Orodha ya nadharia zenye utata duniani (conspiracies)

Orodha ya nadharia zenye utata duniani (conspiracies)

Hoja zako Ungeweka kwa kiswahili, Ingekua poa Sana, Hasa kwa sisi tulokimbia umande mkuu[emoji4]
 
its principle wale virusi wanfanya kama kuzaliana anapoingia yeye kama yeye anataka kuendeleza species kama moja ya sifa ya kiumbe hai lazima azaliane sasa katika hii harakati lazima atafute njia ni kama kutungisha mimba na kumbuka virusi vilikua na uwezo huo ndio maana vika survive generation over generation vikitafuta namna nzuri ya kuishi kama sisi sasa hivi ambapo mtu asipoweza kubeba mimba wanamfanyia upandikizaji sasa na vyenyewe katika kutafuta kuendelea kuishi vikadevelope namna ya kukata dna ili iungane naye seli zetu na dna zetu naturally zimeumbwa kujizalishia dna nyingine. Sasa aiksha pachika pale dna yake pale dna zenyewe inabidi ziemdelee kuzalisha kwa sababu condition zote zimekua met bila kujua...rejea darwin theory kwamba kiumbe kinazaliwa kina adapt kina perpetuate
Hivi still ni man made ndio maana hata version ya HIV ya ulaya tofauti na HIV ya bongo

Hata dawa pia hatutumi sawa na wao
 
Hivi still ni man made ndio maana hata version ya HIV ya ulaya tofauti na HIV ya bongo

Hata dawa pia hatutumi sawa na wao
hio inaitwa variation of species kutokana na mazingira ndio maana hata katika viumbe kuna variation mfano tuchukulie chura aina mbali mbali sasa virusi pia vipo hivo hivo ila vinategemeana na eneo na huu unaouona unaenda mpaka kwenye genetic construcion kwa hiyo unakuta ulaya kuna version ya ukimwi ya aina fulani kutokana na mazingira yako kwahiyo behaviour, morphology zinakua tofauti na hii inatokana na survival for fittest ya virusi kwa hiyo lazima dawa tofauti zitumike
 
Hizi ni nadharia zenye utata hapa duniani hii ndio list yangu km unayo ongeza chini hapo

rebirth and reincarnation
●Time travelling
●Human clone
●magic mushroom
●mermaid (samaki watu)
●Allen's and UFO
●Ark of the Covenant (Sanduku la agano)
●Satan Bible
●De javuu theory
●meditation and yoga
●unlucky in 13 number





Unaruhusiwa kuongezea
.Existance of god
 
hio inaitwa variation of species kutokana na mazingira ndio maana hata katika viumbe kuna variation mfano tuchukulie chura aina mbali mbali sasa virusi pia vipo hivo hivo ila vinategemeana na eneo na huu unaouona unaenda mpaka kwenye genetic construcion kwa hiyo unakuta ulaya kuna version ya ukimwi ya aina fulani kutokana na mazingira yako kwahiyo behaviour, morphology zinakua tofauti na hii inatokana na survival for fittest ya virusi kwa hiyo lazima dawa tofauti zitumike
Kwann kwa ukimwi tuu na sio magonjwa pandemic mengine

Ukweli kwamba huu ugonjwa ni man made na faida kubwa wanapata kupitia developing countries km misaada mfano USAID,UKAID,TWAWEZA...
 
Kwann kwa ukimwi tuu na sio magonjwa pandemic mengine

Ukweli kwamba huu ugonjwa ni man made na faida kubwa wanapata kupitia developing countries km misaada mfano USAID,UKAID,TWAWEZA...
ni kwasababu ni virusi namna yao ya maisha huwezi kulinganisha na magonjwa kama yanayosabishwa na bacteria na kibaya zaidi virusi huweza kuzalisha genetic code zake kwa seli zetu ambazo zinaonekana ziko sawa mpaka pale ziakapokua acivated kwa hiyo zinakua zipo nje ya rada ya mfumo wa kujikinga na magonjwa
 
ni kwasababu ni virusi namna yao ya maisha huwezi kulinganisha na magonjwa kama yanayosabishwa na bacteria na kibaya zaidi virusi huweza kuzalisha genetic code zake kwa seli zetu ambazo zinaonekana ziko sawa mpaka pale ziakapokua acivated kwa hiyo zinakua zipo nje ya rada ya mfumo wa kujikinga na magonjwa
Virus wote dunian km sio kuna kinga basi kuna njia ya kuwaondoa ....mfano hepatitis,covid,hepazoster n.k


Lakini ukimwi wanadelay chajo kwa sababu kuna kitu kinapatikana
Especially Africa tunamtegemea USA 100% katika huduma hii
 
its principle wale virusi wanfanya kama kuzaliana anapoingia yeye kama yeye anataka kuendeleza species kama moja ya sifa ya kiumbe hai lazima azaliane sasa katika hii harakati lazima atafute njia ni kama kutungisha mimba na kumbuka virusi vilikua na uwezo huo ndio maana vika survive generation over generation vikitafuta namna nzuri ya kuishi kama sisi sasa hivi ambapo mtu asipoweza kubeba mimba wanamfanyia upandikizaji sasa na vyenyewe katika kutafuta kuendelea kuishi vikadevelope namna ya kukata dna ili iungane naye seli zetu na dna zetu naturally zimeumbwa kujizalishia dna nyingine. Sasa aiksha pachika pale dna yake pale dna zenyewe inabidi ziemdelee kuzalisha kwa sababu condition zote zimekua met bila kujua...rejea darwin theory kwamba kiumbe kinazaliwa kina adapt kina perpetuate
Wee jamaa unayoelezea yote ni ukweli mtupu nainjoi sana... BS
 
hio inaitwa variation of species kutokana na mazingira ndio maana hata katika viumbe kuna variation mfano tuchukulie chura aina mbali mbali sasa virusi pia vipo hivo hivo ila vinategemeana na eneo na huu unaouona unaenda mpaka kwenye genetic construcion kwa hiyo unakuta ulaya kuna version ya ukimwi ya aina fulani kutokana na mazingira yako kwahiyo behaviour, morphology zinakua tofauti na hii inatokana na survival for fittest ya virusi kwa hiyo lazima dawa tofauti zitumike
Variation good...
 
Virus wote dunian km sio kuna kinga basi kuna njia ya kuwaondoa ....mfano hepatitis,covid,hepazoster n.k


Lakini ukimwi wanadelay chajo kwa sababu kuna kitu kinapatikana
Especially Africa tunamtegemea USA 100% katika huduma hii
Good hapa umejenga swali zuri sana ngoja ajibu
Ni kwanini HIV tu
 
evulotion inatokea ndio maana leo hii kuna samaki wanapotea.magonjwa yanzaliwa upya, mwanadamu umri wa kuishi unapungua watu wanashida za uzazi ,,uyoga ndio uakuja kubaki kama iumbe maana kusurvive na kuzaliana kunategemea vitu vilvyokufa na upepo kuzaliana
Namaanisha Evolution Theory,... Mfano kwamba Mtu ame_evolve toka kwa Sokwe ni kweli ipo hivyo kwa 100%??
 
mwanadamu hawezi kuengeneza ugonjwa virusi nikimaanisha kiumbe hai..ukimwi ulikiwepo ila ulicross species badala ya kuwa kwa viumbe fulani vikajikuta mfumo wa seli zetu zinaweza kusupport maisha yao kwahiyo ukafanya colonization kwetu..na kuna magonjwa kibao ambayo yapo kwenye viumbe ambao hauwajui ambayo yanaweza kuwa mabaya kuliko ukimwi
Mkuu mbona kimya ukuje huku DAN LOKOMOTIVE
 
Back
Top Bottom