenyi DC=3.68

41.Kaliua DC=3.65

42.Morogoro DC=3.62

43.Masasi DC=3.62

44.Karatu DC=3.57

45.Arusha DC=3.54

46.Njombe DC=3.54

47.Tunduru DC=3.51

48.Meru DC=3.50

49.Mtwara MC=3.46

50.Chato DC=3.46




My Take.Hizi Takwimu zinaonesha Uchumi unakua,mwaka wa fedha uliopita kulikuwa na Halmashauri 37 tuu lakini sasa ziko 50 zilizokidhi vigezo.

Takwimu hizi ni kwa Mujibu wa website ya Tamisemi.[emoji116]

Bukoba mbona haionekani?
 
Back
Top Bottom