Orodha ya nadharia zenye utata duniani (conspiracies)

1..rebirth and reincarnation
● Magic mushroom
● Satan Bible
● De javuu theory
● Rebirth ni roho ya mtu aliyekufa kuzaliwa upya ikiwa haina kumbukumbu

●Reincarnation ni roho ya mtu aliekufa kupewa mwili mpya kwa kuzaliwa tena

● Magic mushroom ni aina ya uyoga ambao ukila wanadai unasaidia kukuongezea self awareness.. zaidi ya hii ambayo tunayo

●Satan Bible pia kuna biblia ilioandikwa na shetani amabayo nayo inamaajabu kama hiii ya mungu
Kiufupi ukizisoma mwenyewe mtandaoni utazielewa
 
Utakuwa mteja mzuri wa CD/DVD za Maustaadhi. Toka nje ya box kuna mengi utayaelewa.
 
mkuu unasema aids ni fake???inabidi ujitathmini ulichokiandika
 
No kuna documentary nyingi zinadai siku io wayahudi hawakuwepo kwenye yale majengo km walivujishiwa ili kikombe kiwaepuke
Hiyo pia ni story tu, sidhani kama kuna mtu aliwahi kupitia orodha ya majina ya waliofariki eneo la tukio na kithibitisha hilo. Marekani ikitaka jambo lake liwe linakuwa tu wala hawana haja ya kupoteza uhai wa raia wao.
 
Hiyo pia ni story tu, sidhani kama kuna mtu aliwahi kupitia orodha ya majina ya waliofariki eneo la tukio na kithibitisha hilo. Marekani ikitaka jambo lake liwe linakuwa tu wala hawana haja ya kupoteza uhai wa raia wao.
Yapo ingia mtandaoni hata sasa hivi nilikuwa nayasoma
 
Sijaelewa

Kwamba flat earth ni fact?
 
Vipi kuhusu Evolution Theory
evulotion inatokea ndio maana leo hii kuna samaki wanapotea.magonjwa yanzaliwa upya, mwanadamu umri wa kuishi unapungua watu wanashida za uzazi ,,uyoga ndio uakuja kubaki kama iumbe maana kusurvive na kuzaliana kunategemea vitu vilvyokufa na upepo kuzaliana
 
Yapo ingia mtandaoni hata sasa hivi nilikuwa nayasoma
Ukathibitisha kuwa hakuna Wayahudi!? Umewatambua vipi?
Tuchukulie umethibitisha hawakuwepo: Kwani ni lazima wawepo wayahudi ndo tukio liwe halisi!? Kuna Wafaransa wangapi? Wagermany wangapi na Watanzania wangapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…