Orodha ya Mistari iliyo nichanganya kwenye Biblia takatifu kuhusu Ubatizo

Orodha ya Mistari iliyo nichanganya kwenye Biblia takatifu kuhusu Ubatizo

1 Wakorintho 1:19
Kwa kuwa imeandikwa, Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, Na akili zao wenye akili nitazikataa.
1 Wakorintho 1:20
Yu wapi mwenye hekima? Yu wapi mwandishi? Yu wapi mlete hoja wa zamani hizi? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa ni upumbavu?
1 Wakorintho 1:21
Kwa maana katika hekima ya Mungu, dunia isipopata kumjua Mungu kwa hekima yake, Mungu alipenda kuwaokoa waaminio kwa upuzi wa lile neno linalohubiriwa.

Mkiri Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako ili upate kuwa ndani ya kweli yake na kuvuna matunda ya utukufu wake
Mkuu, tembelea na hivo vifungu nimevyokuwekea hapo kuhusu ubatizo wa MOTO
 
Ahsante kwa majibu yako. Dhana ya Dhambi ya Asili si sehemu ya mafundisho ya Kiislamu. Waislamu tunaamini kwamba wanadamu wamezaliwa bila dhambi na wana nia ya kumpendeza Mungu. Tuna uhuru wa kuchagua, unaotufanya tupotee nyakati fulani, lakini Mungu yuko tayari kusamehe daima. Ikiwa wewe unasema unabatizwa kwa kufuta dhambi ya asili inamaanisha ADAM na HAWA hawakusamehewa madhambi yao na Mwenyezi MUNGU. Ila shukran kwa jibu lako
Umekubali kwamba sikuzaliwa muislamu?
 
Msaada,

Kwanza kabisa, mimi ni muumini wa dini ya Kiisilamu, lakini naisoma Biblia hatua kwa hatu, Mistari ifuatayo imenichanganya sana kunako swala la Ubatizo. Inaaminika kwamba kila mtu huzaliwa akiwa ni muislamu hadi pale atapobatizwa ndio atakuwa Mkristo safi. Sasa ubatizaji nimeokutana nao katika biblia naona umegawanyika vifungu vitatu na sielewi kipi ni sahihi kufuatwa.

MATHAYO 3:11
Kweli mimi ''nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba'' bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake; ''yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.''

MARKO 1:8
Mimi ''niliwabatiza kwa maji; bali yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.''

LUKA 3:16
Yohana alijibu akawaambia wote, Kweli mimi ''nawabatiza kwa maji;' lakini yuaja mtu mwenye nguvu kuliko mimi, ambaye mimi sistahili kuilegeza gidamu ya viatu vyake; ''yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto''

YOHANA 1:33
Wala mimi sikumjua; lakini ''yeye aliyenipeleka kubatiza kwa maji, huyo aliniambia, ''Yeye ambaye utamwona Roho akishuka na kukaa juu yake, ''huyo ndiye abatizaye kwa Roho Mtakatifu.''
.................

Ubatizo wa Yohana ni "maji" , ubatizo wa yesu ni "roho mtakatifu na moto". Kwahiyo Yohana alibatiza watu katika maji ya mto kama yordani (maji mengi) lakini yesu na wanawafunzi wake walibatiza bila maji:

Navyofahamu "ubatizo" ni neno lenye asili ya kigiriki maana yake: "kuzama mwili wote"

kwahiyo;

1) Ubatizo wa maji: kuzama katika maji mwili wote (full immersed in water)

2) Ubatizo wa moto; ulipaswa kuwa "kuzama mwili wote katika moto unaowaka"

3) Ubatizo wa roho mtakatifu ulipaswa kuwa "kumezwa mwili wote na huyu roho mtakatifu"
..............

1) ubatizo wa maji umethibiti kutumiwa na Yohana na ata Yesu amebatizwa na Yohana kwa ubatizo huo katika mto yordani pia wakristo ata sasa wanatumia ubatizo huo "tunashuhudia"

2) ubatizo wa moto haijathibiti kutumika na yeyote, mfano wa ubatizo huu ulipaswa kuwa kama Ibrahimu katika kisa cha kuchomwa moto na Nimrod kwa kosa la kuvunja masanamu yao akatoka salama bila kuungua.

3) Ubatizo wa roho mtakatifu, haijathibiti kutumika (kama maana halisi ya neno "ubatizo") ubatizo huu ulipaswa kuwa kama kisa cha nabii Yona (Yunus) kumezwa na samaki alafu kumtema akiwa hai basi roho mtakatifu katika ubatizo huu alitakiwa kuwameza watu, na kuwatema wakiwa hai.
.........

Sasa tumeona

1) Ubatizo wa Yohana -- kutumia maji (confirmed)
2) Yesu na wanafunzi wake walibatiza bila maji lakini haikuoneshwa namna walivyobatiza watu--kivipi (hidden)
3) Swali linabaki sasa kujua "ubatizo aliofundisha paulo" --ni upi ??

Rejea hoja: "ubatizo wa Yohana na ubatizo wa Yesu" swali je Paulo kafundisha ubatizo gani ? je ndugu zetu wakristo wanafuata ubatizo gani ?


View attachment 2181926
Tunaomba mistari inayochanganya kuhusu matumizi ya pombe
 
Umekubali kwamba sikuzaliwa muislamu?
Lakini mbona Yesu (a.s.) hakurithi dhambi ya asili hata uhitajike kwake ubatizo huo wa Yohana. (Tazama Kumbukumbu la Torati 24:16 na Ezekieli 18:20). Na kwa kweli hiki pekee ni kigezo tosha kinachomvua Yesu (a.s.) na dhana ya kubatizwa na Yohana.

Ndugu usipobatizwa bado unakuwa ni Muislamu.
 
Hivi nawewe unakubali kabisa kuwa uislam ulikuwepo kabla ya watu?

Huwa mnanichanganya hapo tu, kwasababu ushahidi wa kihistoria unaonesha wazi kuwa uislamu umekuja recently
Turudi kwenye hoja ndugu, vifungu hivyo vya ubatizo wa Maji, ubatizo wa roho mtakatifu na ubatizo wa moto kipi kinatakiwa kufuatwa
 
Itakuchanganya sana...
Mambo mengine muachie ALLAH SUBHANAHU WA TAAALA
Yale yanayopaswa kumuachia tayari ameyaficha na wala hatuyajui, ila kwa haya aliyotufunulia ni vyema kuyafafanu. Unaelewa vipi kuhusu ubatizo wa MOTO, MAJI NA ROHO MTAKATIFU
 
Yale yanayopaswa kumuachia tayari ameyaficha na wala hatuyajui, ila kwa haya aliyotufunulia ni vyema kuyafafanu. Unaelewa vipi kuhusu ubatizo wa MOTO, MAJI NA ROHO MTAKATIFU
Tunayajua ila maisha mazima sio kwa uwezo wetu, ni kwa uwezo wake...tunamtegemea.
Ubatizo wa roho mtakatifu ni kujawa na roho wa Mungu aliyemtakatifu ndani yako... na hio haikuwako kabla ya Yesu( nafikiri ndio maana yesu alibatizwa kwa maji)
Pia maji yana maana nyingi sana juu ya mtu.. ubatizo wa Roho mtakatifu ilianza baada ya Yesu kufa


Matendo ya mitume 2 : 1 - 4
Siku ya Pentekoste ilipowadia, waamini wote walikuwa mahali pamoja. Ghafula sauti kama mvumo mkubwa wa upepo mkali uliotoka mbinguni ukaijaza nyumba yote walimokuwa wameketi. Zikatokea ndimi kama za moto zilizogawanyika na kukaa juu ya kila mmoja wao. Wote wakajazwa na Roho Mtakatifu, wakaanza kunena kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia.
 
Tunayajua ila maisha mazima sio kwa uwezo wetu, ni kwa uwezo wake...tunamtegemea.
Ubatizo wa roho mtakatifu ni kujawa na roho wa Mungu aliyemtakatifu ndani yako... na hio haikuwako kabla ya Yesu( nafikiri ndio maana yesu alibatizwa kwa maji)
Pia maji yana maana nyingi sana juu ya mtu.. ubatizo wa Roho mtakatifu ilianza baada ya Yesu kufa


Matendo ya mitume 2 : 1 - 4
Siku ya Pentekoste ilipowadia, waamini wote walikuwa mahali pamoja. Ghafula sauti kama mvumo mkubwa wa upepo mkali uliotoka mbinguni ukaijaza nyumba yote walimokuwa wameketi. Zikatokea ndimi kama za moto zilizogawanyika na kukaa juu ya kila mmoja wao. Wote wakajazwa na Roho Mtakatifu, wakaanza kunena kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia.
Ahsante kwa ufafnuzi lakini bado sijapata kuona wapi Yesu au wafuase wake wamebatizwa kwa MOTO na ROHO MTAKATIFU kama vifungu nilivyo vitoa vinavyo ainisha kwamba atabatiza kwa MOTO
 
Msaada,

Kwanza kabisa, mimi ni muumini wa dini ya Kiisilamu, lakini naisoma Biblia hatua kwa hatu, Mistari ifuatayo imenichanganya sana kunako swala la Ubatizo. Inaaminika kwamba kila mtu huzaliwa akiwa ni muislamu hadi pale atapobatizwa ndio atakuwa Mkristo safi. Sasa ubatizaji nimeokutana nao katika biblia naona umegawanyika vifungu vitatu na sielewi kipi ni sahihi kufuatwa.

MATHAYO 3:11
Kweli mimi ''nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba'' bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake; ''yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.''

MARKO 1:8
Mimi ''niliwabatiza kwa maji; bali yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.''

LUKA 3:16
Yohana alijibu akawaambia wote, Kweli mimi ''nawabatiza kwa maji;' lakini yuaja mtu mwenye nguvu kuliko mimi, ambaye mimi sistahili kuilegeza gidamu ya viatu vyake; ''yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto''

YOHANA 1:33
Wala mimi sikumjua; lakini ''yeye aliyenipeleka kubatiza kwa maji, huyo aliniambia, ''Yeye ambaye utamwona Roho akishuka na kukaa juu yake, ''huyo ndiye abatizaye kwa Roho Mtakatifu.''
.................

Ubatizo wa Yohana ni "maji" , ubatizo wa yesu ni "roho mtakatifu na moto". Kwahiyo Yohana alibatiza watu katika maji ya mto kama yordani (maji mengi) lakini yesu na wanawafunzi wake walibatiza bila maji:

Navyofahamu "ubatizo" ni neno lenye asili ya kigiriki maana yake: "kuzama mwili wote"

kwahiyo;

1) Ubatizo wa maji: kuzama katika maji mwili wote (full immersed in water)

2) Ubatizo wa moto; ulipaswa kuwa "kuzama mwili wote katika moto unaowaka"

3) Ubatizo wa roho mtakatifu ulipaswa kuwa "kumezwa mwili wote na huyu roho mtakatifu"
..............

1) ubatizo wa maji umethibiti kutumiwa na Yohana na ata Yesu amebatizwa na Yohana kwa ubatizo huo katika mto yordani pia wakristo ata sasa wanatumia ubatizo huo "tunashuhudia"

2) ubatizo wa moto haijathibiti kutumika na yeyote, mfano wa ubatizo huu ulipaswa kuwa kama Ibrahimu katika kisa cha kuchomwa moto na Nimrod kwa kosa la kuvunja masanamu yao akatoka salama bila kuungua.

3) Ubatizo wa roho mtakatifu, haijathibiti kutumika (kama maana halisi ya neno "ubatizo") ubatizo huu ulipaswa kuwa kama kisa cha nabii Yona (Yunus) kumezwa na samaki alafu kumtema akiwa hai basi roho mtakatifu katika ubatizo huu alitakiwa kuwameza watu, na kuwatema wakiwa hai.
.........

Sasa tumeona

1) Ubatizo wa Yohana -- kutumia maji (confirmed)
2) Yesu na wanafunzi wake walibatiza bila maji lakini haikuoneshwa namna walivyobatiza watu--kivipi (hidden)
3) Swali linabaki sasa kujua "ubatizo aliofundisha paulo" --ni upi ??

Rejea hoja: "ubatizo wa Yohana na ubatizo wa Yesu" swali je Paulo kafundisha ubatizo gani ? je ndugu zetu wakristo wanafuata ubatizo gani ?


View attachment 2181926
Iamini injili acha kucelewa
 
Iko hivi, vitabu vyote watu wanavyoviita vitakatifu vimeandikwa katika codes, na hizi codes sio rahisi kuzi.break kama ulivyosoma, mfano mdogo ni sheria. Huwezi kuijua sheria kama si mwanasheria. Vinginevyo utatafsiri tofauti vifungu vya sheria
 
Iko hivi, vitabu vyote watu wanavyoviita vitakatifu vimeandikwa katika codes, na hizi codes sio rahisi kuzi.break kama ulivyosoma, mfano mdogo ni sheria. Huwezi kuijua sheria kama si mwanasheria. Vinginevyo utatafsiri tofauti vifungu vya sheria
Kwa hiyo tunafanyaje? ni upi muongozo
 
Sasa dhumuni la kubatizwa ni lipi kama hukuzaliwa Muislamu. Naomba unifahamishe
Dhumuni la kubatizwa ni kuondolewa dhambi ya asili tuliyoirithi kutoka kwa Adamu na Hawa. Kwa mantiki hii ikiwa binadamu huzaliwa akiwa ni Muislamu basi uislamu ndio dhambi yenyewe ya asili. Basi nyinyi mwazaliwa dhambini na kufa dhambini. Poleni
 
Dhumuni la kubatizwa ni kuondolewa dhambi ya asili tuliyoirithi kutoka kwa Adamu na Hawa. Kwa mantiki hii ikiwa binadamu huzaliwa akiwa ni Muislamu basi uislamu ndio dhambi yenyewe ya asili. Basi nyinyi mwazaliwa dhambini na kufa dhambini. Poleni
Ahsante ndugu, na vipi kuhusu ubatizo wa MOTO
 
Anzia kwenye vitabu vimeandikwa na waandishi watatu tofauti kwaiyo kila mmoja ipo jinsi anavyoelezea jambo lilelile ila maneno yaliyotumika yanaweza yasifanane hapo wewe shika lengo kuu la kinachowasilishwa apo
Pili usipende kuyatafasiri maneno ya biblia kwa kusoma aya moja fuata mfululizo wa sura nzima imebeba fundisho gani (yona hakumezwa na samaki ili kubatizwa)
 
Back
Top Bottom