Orodha ya Mistari iliyo nichanganya kwenye Biblia takatifu kuhusu Ubatizo

Orodha ya Mistari iliyo nichanganya kwenye Biblia takatifu kuhusu Ubatizo

Iko hivi, vitabu vyote watu wanavyoviita vitakatifu vimeandikwa katika codes, na hizi codes sio rahisi kuzi.break kama ulivyosoma, mfano mdogo ni sheria. Huwezi kuijua sheria kama si mwanasheria. Vinginevyo utatafsiri tofauti vifungu vya sheria
Ndomana ameleta hapa sasa wenye kuzijua izo code wafafanue.
 
Huwa ni Shida mno kumuelewesha mtu aliekaririshwa!!
Ni vyema ukajikita kuchambua mambo yanayohusu Dini YAKO,ila uking'ang'ana na kuchambua Ukristo ambao sisi tunaongozwa na Roho😁hivyo tunaenenda kwa Imani,na ninyi mnaoongozwa na Sheria hautaambulia kitu.
Sawa ongozwa na roho utoe ufafanuzi kwani shida ipo wapi?
 
Tatizo unasoma Biblia kama unasoma gazeti. Sote tuliobatizwa kwa Yesu tumebatizwa kwa Roho Mtakatifu na Moto. Moto imetumika Kama lugha ya picha ikimaanisha mateso.
Ni wazi na hata Biblia imesema (sikumbuki vifungu maana huwa nasoma Biblia kuielewa na si kukariri) kuwa wote wampokeao Yesu Kristo hawana budi kuteseka kujaribiwa na ndio maana ya kubatizwa kwa Moto. Lakini tufurahi tupitiapo katika mateso na majaribu maana baada ya hayo yaja faraja. Ukristo sio mwepesi.
Mmh mbona maji yalitumika kama maji pure ( H2O)na hayakutumika kama lugha ya picha kwa nini moto tu utumike kama lugha ya picha?
 
Ubatizo maana yake "kuzamisha" kama ulivyosema. Ubatizo upo wa aina mbili.
1. Ubatizo wa maji tena mengi- Hii ni ishara ya nje kuwa umeamini, kutubu na kuondolewa dhambi zako mara baada ya kutubu. Yesu alibatizwa hivi na Yohana japo hakuwa na dhambi ili ilikuwa ni "dhihirisho kwetu sisi kutimiza yote" na ndio maana baada ya kubatizwa tu "Roho alikuja/alijifunua kama njiwa" pia na Yesu mwenyewe alibatiza hivi pamoja na wanafunzi wake (Yohana 3:22)
Haikuwa desturi ya Wayahudi ila Yohana aliyetangulia kutengeneza njia ya Bwana alibatiza hivi kama "Ishara ya kutubu na kugeuka" na Maji yalikuwa yanawakilisha ubatizo wa Roho Mtakatifu ajaye(Yohana 7:38, Ezekiel 47:1,12, Zekaria 13:1, 14:8, Yoel 2:28) yeye atakayetusaidia na kutupa badiliko la kweli.

2. Ubatizo wa Pili ni wa Roho Mtakatifu na Moto. Hiko ni kimoja mkuu kwani Ubatizo wa Mwanzo wa Roho Mtakatifu kwa wanafunzi wale 150, Roho alishuka kama "Upepo" ikionesha "Mamlaka, uhai na nguvu" pia kulikuwa na "ndimi za Moto" zilizokuwa zinamaanisha "Ndimi ni Karama" "walinena kwa Lugha" na "Moto" ikimaanisha "Roho Mtakatifu anayechoma na kutakasa kila aina ya uovu" kama ambavyo moto uteketezavyo kila kitu.(Matendo 2:1-4)

Naona pia unapotosha na kulipindisha neno la Mungu ustaadhi kama mungu wenu alivyompotosha Hawa pale Bustanini. Paulo na mitume wote wa Mwanzo hakuwa na ubatizo wao na hakuna sehemu inaonesha walikuwa nao kwani wao ni watenda kazi shambani kwa Yesu. Wao walitimiza agizo la Yesu kuwabatiza wote kwa Jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu ambalo ndilo "Jina la Yesu" kwani ndio utimilifu wa utatu wa kiungu (Mathayo 28:19, Matendo 8:38-39, 19:3-6)

Karibu kwa maswali na hoja zaidi kwa lengo la kujifunza na wala sio kushindana.
 
1. Kwanza kabisa napenda kukujuza Kuwa kauri ya kwamba Mtu huzaliwa mwisilamu akibatizwa ndiyo anakuwa mkiristo ni uongo. Lejea history ya uisilamu umeanza miaka 600 baada ya ukristo. Swali hapa kabla ya uisilamu kuja mtu alikuwa anazaliwa Kama Nani? Na kubatizwa anakuwa mkiristo.
2. Unachanganya Kati ya neno Moto na Roho Mtakifu. Maana yake Roho=Moto. Hivyo Roho Mtakifu pia huitwa upepo au moto. Rejea.
1.Waebrania 1:7
[7]Na kwa habari za malaika asema,
Afanyaye malaika wake kuwa pepo,
Na watumishi wake kuwa miali ya moto.
2.Matendo ya Mitume 2:1-3
[1]Hata ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja.
[2]Kukaja ghafula toka mbinguni uvumi kama uvumi wa upepo wa nguvu ukienda kasi, ukaijaza nyumba yote waliyokuwa wameketi.
[3]Kukawatokea ndimi zilizogawanyikana, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao.

Hivyo Roho Mtakatimu ni upepo na ni moto.

Lakini nakukumbusha Kuwa Yesu akibatizwa kwa maji sema Kuwa ubatizo wake ulikuwa wa nguvu za Roho Mtakifu ambaye ni moto.
Rejea
1. Yohana 3:5-6
[5]Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu.
[6]Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.
2.Yohana 3:5-6,22-23
[5]Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu.
[6]Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.
[22]Baada ya hayo Yesu na wanafunzi wake walikwenda mpaka nchi ya Uyahudi; akashinda huko pamoja nao, akabatiza.
[23]Yohana naye alikuwa akibatiza huko Ainoni, karibu na Salimu, kwa sababu huko kulikuwa na maji tele; na watu wakamwendea, wakabatizwa.

Yesu alibatiza kwa maji.

Pia mitume walibatiza kwa maji
Matendo ya Mitume 8:36-39
[36]Wakawa wakiendelea njiani, wakafika mahali penye maji; yule towashi akasema, Tazama, maji haya; ni nini kinachonizuia nisibatizwe? [
[37]Filipo akasema, Ukiamini kwa moyo wako wote, inawezekana. Akajibu, akanena, Naamini ya kwamba Yesu Kristo ndiye Mwana wa Mungu.]
[38]Akaamuru lile gari lisimame; wakatelemka wote wawili majini, Filipo na yule towashi; naye akambatiza.
[39]Kisha, walipopanda kutoka majini, Roho wa Bwana akamnyakua Filipo, yule towashi asimwone tena; basi alikwenda zake akifurahi.
Upo sahihi kabisa bro. Jamaa anachanganya na kupotosha makusudi. Yeye anataka watu wapitishwe kwenye moto ndio anavyotaka. Amekaa kimwili zaidi kama anavyoambiwa atapewa wanawake bikira 72 wenye macho ya gololi na atakuwa na nguvu ya kuwalala wanawake 1000 kwa siku kwenye Pepo yao iliyo chini ya uvungu wa Mwanamke.

Matendo 2:2-6 inaeleza vizuri tu "kubwa ulitokea uvumi kama uvumi wa upepo na zikatokea ndimi kama ndimi za moto zilizogawanyika pande zote". Katika tukio hilo kuna vitu vitatu vilijitokeza.
1. Upepo- Huo ulimaanisha Nguvu, Mamlaka na Uhai. Roho alijifunua hivyo.
2. Ndimi- Hapa inamaanisha Karama za Roho Mtakatifu ambazo zinapatikana katika 1Korintho 12:1 -11
3. Moto- Uliokuwa unamaanisha "kuteketeza au kuangamiza dhambi zote" Roho alijifunua hivyo.
 
Upo sahihi kabisa bro. Jamaa anachanganya na kupotosha makusudi. Yeye anataka watu wapitishwe kwenye moto ndio anavyotaka. Amekaa kimwili zaidi kama anavyoambiwa atapewa wanawake bikira 72 wenye macho ya gololi na atakuwa na nguvu ya kuwalala wanawake 1000 kwa siku kwenye Pepo yao iliyo chini ya uvungu wa Mwanamke.

Matendo 2:2-6 inaeleza vizuri tu "kubwa ulitokea uvumi kama uvumi wa upepo na zikatokea ndimi kama ndimi za moto zilizogawanyika pande zote". Katika tukio hilo kuna vitu vitatu vilijitokeza.
1. Upepo- Huo ulimaanisha Nguvu, Mamlaka na Uhai. Roho alijifunua hivyo.
2. Ndimi- Hapa inamaanisha Karama za Roho Mtakatifu ambazo zinapatikana katika 1Korintho 12:1 -11
3. Moto- Uliokuwa unamaanisha "kuteketeza au kuangamiza dhambi zote" Roho alijifunua hivyo.
👏👏👏✅
 
Upo sahihi kabisa bro. Jamaa anachanganya na kupotosha makusudi. Yeye anataka watu wapitishwe kwenye moto ndio anavyotaka. Amekaa kimwili zaidi kama anavyoambiwa atapewa wanawake bikira 72 wenye macho ya gololi na atakuwa na nguvu ya kuwalala wanawake 1000 kwa siku kwenye Pepo yao iliyo chini ya uvungu wa Mwanamke.

Matendo 2:2-6 inaeleza vizuri tu "kubwa ulitokea uvumi kama uvumi wa upepo na zikatokea ndimi kama ndimi za moto zilizogawanyika pande zote". Katika tukio hilo kuna vitu vitatu vilijitokeza.
1. Upepo- Huo ulimaanisha Nguvu, Mamlaka na Uhai. Roho alijifunua hivyo.
2. Ndimi- Hapa inamaanisha Karama za Roho Mtakatifu ambazo zinapatikana katika 1Korintho 12:1 -11
3. Moto- Uliokuwa unamaanisha "kuteketeza au kuangamiza dhambi zote" Roho alijifunua hivyo.
Amina, ubarikiwe Sana kwa ufafanuzi wako.
 
Aliekuambia kua kila mtu anazaliwa muslim ni nani,au andiko gan hilo lililokudanganya?
 
Hii Ni Aya ya majini Nini?
Hapana

Binafsi sizijui Aya za majini, labda wewe uliyeniuliza huwenda unazijuazaidi kuniliko.

Hayo ni maneno ya mtume, laiti ungejua tafsiri yake huwenda ungegonga like.
 
Kitu cha kwanza hakuna binadamu anayezaliwa akiwa Muislamu isipokuwa amezaliwa na wazazi Waislamu. Uislamu umeanza miaka 600 baada ya Yesu na mtu wa kwanza kusilimu anajulikana. Vitabu vinavyoelezea hayo vipo, ukiachana na hayo mnayoaminishana huko misikitini.

Cha tatu, ndugu watoa majibu mtu anapotaka kujua kitu muelewesheni kuliko kumuambia kuwa apambane na upande wake aachane na kusikomuhusu, unajuaje labda majibu yako yatamfanya ampokee Yesu?
 
Back
Top Bottom