Orodha ya ndoto (karibia zote) na maana yake
Hahaha!upo kama Mimi nimeota ndoto hiyo huwezi amini baada ya kumaliza darasa la saba mwaka 99 hadi Leo hii bado inajirudia.Mara kwa Mara naota nipo chumba cha mtihani lakini nashindwa kumaliza maswali, Mara kalamu inagoma kuandika au nachelewa kufika hadi mda was pepa unaisha.Cha ajabu mitihani yote nilifaulu kuanzia wa saba, FM 2, fm 4, FM 6 hadi chuo kikuu nilimaliza mwaka 2011.Pamoja na hivyo bado naota kufeli mitihani tu ndoto inajirudia!
Kunakitu unakifanya na msingiwake sio imara. Shughuli unayofanya hakikisha rudi uangalie kama umeweka sawa huo msingi ili uendelee La sivyo kunamkwamo mbele na hautavuka hadi ushughulikie msingi wako
 
Kuna changomoto ambazo zilikutokea katika kipindi cha nyuma na hujaweza kukubali yaliyotokea,Unatamani urudi nyuma ukarekebishe lakini haiwezekani tena, Cha muhimu ni kuuruhusu mtizamo wako kuishi leo na siku za zijazo"
 
Hahaha!upo kama Mimi nimeota ndoto hiyo huwezi amini baada ya kumaliza darasa la saba mwaka 99 hadi Leo hii bado inajirudia.Mara kwa Mara naota nipo chumba cha mtihani lakini nashindwa kumaliza maswali, Mara kalamu inagoma kuandika au nachelewa kufika hadi mda was pepa unaisha.Cha ajabu mitihani yote nilifaulu kuanzia wa saba, FM 2, fm 4, FM 6 hadi chuo kikuu nilimaliza mwaka 2011.Pamoja na hivyo bado naota kufeli mitihani tu ndoto inajirudia!
Hali ya maisha yako ikoje kwa sasa hivi??
 
maana rahisi ya ndoto ya namna Ni kwamba, Kuna Jambo ambalo liko mbele yako inatakiwa uje kulifanya lakini huna maandalizi ya kutosha, hivyo ndoto Kama hii inakupa taarifa.
 
Pole jamaa yaan hii ndoto hata mm huwa inanitokea sana kila Mara naota nipo kwenye chumba cha mtihani halafu maswali ya mtihani yote nakuwa na uwezo wa kuyajibu ila tatizo linakuja kila nikianza kufanya najikuta nimekisea inaniwia nianze upya had muda wa mtihani unaisha nakuwa nishajibu robo ya mtihani wote ambao kiukweli naujua wote

Wakati mwingine naota nimechelewa nyuma lisaa limoja la kuanza mtihani naingia kwenye chumba cha mtihani nakuta tayari wenzangu wameishafanya maswali kadhaa, huwa inanitisha sana jamani Kama Kuna mtu anayejua kutafsiri hii ndoto aje atusaidie mimi na mleta mada maana naona tunaota ndoto inayofanana
@Christine1
 
Pole jamaa yaan hii ndoto hata mm huwa inanitokea sana kila Mara naota nipo kwenye chumba cha mtihani halafu maswali ya mtihani yote nakuwa na uwezo wa kuyajibu ila tatizo linakuja kila nikianza kufanya najikuta nimekisea inaniwia nianze upya had muda wa mtihani unaisha nakuwa nishajibu robo ya mtihani wote ambao kiukweli naujua wote

Wakati mwingine naota nimechelewa nyuma lisaa limoja la kuanza mtihani naingia kwenye chumba cha mtihani nakuta tayari wenzangu wameishafanya maswali kadhaa, huwa inanitisha sana jamani Kama Kuna mtu anayejua kutafsiri hii ndoto aje atusaidie mimi na mleta mada maana naona tunaota ndoto inayofanana
Same to me,hii ndoto uwa siielewi kabisa
 
Wasaaalamu nyote humu

Niende moja kwa moja katika mada tajwa, hii ni ndoto niliiota siku tano zimepita.

Niliamka usiku mida ya saa saba, nikaanza kufanya shughuli zangu binafsi katika kompyuta yangu, ilipowadia SAA kumi na mbili na dk 38 asubuhi niliamua kujilaza kidogo ili niamke saa mbili asubuhi niendelee na ratiba zangu, Cha ajabu niliamka saa moja na dk 13 asubuhi.

Nilivyolala sikuchukua hata sekunde, nikamuona mpenzi wangu mbele yangu, akiwa uchi kabisa, akipita, Mimi nikiwa nimesimama kwenye mlango, nilimuita kwa jina lake hakuitika ila alizidi kutembea na kuelekea mbele, nilimfata nyuma nijue anaenda wapi, baada ya dakika chache akaingia katika nyumba iliyoezekwa kwa nyasi na mlangoni kulikuwa na vijana wawili wa kimasai wamesimama wakiwa wameshika mikuki na Mimi niliingia ndani, nyuma yangu wakaja vijana wawili wa kimasai na mtu mwingine mmoja ambaye ni kama alikuwa ananifuata Mimi, na alikuwa analazimisha kuingia ndani, alivyoingia alipigwa kitu kichwani akaanguka chini, wale vijana wakaondoka zao, baadae kidogo nikawaona wazee wawili wakimasai wamekaa kwenye makochi yasiyo na mito yake, baada ya muda nikahisi niko kitandani kwangu na yule mpenzi wangu akiwa amenishika kiuno changu, tukiwa hatujageukiana, kwa maana ya yeye yuko ukutani anatizama kisogo changu na mkono kiunoni, nikamsikia akiniambia "haya fungua macho uende, nimeshamaliza" ila nikataka kumuuliza umemaliza nini?

Sikuweza, mdomo mzito ila kichwani najua nataka nimuulize nini! Basi nikafumbua macho kweli nikiwa chumbani kwangu ila kiuno bado kilikuwa kinahisi kuna mkono wake, nilivyofumbua macho akili akanambia rudi muulize amemaliza nini?

Nikafumba macho, nikamuhisi kabisa bado mpenzi wangu yupo nyuma yangu amenishika kiuno, nikamsikia ananiambia umerudi? Haya basi fungua macho uende, hapa haturuhusiwi kuzungumza!

Nikajitahidi kunyoosha kidole kuonesha "Nina jambo moja tu" ila sikufanikiwa. Ikanibidi nifungue macho kweli na bado nilihisi yuko nyuma yangu na nilihisi pumzi zake nyuma yangu, hiyo ni asubuhi saa moja na dk 13 niliangalia saa yangu.

Hii ndoto inanipa wakati mgumu wa kuielewa. Mwenye kufahamu maana yake anijuze.


Kitu kingine, mie ni mtu ambaye nikisema nalala muda huu na nitaamka muda huu, hata nisipoweka alarm ni lazima niamke muda husika ama pungufu ya dk 2/3. Sikuzote.
 
Hivi ndoto zina maana kweli? Mida hii nimetoka kuota ndoto dah kweli nahisi malaika wamenipa ujumbe ila binadamu tulivyo wabishi sasa.

Usingizi umekata naitafakari tho naona ni ukweli 95%. Usingizi umekata option ni kuingia JF.
Situation kama hii ya kukosa usingizi saa 9 usk ati malaika anashuka anazima mitandao? Huyu hawezi kuwa malaika wa mbinguni.
 
Maana yake muda sio mrefu utachukuliwa msukule
 
Saa hivi ni 06:25 na umepost masaa 3 yaliyopita.sasa je hayo masaa uliyoandika ni kuwa nayo ni ktk sehem ya ndoto au uliota siku ya Jana?

Mbili ulikuwa katika mgogoro na mpenzi wako kabla ya kuota ?
Nijibu hayo tupate msingi wa ndoto.
 
Wasaaalamu nyote humu

Niende moja kwa moja katika mada tajwa, hii ni ndoto niliiota siku tano zimepita.

Niliamka usiku mida ya saa saba, nikaanza kufanya shughuli zangu binafsi katika kompyuta yangu, ilipowadia SAA kumi na mbili na dk 38 asubuhi niliamua kujilaza kidogo ili niamke saa mbili asubuhi niendelee na ratiba zangu, Cha ajabu niliamka saa moja na dk 13 asubuhi.

Nilivyolala sikuchukua hata sekunde, nikamuona mpenzi wangu mbele yangu, akiwa uchi kabisa, akipita, Mimi nikiwa nimesimama kwenye mlango, nilimuita kwa jina lake hakuitika ila alizidi kutembea na kuelekea mbele, nilimfata nyuma nijue anaenda wapi, baada ya dakika chache akaingia katika nyumba iliyoezekwa kwa nyasi na mlangoni kulikuwa na vijana wawili wa kimasai wamesimama wakiwa wameshika mikuki na Mimi niliingia ndani, nyuma yangu wakaja vijana wawili wa kimasai na mtu mwingine mmoja ambaye ni kama alikuwa ananifuata Mimi, na alikuwa analazimisha kuingia ndani, alivyoingia alipigwa kitu kichwani akaanguka chini, wale vijana wakaondoka zao, baadae kidogo nikawaona wazee wawili wakimasai wamekaa kwenye makochi yasiyo na mito yake, baada ya muda nikahisi niko kitandani kwangu na yule mpenzi wangu akiwa amenishika kiuno changu, tukiwa hatujageukiana, kwa maana ya yeye yuko ukutani anatizama kisogo changu na mkono kiunoni, nikamsikia akiniambia "haya fungua macho uende, nimeshamaliza" ila nikataka kumuuliza umemaliza nini?

Sikuweza, mdomo mzito ila kichwani najua nataka nimuulize nini! Basi nikafumbua macho kweli nikiwa chumbani kwangu ila kiuno bado kilikuwa kinahisi kuna mkono wake, nilivyofumbua macho akili akanambia rudi muulize amemaliza nini?

Nikafumba macho, nikamuhisi kabisa bado mpenzi wangu yupo nyuma yangu amenishika kiuno, nikamsikia ananiambia umerudi? Haya basi fungua macho uende, hapa haturuhusiwi kuzungumza!

Nikajitahidi kunyoosha kidole kuonesha "Nina jambo moja tu" ila sikufanikiwa. Ikanibidi nifungue macho kweli na bado nilihisi yuko nyuma yangu na nilihisi pumzi zake nyuma yangu, hiyo ni asubuhi saa moja na dk 13 niliangalia saa yangu.

Hii ndoto inanipa wakati mgumu wa kuielewa. Mwenye kufahamu maana yake anijuze.


Kitu kingine, mie ni mtu ambaye nikisema nalala muda huu na nitaamka muda huu, hata nisipoweka alarm ni lazima niamke muda husika ama pungufu ya dk 2/3. Sikuzote.
Watafsiri ndoto wa ukweli wamepungua kama sio kutokuwepo kwa zama hizi. Namna kuu ya kupambana na roho chafu, Fanya sana Dua/Sala.
 
Hivi ndoto zina maana kweli? Mida hii nimetoka kuota ndoto dah kweli nahisi malaika wamenipa ujumbe ila binadamu tulivyo wabishi sasa.

Usingizi umekata naitafakari tho naona ni ukweli 95%. Usingizi umekata option ni kuingia JF.
Situation kama hii ya kukosa usingizi saa 9 usk ati malaika anashuka anazima mitandao? Huyu hawezi kuwa malaika wa mbinguni.
Baadhi ya ndoto zina maana dada yangu,, Wakati mwingine Mungu anatumia ndoto kuwapa watu maono japo si kila ndoto ina maana.

Mfano hai,, kisa cha kwanza nilishakieleza kwenye uzi wa watu waliowahi kunusurika kifo

*Wakati nasafiri kwenda field (enzi nipo chuo) kabla ya safari mama yangu aliniambia usiku nimeota ndoto mbaya sana, (yeye ni mtu wa dini sana) kama inawezekana hairisha safari, bahati mbaya ikawa haiwezekani kuhairisha safari sababu nilikua nimechelewa kuripoti,, basi akaniambia njoo tusali kuombea safari, hata hatujaanza kusali mtu wa kunipeleka stand akawa amefika nakumbuka aliniambia naomba usisahau kuombea safari maana sina amani kabisa.
Safari imeanza kama baada ya masaa manne hivi tukapata ajali tena gari lilikua speed balaa, halafu usukani wa gari umestaki umekata kona upande mmoja wala haugeuki upande wa pili, pona pona Mungu alisaidia ikagonga kitu kama bonde kisha ikaenda kugonga mti mkubwa sana mpaka ukakatika ndio hapo likasimama ikawa pona yetu.

Kisa cha 2,, wakristu wote ila hasa wakatoliki wana kitu wanaita jumuiya (mkisanyiko wa familia mbalimbali kwa ajili ya kusali n.k)

Mtaani kwetu walikua wanakutana kila jumamosi asubuhi,, siku hiyo mama yangu akawaambia jamani usiku wa leo nimeota ndoto, Nimepata maono kua tuwaombee sana watoto wetu na familia zetu kiujumla,, kutokana na kuchoka au ibada kua imemalizika watu wengi hawakutilia maanani

After two weeks toka aseme hivyo kuna familia moja (na siku ya anasema walikuwepo wote jumuiyani) mtoto wao wa miaka miwili au mitatu hivi alifariki baada ya kudumbukia kwenye ndoo ya mafuta ya kupikia, kichwa chini miguu juu.

Ndio hapo kila mtu akakumbuka maneno yake. Na huyo mtoto aliwauma watu wengi sana, sababu alikua ndio mtoto maarufu sana pale mtaani he was very handsome, very charming kila mtu alikua akimfahamu, kila mtu alikua akipenda kumshika nadhan pia kila mtu alitamani kua na mtoto kama yule.

So sometimes kwa matukio haya mawili hua naamini kuna baadhi ya ndoto kweli zina maono au ni indicator ya what will happen next
 
Baadhi ya ndoto zina maana dada yangu,, Wakati mwingine Mungu anatumia ndoto kuwapa watu maono japo si kila ndoto ina maana.

Mfano hai,, kisa cha kwanza nilishakieleza kwenye uzi wa watu waliowahi kunusurika kifo

*Wakati nasafiri kwenda field (enzi nipo chuo) kabla ya safari mama yangu aliniambia usiku nimeota ndoto mbaya sana, (yeye ni mtu wa dini sana) kama inawezekana hairisha safari, bahati mbaya ikawa haiwezekani kuhairisha safari sababu nilikua nimechelewa kuripoti,, basi akaniambia njoo tusali kuombea safari, hata hatujaanza kusali mtu wa kunipeleka stand akawa amefika nakumbuka aliniambia naomba usisahau kuombea safari maana sina amani kabisa.
Safari imeanza kama baada ya masaa manne hivi tukapata ajali tena gari lilikua speed balaa, halafu usukani wa gari umestaki umekata kona upande mmoja wala haugeuki upande wa pili, pona pona Mungu alisaidia ikagonga kitu kama bonde kisha ikaenda kugonga mti mkubwa sana mpaka ukakatika ndio hapo likasimama ikawa pona yetu.

Kisa cha 2,, wakristu wote ila hasa wakatoliki wana kitu wanaita jumuiya (mkisanyiko wa familia mbalimbali kwa ajili ya kusali n.k)

Mtaani kwetu walikua wanakutana kila jumamosi asubuhi,, siku hiyo mama yangu akawaambia jamani usiku wa leo nimeota ndoto, Nimepata maono kua tuwaombee sana watoto wetu na familia zetu kiujumla,, kutokana na kuchoka au ibada kua imemalizika watu wengi hawakutilia maanani

After two weeks toka aseme hivyo kuna familia moja (na siku ya anasema walikuwepo wote jumuiyani) mtoto wao wa miaka miwili au mitatu hivi alifariki baada ya kudumbukia kwenye ndoo ya mafuta ya kupikia, kichwa chini miguu juu.

Ndio hapo kila mtu akakumbuka maneno yake. Na huyo mtoto aliwauma watu wengi sana, sababu alikua ndio mtoto maarufu sana pale mtaani he was very handsome, very charming kila mtu alikua akimfahamu, kila mtu alikua akipenda kumshika nadhan pia kila mtu alitamani kua na mtoto kama yule.

So sometimes kwa matukio haya mawili hua naamini kuna baadhi ya ndoto kweli zina maono au ni indicator ya what will happen next

Sio ndoto tu bali hata yanayotokea maishani mengine yanaashiria vitu flani vizuri au vibaya vitatokea.
 
Baadhi ya ndoto zina maana dada yangu,, Wakati mwingine Mungu anatumia ndoto kuwapa watu maono japo si kila ndoto ina maana.

Mfano hai,, kisa cha kwanza nilishakieleza kwenye uzi wa watu waliowahi kunusurika kifo

*Wakati nasafiri kwenda field (enzi nipo chuo) kabla ya safari mama yangu aliniambia usiku nimeota ndoto mbaya sana, (yeye ni mtu wa dini sana) kama inawezekana hairisha safari, bahati mbaya ikawa haiwezekani kuhairisha safari sababu nilikua nimechelewa kuripoti,, basi akaniambia njoo tusali kuombea safari, hata hatujaanza kusali mtu wa kunipeleka stand akawa amefika nakumbuka aliniambia naomba usisahau kuombea safari maana sina amani kabisa.
Safari imeanza kama baada ya masaa manne hivi tukapata ajali tena gari lilikua speed balaa, halafu usukani wa gari umestaki umekata kona upande mmoja wala haugeuki upande wa pili, pona pona Mungu alisaidia ikagonga kitu kama bonde kisha ikaenda kugonga mti mkubwa sana mpaka ukakatika ndio hapo likasimama ikawa pona yetu.

Kisa cha 2,, wakristu wote ila hasa wakatoliki wana kitu wanaita jumuiya (mkisanyiko wa familia mbalimbali kwa ajili ya kusali n.k)

Mtaani kwetu walikua wanakutana kila jumamosi asubuhi,, siku hiyo mama yangu akawaambia jamani usiku wa leo nimeota ndoto, Nimepata maono kua tuwaombee sana watoto wetu na familia zetu kiujumla,, kutokana na kuchoka au ibada kua imemalizika watu wengi hawakutilia maanani

After two weeks toka aseme hivyo kuna familia moja (na siku ya anasema walikuwepo wote jumuiyani) mtoto wao wa miaka miwili au mitatu hivi alifariki baada ya kudumbukia kwenye ndoo ya mafuta ya kupikia, kichwa chini miguu juu.

Ndio hapo kila mtu akakumbuka maneno yake. Na huyo mtoto aliwauma watu wengi sana, sababu alikua ndio mtoto maarufu sana pale mtaani he was very handsome, very charming kila mtu alikua akimfahamu, kila mtu alikua akipenda kumshika nadhan pia kila mtu alitamani kua na mtoto kama yule.

So sometimes kwa matukio haya mawili hua naamini kuna baadhi ya ndoto kweli zina maono au ni indicator ya what will happen next

Sio ndoto tu bali hata yanayotokea maishani mengine yanaashiria vitu flani vizuri au vibaya vitatokea.
 
Back
Top Bottom