Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi still ni man made ndio maana hata version ya HIV ya ulaya tofauti na HIV ya bongoits principle wale virusi wanfanya kama kuzaliana anapoingia yeye kama yeye anataka kuendeleza species kama moja ya sifa ya kiumbe hai lazima azaliane sasa katika hii harakati lazima atafute njia ni kama kutungisha mimba na kumbuka virusi vilikua na uwezo huo ndio maana vika survive generation over generation vikitafuta namna nzuri ya kuishi kama sisi sasa hivi ambapo mtu asipoweza kubeba mimba wanamfanyia upandikizaji sasa na vyenyewe katika kutafuta kuendelea kuishi vikadevelope namna ya kukata dna ili iungane naye seli zetu na dna zetu naturally zimeumbwa kujizalishia dna nyingine. Sasa aiksha pachika pale dna yake pale dna zenyewe inabidi ziemdelee kuzalisha kwa sababu condition zote zimekua met bila kujua...rejea darwin theory kwamba kiumbe kinazaliwa kina adapt kina perpetuate
Kuna vitu ukiweka kiswahili vinapoteza maanaHoja zako Ungeweka kwa kiswahili, Ingekua poa Sana, Hasa kwa sisi tulokimbia umande mkuu[emoji4]
Siyo kweliKuna vitu ukiweka kiswahili vinapoteza maana
hio inaitwa variation of species kutokana na mazingira ndio maana hata katika viumbe kuna variation mfano tuchukulie chura aina mbali mbali sasa virusi pia vipo hivo hivo ila vinategemeana na eneo na huu unaouona unaenda mpaka kwenye genetic construcion kwa hiyo unakuta ulaya kuna version ya ukimwi ya aina fulani kutokana na mazingira yako kwahiyo behaviour, morphology zinakua tofauti na hii inatokana na survival for fittest ya virusi kwa hiyo lazima dawa tofauti zitumikeHivi still ni man made ndio maana hata version ya HIV ya ulaya tofauti na HIV ya bongo
Hata dawa pia hatutumi sawa na wao
.Existance of godHizi ni nadharia zenye utata hapa duniani hii ndio list yangu km unayo ongeza chini hapo
●rebirth and reincarnation
●Time travelling
●Human clone
●magic mushroom
●mermaid (samaki watu)
●Allen's and UFO
●Ark of the Covenant (Sanduku la agano)
●Satan Bible
●De javuu theory
●meditation and yoga
●unlucky in 13 number
Unaruhusiwa kuongezea
Kwann kwa ukimwi tuu na sio magonjwa pandemic menginehio inaitwa variation of species kutokana na mazingira ndio maana hata katika viumbe kuna variation mfano tuchukulie chura aina mbali mbali sasa virusi pia vipo hivo hivo ila vinategemeana na eneo na huu unaouona unaenda mpaka kwenye genetic construcion kwa hiyo unakuta ulaya kuna version ya ukimwi ya aina fulani kutokana na mazingira yako kwahiyo behaviour, morphology zinakua tofauti na hii inatokana na survival for fittest ya virusi kwa hiyo lazima dawa tofauti zitumike
ni kwasababu ni virusi namna yao ya maisha huwezi kulinganisha na magonjwa kama yanayosabishwa na bacteria na kibaya zaidi virusi huweza kuzalisha genetic code zake kwa seli zetu ambazo zinaonekana ziko sawa mpaka pale ziakapokua acivated kwa hiyo zinakua zipo nje ya rada ya mfumo wa kujikinga na magonjwaKwann kwa ukimwi tuu na sio magonjwa pandemic mengine
Ukweli kwamba huu ugonjwa ni man made na faida kubwa wanapata kupitia developing countries km misaada mfano USAID,UKAID,TWAWEZA...
Virus wote dunian km sio kuna kinga basi kuna njia ya kuwaondoa ....mfano hepatitis,covid,hepazoster n.kni kwasababu ni virusi namna yao ya maisha huwezi kulinganisha na magonjwa kama yanayosabishwa na bacteria na kibaya zaidi virusi huweza kuzalisha genetic code zake kwa seli zetu ambazo zinaonekana ziko sawa mpaka pale ziakapokua acivated kwa hiyo zinakua zipo nje ya rada ya mfumo wa kujikinga na magonjwa
Wee jamaa unayoelezea yote ni ukweli mtupu nainjoi sana... BSits principle wale virusi wanfanya kama kuzaliana anapoingia yeye kama yeye anataka kuendeleza species kama moja ya sifa ya kiumbe hai lazima azaliane sasa katika hii harakati lazima atafute njia ni kama kutungisha mimba na kumbuka virusi vilikua na uwezo huo ndio maana vika survive generation over generation vikitafuta namna nzuri ya kuishi kama sisi sasa hivi ambapo mtu asipoweza kubeba mimba wanamfanyia upandikizaji sasa na vyenyewe katika kutafuta kuendelea kuishi vikadevelope namna ya kukata dna ili iungane naye seli zetu na dna zetu naturally zimeumbwa kujizalishia dna nyingine. Sasa aiksha pachika pale dna yake pale dna zenyewe inabidi ziemdelee kuzalisha kwa sababu condition zote zimekua met bila kujua...rejea darwin theory kwamba kiumbe kinazaliwa kina adapt kina perpetuate
Variation good...hio inaitwa variation of species kutokana na mazingira ndio maana hata katika viumbe kuna variation mfano tuchukulie chura aina mbali mbali sasa virusi pia vipo hivo hivo ila vinategemeana na eneo na huu unaouona unaenda mpaka kwenye genetic construcion kwa hiyo unakuta ulaya kuna version ya ukimwi ya aina fulani kutokana na mazingira yako kwahiyo behaviour, morphology zinakua tofauti na hii inatokana na survival for fittest ya virusi kwa hiyo lazima dawa tofauti zitumike
Mr IQ nilitegemea wewe utolew ufafanuzi wa kila kitu hapo ahahahah
mr IQ mfafanulie zero brainMkuu naomba utoe maelezo kwa ufupi juu ya *unlucky in 13 number
Good hapa umejenga swali zuri sana ngoja ajibuVirus wote dunian km sio kuna kinga basi kuna njia ya kuwaondoa ....mfano hepatitis,covid,hepazoster n.k
Lakini ukimwi wanadelay chajo kwa sababu kuna kitu kinapatikana
Especially Africa tunamtegemea USA 100% katika huduma hii
Kwa hiyo tufanyaje? Tufanye hakuzaliwa basi. Kwa kuwa hakuna sehemu tumeambiwa alioga basi tuseme hakuwahi kuoga. Wasabato bwana.The birthday of Jesus Christ, haijawahi kuelezwa popote Yesu alizaliwa siku gani.
Maana mimi ndo ilibidi nipate ufafanuzi et mkuu 🤓🤓🤓mr IQ mfafanulie zero brain
Namaanisha Evolution Theory,... Mfano kwamba Mtu ame_evolve toka kwa Sokwe ni kweli ipo hivyo kwa 100%??evulotion inatokea ndio maana leo hii kuna samaki wanapotea.magonjwa yanzaliwa upya, mwanadamu umri wa kuishi unapungua watu wanashida za uzazi ,,uyoga ndio uakuja kubaki kama iumbe maana kusurvive na kuzaliana kunategemea vitu vilvyokufa na upepo kuzaliana
Yaani waue raia wao zaidi ya 3,000 ili wapate sababu ya kumuua huyo mtu mmoja?nasikia nitukio lakupangwa na FBI iliwapate uhalali wakumuua Osama be laden
over
Ndio ipo hivo 10.0% ila ni slowly processNamaanisha Evolution Theory,... Mfano kwamba Mtu ame_evolve toka kwa Sokwe ni kweli ipo hivyo kwa 100%??
Mkuu mbona kimya ukuje huku DAN LOKOMOTIVEmwanadamu hawezi kuengeneza ugonjwa virusi nikimaanisha kiumbe hai..ukimwi ulikiwepo ila ulicross species badala ya kuwa kwa viumbe fulani vikajikuta mfumo wa seli zetu zinaweza kusupport maisha yao kwahiyo ukafanya colonization kwetu..na kuna magonjwa kibao ambayo yapo kwenye viumbe ambao hauwajui ambayo yanaweza kuwa mabaya kuliko ukimwi