- Thread starter
- #41
Kivipi nachekesha?We utakuwa mdogo wa bambo
Unachekesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi nachekesha?We utakuwa mdogo wa bambo
Unachekesha
mwanadamu hawezi kuengeneza ugonjwa virusi nikimaanisha kiumbe hai..ukimwi ulikiwepo ila ulicross species badala ya kuwa kwa viumbe fulani vikajikuta mfumo wa seli zetu zinaweza kusupport maisha yao kwahiyo ukafanya colonization kwetu..na kuna magonjwa kibao ambayo yapo kwenye viumbe ambao hauwajui ambayo yanaweza kuwa mabaya kuliko ukimwiYap naungana nae hajamaanisha haipo nafikiri anamaanisha ni man made yaani sio kama tulivokaririshwa
Wamemention nchi zao ni vema ufuatilie kwanza ndio mabishano yaendelee km hujui duniani mataifa yote makubwa viongozi wao wanavinasaba vya kiyaudiUkathibitisha kuwa hakuna Wayahudi!? Umewatambua vipi?
Tuchukulie umethibitisha hawakuwepo: Kwani ni lazima wawepo wayahudi ndo tukio liwe halisi!? Kuna Wafaransa wangapi? Wagermany wangapi na Watanzania wangapi?
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Ukisoma mechanism ya kirusi ndani ya mwili wa mwanadamu hasa HIV ndio utagundua ni man made na kwanini kinashindwa tibikamwanadamu hawezi kuengeneza ugonjwa virusi nikimaanisha kiumbe hai..ukimwi ulikiwepo ila ulicross species badala ya kuwa kwa viumbe fulani vikajikuta mfumo wa seli zetu zinaweza kusupport maisha yao kwahiyo ukafanya colonization kwetu..na kuna magonjwa kibao ambayo yapo kwenye viumbe ambao hauwajui ambayo yanaweza kuwa mabaya kuliko ukimwi
ilishakuwa proved jamani hata kwa akili ya kawaida kwa umbali wa jua lilipo kama dunia ingekua flat tungekua tunaliona kila muda kusingekua na usiku amabapo jua halionekani....mfano chumbani kwako ukiwasha taa kila utakapokua lazima uioneSijaelewa
Kwamba flat earth ni fact?
Lakini pia dunia sio duara unajua?ilishakuwa proved jamani hata kwa akili ya kawaida kwa umbali wa jua lilipo kama dunia ingekua flat tungekua tunaliona kila muda kusingekua na usiku amabapo jua halionekani....mfano chumbani kwako ukiwasha taa kila utakapokua lazima uione
how nimesoma elezea kivipi ni man madeUkisoma mechanism ya kirusi ndani ya mwili wa mwanadamu hasa HIV ndio utagundua ni man made na kwanini kinashindwa tibika
Antarctica watu wanaishi, ila sio permanentKivipi nachekesha?
Hii mushrooms mbona kaa tayari imethibitishwa●Rebirth ni roho ya mtu aliyekufa kuzaliwa upya ikiwa haina kumbukumbu
●Reincarnation ni roho ya mtu aliekufa kupewa mwili mpya kwa kuzaliwa tena
●magic mushroom ni aina ya uyoga ambao ukila wanadai unasaidia kukuongezea self awareness.. zaidi ya hii ambayo tunayo
●Satan Bible pia kuna biblia ilioandikwa na shetani amabayo nayo inamaajabu kama hiii ya mungu
Kiufupi ukizisoma mwenyewe mtandaoni utazielewa
Nilijua unasema dunia ni flatilishakuwa proved jamani hata kwa akili ya kawaida kwa umbali wa jua lilipo kama dunia ingekua flat tungekua tunaliona kila muda kusingekua na usiku amabapo jua halionekani....mfano chumbani kwako ukiwasha taa kila utakapokua lazima uione
yes its spherical actual little oval due to its own rotationLakini pia dunia sio duara unajua?
nopeNilijua unasema dunia ni flat
Mechanism ya multiplication zakehow nimesoma elezea kivipi ni man made
"If we both believe in Reincarnation,Maybe we will have a chance in the next life" -DubeReincarnation and rebirth ni dhana halisi nikipata muda nitarejea kuzijadili.
Wengine wanadai ni kilevi kinacholeta hallucination km bangi, so still kuna utataHii mushrooms mbona kaa tayari imethibitishwa
Lile bara ni utalii tu ....hakuna maisha ya kudumu na kuna theory zinaonyesha ile ni ice berg ilioganda so kwa mantic hio sio salama kwa makaziAntarctica watu wanaishi, ila sio permanent
Jitahidi kuelewa kwahyo ww ukinunua hata charger fake inamaana haiwezi kufanya kazi?Kila mtu anajua HIV ni man made, yeye kamaanisha haipo!
its principle wale virusi wanfanya kama kuzaliana anapoingia yeye kama yeye anataka kuendeleza species kama moja ya sifa ya kiumbe hai lazima azaliane sasa katika hii harakati lazima atafute njia ni kama kutungisha mimba na kumbuka virusi vilikua na uwezo huo ndio maana vika survive generation over generation vikitafuta namna nzuri ya kuishi kama sisi sasa hivi ambapo mtu asipoweza kubeba mimba wanamfanyia upandikizaji sasa na vyenyewe katika kutafuta kuendelea kuishi vikadevelope namna ya kukata dna ili iungane naye seli zetu na dna zetu naturally zimeumbwa kujizalishia dna nyingine. Sasa aiksha pachika pale dna yake pale dna zenyewe inabidi ziemdelee kuzalisha kwa sababu condition zote zimekua met bila kujua...rejea darwin theory kwamba kiumbe kinazaliwa kina adapt kina perpetuateMechanism ya multiplication zake
Kinavocut RNA yake na kuunga kwenye DNA ya binadamu.. mwisho wa siku mwili wenyewe unazalisha virus bila kujitambua