Orodha ya ndoto (karibia zote) na maana yake
Imekuwa mara kwa mara sasa nakuwa naota nipo shuleni,O_level ilhali nilisha maliza zamani.

Wakati mwingine naota nipo katika chumba cha mtihani, ndoto hii imekuwa mara kwa mara sasa, nawaza huenda itakuwa na maana yeyote kwenye maisha halisi ya hivi sasa,kwa wajuzi wa ndoto msaada tafadhali.
 
Pole jamaa yaan hii ndoto hata mm huwa inanitokea sana kila Mara naota nipo kwenye chumba cha mtihani halafu maswali ya mtihani yote nakuwa na uwezo wa kuyajibu ila tatizo linakuja kila nikianza kufanya najikuta nimekisea inaniwia nianze upya had muda wa mtihani unaisha nakuwa nishajibu robo ya mtihani wote ambao kiukweli naujua wote

Wakati mwingine naota nimechelewa nyuma lisaa limoja la kuanza mtihani naingia kwenye chumba cha mtihani nakuta tayari wenzangu wameishafanya maswali kadhaa, huwa inanitisha sana jamani Kama Kuna mtu anayejua kutafsiri hii ndoto aje atusaidie mimi na mleta mada maana naona tunaota ndoto inayofanana
 
Pole jamaa yaan hii ndoto hata mm huwa inanitokea sana kila Mara naota nipo kwenye chumba Cha mtihani alaf maswali ya mtihani yote nakuwa na uwezo wa kuyajibu Ila tatizo linakuja kila nikianza kufanya najikuta nimekisea inaniwia nianze upya had muda wa mtihani unaisha nakuwa nishajibu robo ya mtihani wote ambao kiukwel naujua wote ,wakat mwingine naota nimechelewa nyuma lisaa limoja la kuanza mtihani naingia kwenye chumba Cha mtihani nakuta tayal wenzangu wameishafanya maswali kadhaa ,huwa inanitisha sana jaman Kama Kuna mtu anayejua kutafsiri hii ndoto aje atusaidie mm na mleta mada maana naona tunaota ndoto inayofanana
Itakuwa na maana yake hii ngoja waje kaka,maana sasa napata wasi wasi,mda wote ni hofu na mashaka
 
Itakuwa na maana yake hii ngoja waje kaka,maana sasa napata wasi wasi,mda wote ni hofu na mashaka
Hata mm naamini imebeba maono fulani ambayo kwa akili za kawaida hatuwez kugundua Ila ngoja tusubilie wajuz wa ndoto Nina Imani watakuja na majibu yatapatikana tu
 
Pole jamaa yaan hii ndoto hata mm huwa inanitokea sana kila Mara naota nipo kwenye chumba cha mtihani halafu maswali ya mtihani yote nakuwa na uwezo wa kuyajibu ila tatizo linakuja kila nikianza kufanya najikuta nimekisea inaniwia nianze upya had muda wa mtihani unaisha nakuwa nishajibu robo ya mtihani wote ambao kiukweli naujua wote

Wakati mwingine naota nimechelewa nyuma lisaa limoja la kuanza mtihani naingia kwenye chumba cha mtihani nakuta tayari wenzangu wameishafanya maswali kadhaa, huwa inanitisha sana jamani Kama Kuna mtu anayejua kutafsiri hii ndoto aje atusaidie mimi na mleta mada maana naona tunaota ndoto inayofanana
Hahaha!upo kama Mimi nimeota ndoto hiyo huwezi amini baada ya kumaliza darasa la saba mwaka 99 hadi Leo hii bado inajirudia.Mara kwa Mara naota nipo chumba cha mtihani lakini nashindwa kumaliza maswali, Mara kalamu inagoma kuandika au nachelewa kufika hadi mda was pepa unaisha.Cha ajabu mitihani yote nilifaulu kuanzia wa saba, FM 2, fm 4, FM 6 hadi chuo kikuu nilimaliza mwaka 2011.Pamoja na hivyo bado naota kufeli mitihani tu ndoto inajirudia!
 
Hahaha!upo kama Mimi nimeota ndoto hiyo huwezi amini baada ya kumaliza darasa la saba mwaka 99 hadi Leo hii bado inajirudia.Mara kwa Mara naota nipo chumba cha mtihani lakini nashindwa kumaliza maswali, Mara kalamu inagoma kuandika au nachelewa kufika hadi mda was pepa unaisha.Cha ajabu mitihani yote nilifaulu kuanzia wa saba, FM 2, fm 4, FM 6 hadi chuo kikuu nilimaliza mwaka 2011.Pamoja na hivyo bado naota kufeli mitihani tu ndoto inajirudia!
Hapa iko namna lazima Kuna Mambo hayako sawa tunapaswa kuyafanya na Kama hatujayafanya Basi Ni kwakutojua Sasa tunahitaj maono ili tuondokane na hii ndoto
 
Mi namuotaga ticha mmoja anaitwa Mwakilemele alinipigaga stick za laki 6.
Kisa niliuza dustibin zote za shule.
Popote ulipo.
 
Imekuwa mara kwa mara sasa nakuwa naota nipo shuleni,O_level ilhali nilisha maliza zamani.

Wakati mwingine naota nipo katika chumba cha mtihani, ndoto hii imekuwa mara kwa mara sasa, nawaza huenda itakuwa na maana yeyote kwenye maisha halisi ya hivi sasa,kwa wajuzi wa ndoto msaada tafadhali.
Mkuu iko hivi mimi sio mtaalamu wa ndoto ila nitakujibu kutokana na uelewa wangu.
Hata mimi hiyo ndoto huwa naota mara nyingi sana kuanzia miaka iliyopita hadi sasa.
Baada ya kujirudiarudia sana nikajaribu kufuatilia kwa wataalamu wa kutafsiri ndoto wakanieleza maana yake.
Ukiota mara kwa mara ndoto hiyo maana yake ni kwamba mambo yako hayasongi mbele bali yanarudi nyuma,yaani mambo yako ya kimaisha au kimaendeleo yanakwama na kurudi nyuma kutokana na nguvu ya washirikina au mizimu.
Mimi kutokana na uelewa wangu nimekudokeza kidogo ila tuwangoje wataalamu waje wataelezea zaidi.
 
Back
Top Bottom