Orodha ya ndoto (karibia zote) na maana yake
Mm hii sio ndoto ..bali ndio kinachoendelea, kazini nimeshushwa, Hela imekimbia, hata nguo mpya kununua ni kazi ngumu hata nikiwa na hela. Hela siioni pombe sinywi Kwa sana.

Malaya nakuwa nao kiasi tu. Huduma nyumbani najiona kabisa sihudumii kama zamani. Najiuliza nimepatwa na shida gani.

Hutaniona nakunywa pombe mchana, lakini ikifika usiku nakuwa kama navutwa kwenda kunywa japo kias sijawahi kulala bila kilev kichwani, hii Tabia siipendi lk n nahisi kuna nguvu.

Anajitahidi kusoma ihlas na Dua zinginezo niache niwe kama mwanzo waaapi.


Naelewa ninachotakiwa kufanya ni kuacha pombe na Malaya. Lakini hii nguvu inatokana nannini.

Nilifikiria nioe mke mwingine ikiwa shidayangu ni WA awake, lkn naona itakuwa kosa
Utakuwa unatomber usiku hujaisema
 
Habari!!
Nimeota ndoto Mbili zinanichanganya sana
1.Nimeota Marehemu Mzee wangu anagombana na Mama yangu Kisa ni Marehemu akimshutumu Mama usaliti Ktk Ndoa.

2.Kisa Cha pili nimeta this week Nimeoza Meno Yaani tena mpaka Mafizi.
Pia hapohapo nikaota kama nimekufa.
Kuhusu ndoto ya baba yako ni kweli walipo kuwa hai wazazi hayo yalikuwepo lakini mfanyie dua baba au mamombi muhimu toka kwako. Kuhusu tafsiri ya ya kuoza meno katika ndoto.
Kwa hivyo, katika vitabu vingine vya ndoto, ndoto ambazo unaona meno yaliyooza ni habari ya ugomvi na wapendwa na wapendwa, kama vile mume au mke, na kwa wengine hata kifo cha mtu kutoka kwa familia au mduara wa karibu.
Pia, ndoto iliyo na meno yaliyooza inaweza kumaanisha kuwa hivi karibuni utapokea habari mbaya kutoka kwa nyumba, kutoka kwa jamaa, ambao mtu atakuwa mgonjwa sana au hata kufa.

NDOTO ZA KIFO NA MAANA ZAKE

UKIOTA umekufa
maana yake ni kwamba utapata kazi yenye mamlaka au utafanya kazi kwa mtu mwenye uongozi aidha wa dini au serikali.

UKIOTA umetiwa kaburini na unazikwa hiyo ni ishara ya kwamba utakufa masikini.

UKIOTA mtu amekufa na wewe unaamini kwamba mtu huyo bado yuko hai hiyo ni ishara kwamba mtu huyo atakuletea ujumbe mzito wa kimungu.

UKIOTA umekufa lakini huna dalili za kufa na watu waliopo hawalii wala hakuna dalili za maombolezo maana yake ni kwamba utawadhibiti wapinzani wako au wafanyakazi wenzio au watu unaofanya nao kazi lakini utapoteza mali zako.

UKIOTA umekufa na ukaona kwamba unaonekana kama maiti na umevishwa sanda maana yake ni kwamba utapata matatizo ya kidini.

UKIOTA watu wana majonzi na kukulilia kwamba umekufa hiyo ni ishara ya wewe kupanda hadhi yako au kupata cheo katika dunia.

UKIOTA umekufa na ukazikwa ni ishara ya kwamba unaweza ukaishi muda mfupi na ukafa bila ya kutubu madhambi yako.

UKIOTA umetoka kaburini kwako baada ya kuzikwa hiyo ni ishara kwamba utatubu madhambi yako.

UKIOTA umekufa na watu wamekubeba kwenye mabega yao wanakupeleka kukuzika hiyo ni ishara ya kwamba utawashinda maadui zako na unafaa kuwa kiongozi.

UKIOTA umekufa halafu ukawa hai au ukafufuka hiyo ni ishara kwamba utapata utajiri na ufukara utakuondoka au utatubu dhambi zako au kurudi salama kwa yule aliyesafiri.

UKIOTA unaona kifo cha mwanamke ambaye humfahamu hiyo ni ishara ya ukame au kukosekana mvua katika sehemu yako.

UKIOTA mwanamke huyo amefufuka ni ishara ya kupata mvua kubwa.
Ndoto za kuota mwanamke amekufa ni ishara ya kifo cha mtoto.

UKIOTA mtu aliyekufa anakuambia kwamba yeye hajafa hiyo ni ishara kwamba huko aliko ana hali nzuri.

UKIOTA unabeba maiti maana yake ni kwamba utabeba chakula utakachopewa na mtu ambaye hapendi mambo ya dini wala Mungu.

UKIOTA umebeba maiti katika njia ambayo ni tofauti na watu wengine na unakwenda kumzika hiyo ni ishara kwamba utapata fedha za haramu.

UKIOTA unambeba maiti na unakwenda kumzika hiyo ni ishara kwamba utafanya kazi kwa kiongozi wa kisiasa.

UKIOTA unamwona mtu aliyekufa akiwa mgonjwa hiyo ni ishara ya kuwa huko aliko ana matatizo makubwa.

UKIOTA wakazi wa makaburini au maiti wakitoka kwenye makaburi yao na wakavamia chakula na kukila hiyo ni ishara ya kupanda kwa bei ya chakula.

UKIOTA maiti wanakunywa maji ya bombani au kisimani ni ishara ya kutokea maradhi mabaya.

UKIOTA mtu aliyekufa anakufa tena halafu anatembea au anawatembelea watoto wake au familia yake ni ishara ya kwamba huyo aliyetembelewa atakufa.
Kama UKIOTA huyo mtu aliyekufa hakuna mtu anayemlilia au kuomboleza hiyo ni ishara ya kufanyika harusi.

UKIOTA mtu aliyekufa anazungumza jambo kuhusu yeye mwenyewe basi jambo hilo ni kweli.

UKIOTA maiti anakuambia chochote halafu kitu hicho hakikutokea basi utakuwa una matatizo na ndoto zako.

UKIOTA unamwona aliyekufa akiwa nadhifu na amevaa nguo nyeupe au ya kijani basi hiyo ni ishara ya kwamba huko aliko ana hali nzuri.

UKIOTA unamwona aliyekufa akiwa mchafu na analia hiyo ni ishara kwamba huko aliko yuko katika hali mbaya.

UKIOTA unamswalia maiti hiyo ni ishara kwamba umuombee maiti huyo au umtembelee kaburini kwake au utakuwa mstari wa mbele kupingana na watu wenye roho mbaya au utaagana na mtu anayesafiri mbali au utawahudumia wasiojiweza.

UKIOTA mke wako amekufa halafu akafufuka hiyo ni ishara ya kupata faida kubwa katika biashara au kupata mavuno makubwa katika shamba lako.

UKIOTA umeona maiti imetupwa hiyo ni ishara kwamba utaokota fedha.

UKIOTA unatembea nyuma ya mtu aliyekufa hiyo ni ishara ya kwamba utafuata nyayo zake.

UKIOTA umemuona kiongozi wa dini amefariki hiyo ni ishara kwamba itatokea vita katika mji huo.

UKIOTA vita katika mji ni ishara ya kwamba kiongozi wa dini atafariki au amekufa.

UKIOTA umekufa bila sababu yoyote kama kuugua, au kuonyesha hali yoyote ya kufa hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.

UKIOTA umekufa kwa kupata matatizo makubwa au kuugua maradhi makubwa hiyo ni ishara kwamba hutendi haki kwako mwenyewe na kwa watu wengine.

UKIOTA umekufa na umewekwa kwenye mkeka au busati hiyo ni ishara kwamba utapata mafanikio ya kidunia.

UKIOTA umekufa na umelala kwenye takataka hiyo ni ishara ya kupoteza cheo chako.

UKIOTA umekufa na umelala kitandani hiyo ni ishara kwamba utanufaika na familia yako.

UKIOTA umesikia habari za kifo kwa mtu ambaye hafahamiki hiyo ni ishara kwamba uwe mwangalifu na mafanikio unayoyapata katika shughuli zako za kidunia kwa sababu unaweza ukahusishwa na kashfa za kidini.

UKIOTA mtoto wako wa kiume amekufa hiyo ni ishara kwamba utanusurika na maadui zako.

UKIOTA mtoto wako wa kike amefariki ni ishara kwamba utapata ufumbuzi wa matatizo yako.

UKIOTA umekufa na ukazikwa hiyo ni ishara kwamba utapata uhuru vinginevyo kama ulipewa mali au kitu ukihifadhi basi mwenye kitu hicho atakitaka umrudishie.

UKIOTA umekufa na ukazikwa maana yake ni kwamba utaoa au utaolewa.

UKIOTA mgonjwa ameoa katika ndoto ni ishara kwamba mgonjwa huyo atafariki.

UKIOTA mtu aliyeoa amefariki na akazikwa hiyo ni ishara kwamba atamuacha mkewe au atavunja uhusiano wa kibiashara na mshirika wake, au atatengana na ndugu zake, au atahama kutoka nchi hiyo kwenda nchi nyingine na kama akiwa ameshahama basi atarudi kwao.

UKIOTA ndugu yako amekufa maana yake ni kwamba adui yako atafariki au wewe utahifadhi fedha nyingi.

UKIOTA unatembea katika kundi la maiti maana yake ni kwamba utafanya urafiki na watu wasiokuwa na maana.

UKIOTA unatembea na maiti hiyo ni ishara kwamba utapata safari ndefu au ishara ya kupata faida kutokana na safari.

UKIOTA unakula nyama ya maiti hiyo ni ishara kwamba utapata furaha.

UKIOTA maiti anakula chochote hiyo ni ishara ya kwamba kitu hicho kitakuwa ghali.

UKIOTA umelala juu ya meza ya kuoshea maiti hiyo ni ishara kwamba dhambi zako zitafutwa au utalipiwa madeni yako.

UKIOTA maiti anakuambia umfulie nguo zake hiyo ni ishara kwamba anahitaji umfanyie maombi na umsamehe kwa yale aliyokukosea au anakuhitaji wewe umlipie deni lake aliloacha nyuma au umuombe kwa watu aliowakosea wamsamehe.

UKIOTA unafua nguo za maiti hiyo ni ishara kwamba utapata nafuu katika matatizo yako yanayokusumbua.

UKIOTA unasafirisha maiti kwenda makaburini hiyo ni ishara kwamba unayoyafanya ni sawa.

UKIOTA unasafirisha maiti na ukawapeleka sokoni hiyo ni ishara kwamba mali zako unazotaka kuziuza zitanunuliwa upesi.

UKIOTA maiti nakuambia anaumwa na kichwa hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo ya kuulizwa maswali kutokana na yeye kukiuka dini.

UKIOTA kwamba baba yako au mama yako aliyekufa anaishi tena hiyo ni ishara kwamba utapata nafuu ya maisha na utaondekewa na hofu ya maisha.

UKIOTA maiti analalamika kuhusu jicho lake katika ndoto hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusu deni analodaiwa na mke wake au mirathi aliyoachiwa ambayo aliitumia vibaya.

UKIOTA maiti analalamika kuhusu mkono wake wa kushoto hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusu haki ya ndugu zake au mshirika wake wa kibiashara au kiapo cha uongo alichokifanya.

UKIOTA maiti kuhusu upande wake mmoja kumuuma hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na kuvunja uhusiano na familia yake na kushindwa kutekeleza wajibu wake kuhusiana na nyumba yake.

UKIOTA maiti analalamika kuhusu miguu yake hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na kupoteza maisha yake kwa rushwa na uongo.

UKIOTA maiti analalamika kuhusu nyayo zake hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na utajiri ambao aliutumia kwa njia za uongo na njia za udanganyifu alizokuwa akipatia mali zake.

UKIOTA unampa maiti chakula na kinywaji hiyo ni ishara kwamba utapoteza pesa.

UKIOTA unampa maiti nguo ya kuvaa hiyo ni ishara kwamba utapata uadui na maradhi.

UKIOTA maiti amekupa sanda yake uvae hiyo ni ishara kwamba utakufa.

UKIOTA maiti amekupa asali katika ndoto hiyo ni ishara kwamba utapata yale aliokuwa akiyafanya katika wakati wake.

UKIOTA chochote unachopewa na maiti katika ndoto ni ishara ya habari nzuri na baraka kwa ujumla.

UKIOTA maiti amekushika mkono na mnatembea kwa pamoja hiyo ni ishara kwamba utapata pesa katika njia ambazo hukuzitegemea.

UKIOTA unazungumza na maiti hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.

UKIOTA unambusu mtu anayefahamika ambaye amefariki dunia hiyo ni ishara kwamba utapata kile ambacho alikuwanacho.

UKIOTA unafanya mapenzi na maiti katika kaburi lake hiyo ni ishara kwamba utazini, au utachanganyika na watu waovu, au utapoteza pesa zako kwa kutapeliwa.

UKIOTA mwanamke aliyekufa amekuwa hai halafu ukafanya naye mapenzi hiyo ni ishara ya kwamba unajuta kwa yale uliyoyafanya na utapata hasara usiyoitegemea.

UKIOTA unafunga ndoa na maiti na ukaenda kuishi naye katika nyumba yake hiyo ni ishara ya kifo.

UKIOTA unamfuata maiti na ukaingia katika nyumba usiyoijua hiyo ni ishara kwamba unakaribia kifo chako na hutopona maradhi uliyokuwa nayo.

UKIOTA unapigwa na maiti hiyo ni ishara kwamba hukubaliani na mungu wako na umefanya dhambi ambayo unatakiwa uombe msamaha.

UKIOTA mtu aliyekuwa hai anampiga maiti na maiti huyo anakubali kupigwa hiyo ni ishara kwamba utatekeleza yale ambayo maiti alitaka yatakelezwe katika usia wake.

UKIOTA umelala na maiti katika kitanda kimoja hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.

UKIOTA maiti wametoka katika makaburi na wanauza vitu hiyo ni ishara kwamba mali zitadorora katika masoko.

UKIOTA maiti anafanya tendo zuri katika ndoto hiyo ni ishara kwamba anakutaka kwamba wewe ufanye hivyo.

UKIOTA mama yako amekufa katika ndoto hiyo ni ishara kwamba utapoteza mali zako na starehe zako na kupata matatizo ya kimaisha.
Mgonjwa akiota ndugu yake amekufa hiyo ni ishara kwamba atafariki yeye vinginevyo mmoja katika ndugu zake atafariki.

UKIOTA unajibu wito wa maiti maana yake ni kwamba utamfuata.

UKIOTA maiti anazama katika maji hiyo ni ishara kwamba wewe utajihusisha katika dhambi mbaya sana.

UKIOTA maiti wengi wametoka katika makaburi yao na wanakwenda kwenye nyumba zao hiyo ni ishara kwamba wafungwa wengi wataachiliwa kwa msamaha.

UKIOTA kiongozi amefariki hiyo ni ishara kwamba kuna udhaifu katika jeshi lake au serikali yake.

UKIOTA umefiwa na wazazi wako hiyo ni ishara ya kwamba utapata matatizo ya kifedha.

UKIOTA umefiwa na mkeo hiyo ni ishara kwamba raha ulizokuwa ukizipata zitakwisha.

UKIOTA umefiwa na mtoto wako wa kiume hiyo ni ishara ya kwamba jina lako litakuwa kubwa baada ya wewe kufariki.

UKIOTA maiti anamuombea maiti mwenzie hiyo ni ishara kwamba mambo unayoyafanya ni ya uongo au wewe unadanganya.
Mwanamke aliyoolewa akiota amemuona maiti hiyo ni ishara kwamba ataachwa na mumewe na mwanamke ambaye hajaolewa akiota ameolewa na maiti hiyo ni ishara kwamba atapata ndoa
 
Kuhusu ndoto ya baba yako ni kweli walipo kuwa hai wazazi hayo yalikuwepo lakini mfanyie dua baba au mamombi muhimu toka kwako. Kuhusu tafsiri ya ya kuoza meno katika ndoto.
Kwa hivyo, katika vitabu vingine vya ndoto, ndoto ambazo unaona meno yaliyooza ni habari ya ugomvi na wapendwa na wapendwa, kama vile mume au mke, na kwa wengine hata kifo cha mtu kutoka kwa familia au mduara wa karibu.
Pia, ndoto iliyo na meno yaliyooza inaweza kumaanisha kuwa hivi karibuni utapokea habari mbaya kutoka kwa nyumba, kutoka kwa jamaa, ambao mtu atakuwa mgonjwa sana au hata kufa.

NDOTO ZA KIFO NA MAANA ZAKE
UKIOTA umekufa maana yake ni kwamba utapata kazi yenye mamlaka au utafanya kazi kwa mtu mwenye uongozi aidha wa dini au serikali.
UKIOTA umetiwa kaburini na unazikwa hiyo ni ishara ya kwamba utakufa masikini.
UKIOTA mtu amekufa na wewe unaamini kwamba mtu huyo bado yuko hai hiyo ni ishara kwamba mtu huyo atakuletea ujumbe mzito wa kimungu.
UKIOTA umekufa lakini huna dalili za kufa na watu waliopo hawalii wala hakuna dalili za maombolezo maana yake ni kwamba utawadhibiti wapinzani wako au wafanyakazi wenzio au watu unaofanya nao kazi lakini utapoteza mali zako.
UKIOTA umekufa na ukaona kwamba unaonekana kama maiti na umevishwa sanda maana yake ni kwamba utapata matatizo ya kidini.
UKIOTA watu wana majonzi na kukulilia kwamba umekufa hiyo ni ishara ya wewe kupanda hadhi yako au kupata cheo katika dunia.
UKIOTA umekufa na ukazikwa ni ishara ya kwamba unaweza ukaishi muda mfupi na ukafa bila ya kutubu madhambi yako.
UKIOTA umetoka kaburini kwako baada ya kuzikwa hiyo ni ishara kwamba utatubu madhambi yako.
UKIOTA umekufa na watu wamekubeba kwenye mabega yao wanakupeleka kukuzika hiyo ni ishara ya kwamba utawashinda maadui zako na unafaa kuwa kiongozi.
UKIOTA umekufa halafu ukawa hai au ukafufuka hiyo ni ishara kwamba utapata utajiri na ufukara utakuondoka au utatubu dhambi zako au kurudi salama kwa yule aliyesafiri.
UKIOTA unaona kifo cha mwanamke ambaye humfahamu hiyo ni ishara ya ukame au kukosekana mvua katika sehemu yako.
UKIOTA mwanamke huyo amefufuka ni ishara ya kupata mvua kubwa.
Ndoto za kuota mwanamke amekufa ni ishara ya kifo cha mtoto.
UKIOTA mtu aliyekufa anakuambia kwamba yeye hajafa hiyo ni ishara kwamba huko aliko ana hali nzuri.
UKIOTA unabeba maiti maana yake ni kwamba utabeba chakula utakachopewa na mtu ambaye hapendi mambo ya dini wala Mungu.
UKIOTA umebeba maiti katika njia ambayo ni tofauti na watu wengine na unakwenda kumzika hiyo ni ishara kwamba utapata fedha za haramu.
UKIOTA unambeba maiti na unakwenda kumzika hiyo ni ishara kwamba utafanya kazi kwa kiongozi wa kisiasa.
UKIOTA unamwona mtu aliyekufa akiwa mgonjwa hiyo ni ishara ya kuwa huko aliko ana matatizo makubwa.
UKIOTA wakazi wa makaburini au maiti wakitoka kwenye makaburi yao na wakavamia chakula na kukila hiyo ni ishara ya kupanda kwa bei ya chakula.
UKIOTA maiti wanakunywa maji ya bombani au kisimani ni ishara ya kutokea maradhi mabaya.
UKIOTA mtu aliyekufa anakufa tena halafu anatembea au anawatembelea watoto wake au familia yake ni ishara ya kwamba huyo aliyetembelewa atakufa.
Kama UKIOTA huyo mtu aliyekufa hakuna mtu anayemlilia au kuomboleza hiyo ni ishara ya kufanyika harusi.
UKIOTA mtu aliyekufa anazungumza jambo kuhusu yeye mwenyewe basi jambo hilo ni kweli.
UKIOTA maiti anakuambia chochote halafu kitu hicho hakikutokea basi utakuwa una matatizo na ndoto zako.
UKIOTA unamwona aliyekufa akiwa nadhifu na amevaa nguo nyeupe au ya kijani basi hiyo ni ishara ya kwamba huko aliko ana hali nzuri.
UKIOTA unamwona aliyekufa akiwa mchafu na analia hiyo ni ishara kwamba huko aliko yuko katika hali mbaya.
UKIOTA unamswalia maiti hiyo ni ishara kwamba umuombee maiti huyo au umtembelee kaburini kwake au utakuwa mstari wa mbele kupingana na watu wenye roho mbaya au utaagana na mtu anayesafiri mbali au utawahudumia wasiojiweza.
UKIOTA mke wako amekufa halafu akafufuka hiyo ni ishara ya kupata faida kubwa katika biashara au kupata mavuno makubwa katika shamba lako.
UKIOTA umeona maiti imetupwa hiyo ni ishara kwamba utaokota fedha.
UKIOTA unatembea nyuma ya mtu aliyekufa hiyo ni ishara ya kwamba utafuata nyayo zake.
UKIOTA umemuona kiongozi wa dini amefariki hiyo ni ishara kwamba itatokea vita katika mji huo.
UKIOTA vita katika mji ni ishara ya kwamba kiongozi wa dini atafariki au amekufa.
UKIOTA umekufa bila sababu yoyote kama kuugua, au kuonyesha hali yoyote ya kufa hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.
UKIOTA umekufa kwa kupata matatizo makubwa au kuugua maradhi makubwa hiyo ni ishara kwamba hutendi haki kwako mwenyewe na kwa watu wengine.
UKIOTA umekufa na umewekwa kwenye mkeka au busati hiyo ni ishara kwamba utapata mafanikio ya kidunia.
UKIOTA umekufa na umelala kwenye takataka hiyo ni ishara ya kupoteza cheo chako.
UKIOTA umekufa na umelala kitandani hiyo ni ishara kwamba utanufaika na familia yako.
UKIOTA umesikia habari za kifo kwa mtu ambaye hafahamiki hiyo ni ishara kwamba uwe mwangalifu na mafanikio unayoyapata katika shughuli zako za kidunia kwa sababu unaweza ukahusishwa na kashfa za kidini.
UKIOTA mtoto wako wa kiume amekufa hiyo ni ishara kwamba utanusurika na maadui zako.
UKIOTA mtoto wako wa kike amefariki ni ishara kwamba utapata ufumbuzi wa matatizo yako.
UKIOTA umekufa na ukazikwa hiyo ni ishara kwamba utapata uhuru vinginevyo kama ulipewa mali au kitu ukihifadhi basi mwenye kitu hicho atakitaka umrudishie.
UKIOTA umekufa na ukazikwa maana yake ni kwamba utaoa au utaolewa.
UKIOTA mgonjwa ameoa katika ndoto ni ishara kwamba mgonjwa huyo atafariki.
UKIOTA mtu aliyeoa amefariki na akazikwa hiyo ni ishara kwamba atamuacha mkewe au atavunja uhusiano wa kibiashara na mshirika wake, au atatengana na ndugu zake, au atahama kutoka nchi hiyo kwenda nchi nyingine na kama akiwa ameshahama basi atarudi kwao.
UKIOTA ndugu yako amekufa maana yake ni kwamba adui yako atafariki au wewe utahifadhi fedha nyingi.
UKIOTA unatembea katika kundi la maiti maana yake ni kwamba utafanya urafiki na watu wasiokuwa na maana.
UKIOTA unatembea na maiti hiyo ni ishara kwamba utapata safari ndefu au ishara ya kupata faida kutokana na safari.
UKIOTA unakula nyama ya maiti hiyo ni ishara kwamba utapata furaha.
UKIOTA maiti anakula chochote hiyo ni ishara ya kwamba kitu hicho kitakuwa ghali.
UKIOTA umelala juu ya meza ya kuoshea maiti hiyo ni ishara kwamba dhambi zako zitafutwa au utalipiwa madeni yako.
UKIOTA maiti anakuambia umfulie nguo zake hiyo ni ishara kwamba anahitaji umfanyie maombi na umsamehe kwa yale aliyokukosea au anakuhitaji wewe umlipie deni lake aliloacha nyuma au umuombe kwa watu aliowakosea wamsamehe.
UKIOTA unafua nguo za maiti hiyo ni ishara kwamba utapata nafuu katika matatizo yako yanayokusumbua.
UKIOTA unasafirisha maiti kwenda makaburini hiyo ni ishara kwamba unayoyafanya ni sawa.
UKIOTA unasafirisha maiti na ukawapeleka sokoni hiyo ni ishara kwamba mali zako unazotaka kuziuza zitanunuliwa upesi.
UKIOTA maiti nakuambia anaumwa na kichwa hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo ya kuulizwa maswali kutokana na yeye kukiuka dini.
UKIOTA kwamba baba yako au mama yako aliyekufa anaishi tena hiyo ni ishara kwamba utapata nafuu ya maisha na utaondekewa na hofu ya maisha.
UKIOTA maiti analalamika kuhusu jicho lake katika ndoto hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusu deni analodaiwa na mke wake au mirathi aliyoachiwa ambayo aliitumia vibaya.
UKIOTA maiti analalamika kuhusu mkono wake wa kushoto hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusu haki ya ndugu zake au mshirika wake wa kibiashara au kiapo cha uongo alichokifanya.
UKIOTA maiti kuhusu upande wake mmoja kumuuma hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na kuvunja uhusiano na familia yake na kushindwa kutekeleza wajibu wake kuhusiana na nyumba yake.
UKIOTA maiti analalamika kuhusu miguu yake hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na kupoteza maisha yake kwa rushwa na uongo.
UKIOTA maiti analalamika kuhusu nyayo zake hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na utajiri ambao aliutumia kwa njia za uongo na njia za udanganyifu alizokuwa akipatia mali zake.
UKIOTA unampa maiti chakula na kinywaji hiyo ni ishara kwamba utapoteza pesa.
UKIOTA unampa maiti nguo ya kuvaa hiyo ni ishara kwamba utapata uadui na maradhi.
UKIOTA maiti amekupa sanda yake uvae hiyo ni ishara kwamba utakufa.
UKIOTA maiti amekupa asali katika ndoto hiyo ni ishara kwamba utapata yale aliokuwa akiyafanya katika wakati wake.
UKIOTA chochote unachopewa na maiti katika ndoto ni ishara ya habari nzuri na baraka kwa ujumla.
UKIOTA maiti amekushika mkono na mnatembea kwa pamoja hiyo ni ishara kwamba utapata pesa katika njia ambazo hukuzitegemea.
UKIOTA unazungumza na maiti hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.
UKIOTA unambusu mtu anayefahamika ambaye amefariki dunia hiyo ni ishara kwamba utapata kile ambacho alikuwanacho.
UKIOTA unafanya mapenzi na maiti katika kaburi lake hiyo ni ishara kwamba utazini, au utachanganyika na watu waovu, au utapoteza pesa zako kwa kutapeliwa.
UKIOTA mwanamke aliyekufa amekuwa hai halafu ukafanya naye mapenzi hiyo ni ishara ya kwamba unajuta kwa yale uliyoyafanya na utapata hasara usiyoitegemea.
UKIOTA unafunga ndoa na maiti na ukaenda kuishi naye katika nyumba yake hiyo ni ishara ya kifo.
UKIOTA unamfuata maiti na ukaingia katika nyumba usiyoijua hiyo ni ishara kwamba unakaribia kifo chako na hutopona maradhi uliyokuwa nayo.
UKIOTA unapigwa na maiti hiyo ni ishara kwamba hukubaliani na mungu wako na umefanya dhambi ambayo unatakiwa uombe msamaha.
UKIOTA mtu aliyekuwa hai anampiga maiti na maiti huyo anakubali kupigwa hiyo ni ishara kwamba utatekeleza yale ambayo maiti alitaka yatakelezwe katika usia wake.
UKIOTA umelala na maiti katika kitanda kimoja hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.
UKIOTA maiti wametoka katika makaburi na wanauza vitu hiyo ni ishara kwamba mali zitadorora katika masoko.
UKIOTA maiti anafanya tendo zuri katika ndoto hiyo ni ishara kwamba anakutaka kwamba wewe ufanye hivyo.
UKIOTA mama yako amekufa katika ndoto hiyo ni ishara kwamba utapoteza mali zako na starehe zako na kupata matatizo ya kimaisha.
Mgonjwa akiota ndugu yake amekufa hiyo ni ishara kwamba atafariki yeye vinginevyo mmoja katika ndugu zake atafariki.
UKIOTA unajibu wito wa maiti maana yake ni kwamba utamfuata.
UKIOTA maiti anazama katika maji hiyo ni ishara kwamba wewe utajihusisha katika dhambi mbaya sana.
UKIOTA maiti wengi wametoka katika makaburi yao na wanakwenda kwenye nyumba zao hiyo ni ishara kwamba wafungwa wengi wataachiliwa kwa msamaha.
UKIOTA kiongozi amefariki hiyo ni ishara kwamba kuna udhaifu katika jeshi lake au serikali yake.
UKIOTA umefiwa na wazazi wako hiyo ni ishara ya kwamba utapata matatizo ya kifedha.
UKIOTA umefiwa na mkeo hiyo ni ishara kwamba raha ulizokuwa ukizipata zitakwisha.
UKIOTA umefiwa na mtoto wako wa kiume hiyo ni ishara ya kwamba jina lako litakuwa kubwa baada ya wewe kufariki.
UKIOTA maiti anamuombea maiti mwenzie hiyo ni ishara kwamba mambo unayoyafanya ni ya uongo au wewe unadanganya.
Mwanamke aliyoolewa akiota amemuona maiti hiyo ni ishara kwamba ataachwa na mumewe na mwanamke ambaye hajaolewa akiota ameolewa na maiti hiyo ni ishara kwamba atapata ndoa
Kuhusu ndoto ya baba yako ni kweli walipo kuwa hai wazazi hayo yalikuwepo lakini mfanyie dua baba au mamombi muhimu toka kwako. Kuhusu tafsiri ya ya kuoza meno katika ndoto.
Kwa hivyo, katika vitabu vingine vya ndoto, ndoto ambazo unaona meno yaliyooza ni habari ya ugomvi na wapendwa na wapendwa, kama vile mume au mke, na kwa wengine hata kifo cha mtu kutoka kwa familia au mduara wa karibu.
Pia, ndoto iliyo na meno yaliyooza inaweza kumaanisha kuwa hivi karibuni utapokea habari mbaya kutoka kwa nyumba, kutoka kwa jamaa, ambao mtu atakuwa mgonjwa sana au hata kufa.

NDOTO ZA KIFO NA MAANA ZAKE
UKIOTA umekufa maana yake ni kwamba utapata kazi yenye mamlaka au utafanya kazi kwa mtu mwenye uongozi aidha wa dini au serikali.
UKIOTA umetiwa kaburini na unazikwa hiyo ni ishara ya kwamba utakufa masikini.
UKIOTA mtu amekufa na wewe unaamini kwamba mtu huyo bado yuko hai hiyo ni ishara kwamba mtu huyo atakuletea ujumbe mzito wa kimungu.
UKIOTA umekufa lakini huna dalili za kufa na watu waliopo hawalii wala hakuna dalili za maombolezo maana yake ni kwamba utawadhibiti wapinzani wako au wafanyakazi wenzio au watu unaofanya nao kazi lakini utapoteza mali zako.
UKIOTA umekufa na ukaona kwamba unaonekana kama maiti na umevishwa sanda maana yake ni kwamba utapata matatizo ya kidini.
UKIOTA watu wana majonzi na kukulilia kwamba umekufa hiyo ni ishara ya wewe kupanda hadhi yako au kupata cheo katika dunia.
UKIOTA umekufa na ukazikwa ni ishara ya kwamba unaweza ukaishi muda mfupi na ukafa bila ya kutubu madhambi yako.
UKIOTA umetoka kaburini kwako baada ya kuzikwa hiyo ni ishara kwamba utatubu madhambi yako.
UKIOTA umekufa na watu wamekubeba kwenye mabega yao wanakupeleka kukuzika hiyo ni ishara ya kwamba utawashinda maadui zako na unafaa kuwa kiongozi.
UKIOTA umekufa halafu ukawa hai au ukafufuka hiyo ni ishara kwamba utapata utajiri na ufukara utakuondoka au utatubu dhambi zako au kurudi salama kwa yule aliyesafiri.
UKIOTA unaona kifo cha mwanamke ambaye humfahamu hiyo ni ishara ya ukame au kukosekana mvua katika sehemu yako.
UKIOTA mwanamke huyo amefufuka ni ishara ya kupata mvua kubwa.
Ndoto za kuota mwanamke amekufa ni ishara ya kifo cha mtoto.
UKIOTA mtu aliyekufa anakuambia kwamba yeye hajafa hiyo ni ishara kwamba huko aliko ana hali nzuri.
UKIOTA unabeba maiti maana yake ni kwamba utabeba chakula utakachopewa na mtu ambaye hapendi mambo ya dini wala Mungu.
UKIOTA umebeba maiti katika njia ambayo ni tofauti na watu wengine na unakwenda kumzika hiyo ni ishara kwamba utapata fedha za haramu.
UKIOTA unambeba maiti na unakwenda kumzika hiyo ni ishara kwamba utafanya kazi kwa kiongozi wa kisiasa.
UKIOTA unamwona mtu aliyekufa akiwa mgonjwa hiyo ni ishara ya kuwa huko aliko ana matatizo makubwa.
UKIOTA wakazi wa makaburini au maiti wakitoka kwenye makaburi yao na wakavamia chakula na kukila hiyo ni ishara ya kupanda kwa bei ya chakula.
UKIOTA maiti wanakunywa maji ya bombani au kisimani ni ishara ya kutokea maradhi mabaya.
UKIOTA mtu aliyekufa anakufa tena halafu anatembea au anawatembelea watoto wake au familia yake ni ishara ya kwamba huyo aliyetembelewa atakufa.
Kama UKIOTA huyo mtu aliyekufa hakuna mtu anayemlilia au kuomboleza hiyo ni ishara ya kufanyika harusi.
UKIOTA mtu aliyekufa anazungumza jambo kuhusu yeye mwenyewe basi jambo hilo ni kweli.
UKIOTA maiti anakuambia chochote halafu kitu hicho hakikutokea basi utakuwa una matatizo na ndoto zako.
UKIOTA unamwona aliyekufa akiwa nadhifu na amevaa nguo nyeupe au ya kijani basi hiyo ni ishara ya kwamba huko aliko ana hali nzuri.
UKIOTA unamwona aliyekufa akiwa mchafu na analia hiyo ni ishara kwamba huko aliko yuko katika hali mbaya.
UKIOTA unamswalia maiti hiyo ni ishara kwamba umuombee maiti huyo au umtembelee kaburini kwake au utakuwa mstari wa mbele kupingana na watu wenye roho mbaya au utaagana na mtu anayesafiri mbali au utawahudumia wasiojiweza.
UKIOTA mke wako amekufa halafu akafufuka hiyo ni ishara ya kupata faida kubwa katika biashara au kupata mavuno makubwa katika shamba lako.
UKIOTA umeona maiti imetupwa hiyo ni ishara kwamba utaokota fedha.
UKIOTA unatembea nyuma ya mtu aliyekufa hiyo ni ishara ya kwamba utafuata nyayo zake.
UKIOTA umemuona kiongozi wa dini amefariki hiyo ni ishara kwamba itatokea vita katika mji huo.
UKIOTA vita katika mji ni ishara ya kwamba kiongozi wa dini atafariki au amekufa.
UKIOTA umekufa bila sababu yoyote kama kuugua, au kuonyesha hali yoyote ya kufa hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.
UKIOTA umekufa kwa kupata matatizo makubwa au kuugua maradhi makubwa hiyo ni ishara kwamba hutendi haki kwako mwenyewe na kwa watu wengine.
UKIOTA umekufa na umewekwa kwenye mkeka au busati hiyo ni ishara kwamba utapata mafanikio ya kidunia.
UKIOTA umekufa na umelala kwenye takataka hiyo ni ishara ya kupoteza cheo chako.
UKIOTA umekufa na umelala kitandani hiyo ni ishara kwamba utanufaika na familia yako.
UKIOTA umesikia habari za kifo kwa mtu ambaye hafahamiki hiyo ni ishara kwamba uwe mwangalifu na mafanikio unayoyapata katika shughuli zako za kidunia kwa sababu unaweza ukahusishwa na kashfa za kidini.
UKIOTA mtoto wako wa kiume amekufa hiyo ni ishara kwamba utanusurika na maadui zako.
UKIOTA mtoto wako wa kike amefariki ni ishara kwamba utapata ufumbuzi wa matatizo yako.
UKIOTA umekufa na ukazikwa hiyo ni ishara kwamba utapata uhuru vinginevyo kama ulipewa mali au kitu ukihifadhi basi mwenye kitu hicho atakitaka umrudishie.
UKIOTA umekufa na ukazikwa maana yake ni kwamba utaoa au utaolewa.
UKIOTA mgonjwa ameoa katika ndoto ni ishara kwamba mgonjwa huyo atafariki.
UKIOTA mtu aliyeoa amefariki na akazikwa hiyo ni ishara kwamba atamuacha mkewe au atavunja uhusiano wa kibiashara na mshirika wake, au atatengana na ndugu zake, au atahama kutoka nchi hiyo kwenda nchi nyingine na kama akiwa ameshahama basi atarudi kwao.
UKIOTA ndugu yako amekufa maana yake ni kwamba adui yako atafariki au wewe utahifadhi fedha nyingi.
UKIOTA unatembea katika kundi la maiti maana yake ni kwamba utafanya urafiki na watu wasiokuwa na maana.
UKIOTA unatembea na maiti hiyo ni ishara kwamba utapata safari ndefu au ishara ya kupata faida kutokana na safari.
UKIOTA unakula nyama ya maiti hiyo ni ishara kwamba utapata furaha.
UKIOTA maiti anakula chochote hiyo ni ishara ya kwamba kitu hicho kitakuwa ghali.
UKIOTA umelala juu ya meza ya kuoshea maiti hiyo ni ishara kwamba dhambi zako zitafutwa au utalipiwa madeni yako.
UKIOTA maiti anakuambia umfulie nguo zake hiyo ni ishara kwamba anahitaji umfanyie maombi na umsamehe kwa yale aliyokukosea au anakuhitaji wewe umlipie deni lake aliloacha nyuma au umuombe kwa watu aliowakosea wamsamehe.
UKIOTA unafua nguo za maiti hiyo ni ishara kwamba utapata nafuu katika matatizo yako yanayokusumbua.
UKIOTA unasafirisha maiti kwenda makaburini hiyo ni ishara kwamba unayoyafanya ni sawa.
UKIOTA unasafirisha maiti na ukawapeleka sokoni hiyo ni ishara kwamba mali zako unazotaka kuziuza zitanunuliwa upesi.
UKIOTA maiti nakuambia anaumwa na kichwa hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo ya kuulizwa maswali kutokana na yeye kukiuka dini.
UKIOTA kwamba baba yako au mama yako aliyekufa anaishi tena hiyo ni ishara kwamba utapata nafuu ya maisha na utaondekewa na hofu ya maisha.
UKIOTA maiti analalamika kuhusu jicho lake katika ndoto hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusu deni analodaiwa na mke wake au mirathi aliyoachiwa ambayo aliitumia vibaya.
UKIOTA maiti analalamika kuhusu mkono wake wa kushoto hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusu haki ya ndugu zake au mshirika wake wa kibiashara au kiapo cha uongo alichokifanya.
UKIOTA maiti kuhusu upande wake mmoja kumuuma hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na kuvunja uhusiano na familia yake na kushindwa kutekeleza wajibu wake kuhusiana na nyumba yake.
UKIOTA maiti analalamika kuhusu miguu yake hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na kupoteza maisha yake kwa rushwa na uongo.
UKIOTA maiti analalamika kuhusu nyayo zake hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na utajiri ambao aliutumia kwa njia za uongo na njia za udanganyifu alizokuwa akipatia mali zake.
UKIOTA unampa maiti chakula na kinywaji hiyo ni ishara kwamba utapoteza pesa.
UKIOTA unampa maiti nguo ya kuvaa hiyo ni ishara kwamba utapata uadui na maradhi.
UKIOTA maiti amekupa sanda yake uvae hiyo ni ishara kwamba utakufa.
UKIOTA maiti amekupa asali katika ndoto hiyo ni ishara kwamba utapata yale aliokuwa akiyafanya katika wakati wake.
UKIOTA chochote unachopewa na maiti katika ndoto ni ishara ya habari nzuri na baraka kwa ujumla.
UKIOTA maiti amekushika mkono na mnatembea kwa pamoja hiyo ni ishara kwamba utapata pesa katika njia ambazo hukuzitegemea.
UKIOTA unazungumza na maiti hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.
UKIOTA unambusu mtu anayefahamika ambaye amefariki dunia hiyo ni ishara kwamba utapata kile ambacho alikuwanacho.
UKIOTA unafanya mapenzi na maiti katika kaburi lake hiyo ni ishara kwamba utazini, au utachanganyika na watu waovu, au utapoteza pesa zako kwa kutapeliwa.
UKIOTA mwanamke aliyekufa amekuwa hai halafu ukafanya naye mapenzi hiyo ni ishara ya kwamba unajuta kwa yale uliyoyafanya na utapata hasara usiyoitegemea.
UKIOTA unafunga ndoa na maiti na ukaenda kuishi naye katika nyumba yake hiyo ni ishara ya kifo.
UKIOTA unamfuata maiti na ukaingia katika nyumba usiyoijua hiyo ni ishara kwamba unakaribia kifo chako na hutopona maradhi uliyokuwa nayo.
UKIOTA unapigwa na maiti hiyo ni ishara kwamba hukubaliani na mungu wako na umefanya dhambi ambayo unatakiwa uombe msamaha.
UKIOTA mtu aliyekuwa hai anampiga maiti na maiti huyo anakubali kupigwa hiyo ni ishara kwamba utatekeleza yale ambayo maiti alitaka yatakelezwe katika usia wake.
UKIOTA umelala na maiti katika kitanda kimoja hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.
UKIOTA maiti wametoka katika makaburi na wanauza vitu hiyo ni ishara kwamba mali zitadorora katika masoko.
UKIOTA maiti anafanya tendo zuri katika ndoto hiyo ni ishara kwamba anakutaka kwamba wewe ufanye hivyo.
UKIOTA mama yako amekufa katika ndoto hiyo ni ishara kwamba utapoteza mali zako na starehe zako na kupata matatizo ya kimaisha.
Mgonjwa akiota ndugu yake amekufa hiyo ni ishara kwamba atafariki yeye vinginevyo mmoja katika ndugu zake atafariki.
UKIOTA unajibu wito wa maiti maana yake ni kwamba utamfuata.
UKIOTA maiti anazama katika maji hiyo ni ishara kwamba wewe utajihusisha katika dhambi mbaya sana.
UKIOTA maiti wengi wametoka katika makaburi yao na wanakwenda kwenye nyumba zao hiyo ni ishara kwamba wafungwa wengi wataachiliwa kwa msamaha.
UKIOTA kiongozi amefariki hiyo ni ishara kwamba kuna udhaifu katika jeshi lake au serikali yake.
UKIOTA umefiwa na wazazi wako hiyo ni ishara ya kwamba utapata matatizo ya kifedha.
UKIOTA umefiwa na mkeo hiyo ni ishara kwamba raha ulizokuwa ukizipata zitakwisha.
UKIOTA umefiwa na mtoto wako wa kiume hiyo ni ishara ya kwamba jina lako litakuwa kubwa baada ya wewe kufariki.
UKIOTA maiti anamuombea maiti mwenzie hiyo ni ishara kwamba mambo unayoyafanya ni ya uongo au wewe unadanganya.
Mwanamke aliyoolewa akiota amemuona maiti hiyo ni ishara kwamba ataachwa na mumewe na mwanamke ambaye hajaolewa akiota ameolewa na maiti hiyo ni ishara kwamba atapata ndoa
Mkuu UKiota ndoto katika ndoto na ukashtuka katika ndoto ukasema kumbe naota ,hii inamaanisha nini
 
Kuhusu ndoto ya baba yako ni kweli walipo kuwa hai wazazi hayo yalikuwepo lakini mfanyie dua baba au mamombi muhimu toka kwako. Kuhusu tafsiri ya ya kuoza meno katika ndoto.
Kwa hivyo, katika vitabu vingine vya ndoto, ndoto ambazo unaona meno yaliyooza ni habari ya ugomvi na wapendwa na wapendwa, kama vile mume au mke, na kwa wengine hata kifo cha mtu kutoka kwa familia au mduara wa karibu.
Pia, ndoto iliyo na meno yaliyooza inaweza kumaanisha kuwa hivi karibuni utapokea habari mbaya kutoka kwa nyumba, kutoka kwa jamaa, ambao mtu atakuwa mgonjwa sana au hata kufa.

NDOTO ZA KIFO NA MAANA ZAKE
UKIOTA umekufa maana yake ni kwamba utapata kazi yenye mamlaka au utafanya kazi kwa mtu mwenye uongozi aidha wa dini au serikali.
UKIOTA umetiwa kaburini na unazikwa hiyo ni ishara ya kwamba utakufa masikini.
UKIOTA mtu amekufa na wewe unaamini kwamba mtu huyo bado yuko hai hiyo ni ishara kwamba mtu huyo atakuletea ujumbe mzito wa kimungu.
UKIOTA umekufa lakini huna dalili za kufa na watu waliopo hawalii wala hakuna dalili za maombolezo maana yake ni kwamba utawadhibiti wapinzani wako au wafanyakazi wenzio au watu unaofanya nao kazi lakini utapoteza mali zako.
UKIOTA umekufa na ukaona kwamba unaonekana kama maiti na umevishwa sanda maana yake ni kwamba utapata matatizo ya kidini.
UKIOTA watu wana majonzi na kukulilia kwamba umekufa hiyo ni ishara ya wewe kupanda hadhi yako au kupata cheo katika dunia.
UKIOTA umekufa na ukazikwa ni ishara ya kwamba unaweza ukaishi muda mfupi na ukafa bila ya kutubu madhambi yako.
UKIOTA umetoka kaburini kwako baada ya kuzikwa hiyo ni ishara kwamba utatubu madhambi yako.
UKIOTA umekufa na watu wamekubeba kwenye mabega yao wanakupeleka kukuzika hiyo ni ishara ya kwamba utawashinda maadui zako na unafaa kuwa kiongozi.
UKIOTA umekufa halafu ukawa hai au ukafufuka hiyo ni ishara kwamba utapata utajiri na ufukara utakuondoka au utatubu dhambi zako au kurudi salama kwa yule aliyesafiri.
UKIOTA unaona kifo cha mwanamke ambaye humfahamu hiyo ni ishara ya ukame au kukosekana mvua katika sehemu yako.
UKIOTA mwanamke huyo amefufuka ni ishara ya kupata mvua kubwa.
Ndoto za kuota mwanamke amekufa ni ishara ya kifo cha mtoto.
UKIOTA mtu aliyekufa anakuambia kwamba yeye hajafa hiyo ni ishara kwamba huko aliko ana hali nzuri.
UKIOTA unabeba maiti maana yake ni kwamba utabeba chakula utakachopewa na mtu ambaye hapendi mambo ya dini wala Mungu.
UKIOTA umebeba maiti katika njia ambayo ni tofauti na watu wengine na unakwenda kumzika hiyo ni ishara kwamba utapata fedha za haramu.
UKIOTA unambeba maiti na unakwenda kumzika hiyo ni ishara kwamba utafanya kazi kwa kiongozi wa kisiasa.
UKIOTA unamwona mtu aliyekufa akiwa mgonjwa hiyo ni ishara ya kuwa huko aliko ana matatizo makubwa.
UKIOTA wakazi wa makaburini au maiti wakitoka kwenye makaburi yao na wakavamia chakula na kukila hiyo ni ishara ya kupanda kwa bei ya chakula.
UKIOTA maiti wanakunywa maji ya bombani au kisimani ni ishara ya kutokea maradhi mabaya.
UKIOTA mtu aliyekufa anakufa tena halafu anatembea au anawatembelea watoto wake au familia yake ni ishara ya kwamba huyo aliyetembelewa atakufa.
Kama UKIOTA huyo mtu aliyekufa hakuna mtu anayemlilia au kuomboleza hiyo ni ishara ya kufanyika harusi.
UKIOTA mtu aliyekufa anazungumza jambo kuhusu yeye mwenyewe basi jambo hilo ni kweli.
UKIOTA maiti anakuambia chochote halafu kitu hicho hakikutokea basi utakuwa una matatizo na ndoto zako.
UKIOTA unamwona aliyekufa akiwa nadhifu na amevaa nguo nyeupe au ya kijani basi hiyo ni ishara ya kwamba huko aliko ana hali nzuri.
UKIOTA unamwona aliyekufa akiwa mchafu na analia hiyo ni ishara kwamba huko aliko yuko katika hali mbaya.
UKIOTA unamswalia maiti hiyo ni ishara kwamba umuombee maiti huyo au umtembelee kaburini kwake au utakuwa mstari wa mbele kupingana na watu wenye roho mbaya au utaagana na mtu anayesafiri mbali au utawahudumia wasiojiweza.
UKIOTA mke wako amekufa halafu akafufuka hiyo ni ishara ya kupata faida kubwa katika biashara au kupata mavuno makubwa katika shamba lako.
UKIOTA umeona maiti imetupwa hiyo ni ishara kwamba utaokota fedha.
UKIOTA unatembea nyuma ya mtu aliyekufa hiyo ni ishara ya kwamba utafuata nyayo zake.
UKIOTA umemuona kiongozi wa dini amefariki hiyo ni ishara kwamba itatokea vita katika mji huo.
UKIOTA vita katika mji ni ishara ya kwamba kiongozi wa dini atafariki au amekufa.
UKIOTA umekufa bila sababu yoyote kama kuugua, au kuonyesha hali yoyote ya kufa hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.
UKIOTA umekufa kwa kupata matatizo makubwa au kuugua maradhi makubwa hiyo ni ishara kwamba hutendi haki kwako mwenyewe na kwa watu wengine.
UKIOTA umekufa na umewekwa kwenye mkeka au busati hiyo ni ishara kwamba utapata mafanikio ya kidunia.
UKIOTA umekufa na umelala kwenye takataka hiyo ni ishara ya kupoteza cheo chako.
UKIOTA umekufa na umelala kitandani hiyo ni ishara kwamba utanufaika na familia yako.
UKIOTA umesikia habari za kifo kwa mtu ambaye hafahamiki hiyo ni ishara kwamba uwe mwangalifu na mafanikio unayoyapata katika shughuli zako za kidunia kwa sababu unaweza ukahusishwa na kashfa za kidini.
UKIOTA mtoto wako wa kiume amekufa hiyo ni ishara kwamba utanusurika na maadui zako.
UKIOTA mtoto wako wa kike amefariki ni ishara kwamba utapata ufumbuzi wa matatizo yako.
UKIOTA umekufa na ukazikwa hiyo ni ishara kwamba utapata uhuru vinginevyo kama ulipewa mali au kitu ukihifadhi basi mwenye kitu hicho atakitaka umrudishie.
UKIOTA umekufa na ukazikwa maana yake ni kwamba utaoa au utaolewa.
UKIOTA mgonjwa ameoa katika ndoto ni ishara kwamba mgonjwa huyo atafariki.
UKIOTA mtu aliyeoa amefariki na akazikwa hiyo ni ishara kwamba atamuacha mkewe au atavunja uhusiano wa kibiashara na mshirika wake, au atatengana na ndugu zake, au atahama kutoka nchi hiyo kwenda nchi nyingine na kama akiwa ameshahama basi atarudi kwao.
UKIOTA ndugu yako amekufa maana yake ni kwamba adui yako atafariki au wewe utahifadhi fedha nyingi.
UKIOTA unatembea katika kundi la maiti maana yake ni kwamba utafanya urafiki na watu wasiokuwa na maana.
UKIOTA unatembea na maiti hiyo ni ishara kwamba utapata safari ndefu au ishara ya kupata faida kutokana na safari.
UKIOTA unakula nyama ya maiti hiyo ni ishara kwamba utapata furaha.
UKIOTA maiti anakula chochote hiyo ni ishara ya kwamba kitu hicho kitakuwa ghali.
UKIOTA umelala juu ya meza ya kuoshea maiti hiyo ni ishara kwamba dhambi zako zitafutwa au utalipiwa madeni yako.
UKIOTA maiti anakuambia umfulie nguo zake hiyo ni ishara kwamba anahitaji umfanyie maombi na umsamehe kwa yale aliyokukosea au anakuhitaji wewe umlipie deni lake aliloacha nyuma au umuombe kwa watu aliowakosea wamsamehe.
UKIOTA unafua nguo za maiti hiyo ni ishara kwamba utapata nafuu katika matatizo yako yanayokusumbua.
UKIOTA unasafirisha maiti kwenda makaburini hiyo ni ishara kwamba unayoyafanya ni sawa.
UKIOTA unasafirisha maiti na ukawapeleka sokoni hiyo ni ishara kwamba mali zako unazotaka kuziuza zitanunuliwa upesi.
UKIOTA maiti nakuambia anaumwa na kichwa hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo ya kuulizwa maswali kutokana na yeye kukiuka dini.
UKIOTA kwamba baba yako au mama yako aliyekufa anaishi tena hiyo ni ishara kwamba utapata nafuu ya maisha na utaondekewa na hofu ya maisha.
UKIOTA maiti analalamika kuhusu jicho lake katika ndoto hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusu deni analodaiwa na mke wake au mirathi aliyoachiwa ambayo aliitumia vibaya.
UKIOTA maiti analalamika kuhusu mkono wake wa kushoto hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusu haki ya ndugu zake au mshirika wake wa kibiashara au kiapo cha uongo alichokifanya.
UKIOTA maiti kuhusu upande wake mmoja kumuuma hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na kuvunja uhusiano na familia yake na kushindwa kutekeleza wajibu wake kuhusiana na nyumba yake.
UKIOTA maiti analalamika kuhusu miguu yake hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na kupoteza maisha yake kwa rushwa na uongo.
UKIOTA maiti analalamika kuhusu nyayo zake hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na utajiri ambao aliutumia kwa njia za uongo na njia za udanganyifu alizokuwa akipatia mali zake.
UKIOTA unampa maiti chakula na kinywaji hiyo ni ishara kwamba utapoteza pesa.
UKIOTA unampa maiti nguo ya kuvaa hiyo ni ishara kwamba utapata uadui na maradhi.
UKIOTA maiti amekupa sanda yake uvae hiyo ni ishara kwamba utakufa.
UKIOTA maiti amekupa asali katika ndoto hiyo ni ishara kwamba utapata yale aliokuwa akiyafanya katika wakati wake.
UKIOTA chochote unachopewa na maiti katika ndoto ni ishara ya habari nzuri na baraka kwa ujumla.
UKIOTA maiti amekushika mkono na mnatembea kwa pamoja hiyo ni ishara kwamba utapata pesa katika njia ambazo hukuzitegemea.
UKIOTA unazungumza na maiti hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.
UKIOTA unambusu mtu anayefahamika ambaye amefariki dunia hiyo ni ishara kwamba utapata kile ambacho alikuwanacho.
UKIOTA unafanya mapenzi na maiti katika kaburi lake hiyo ni ishara kwamba utazini, au utachanganyika na watu waovu, au utapoteza pesa zako kwa kutapeliwa.
UKIOTA mwanamke aliyekufa amekuwa hai halafu ukafanya naye mapenzi hiyo ni ishara ya kwamba unajuta kwa yale uliyoyafanya na utapata hasara usiyoitegemea.
UKIOTA unafunga ndoa na maiti na ukaenda kuishi naye katika nyumba yake hiyo ni ishara ya kifo.
UKIOTA unamfuata maiti na ukaingia katika nyumba usiyoijua hiyo ni ishara kwamba unakaribia kifo chako na hutopona maradhi uliyokuwa nayo.
UKIOTA unapigwa na maiti hiyo ni ishara kwamba hukubaliani na mungu wako na umefanya dhambi ambayo unatakiwa uombe msamaha.
UKIOTA mtu aliyekuwa hai anampiga maiti na maiti huyo anakubali kupigwa hiyo ni ishara kwamba utatekeleza yale ambayo maiti alitaka yatakelezwe katika usia wake.
UKIOTA umelala na maiti katika kitanda kimoja hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.
UKIOTA maiti wametoka katika makaburi na wanauza vitu hiyo ni ishara kwamba mali zitadorora katika masoko.
UKIOTA maiti anafanya tendo zuri katika ndoto hiyo ni ishara kwamba anakutaka kwamba wewe ufanye hivyo.
UKIOTA mama yako amekufa katika ndoto hiyo ni ishara kwamba utapoteza mali zako na starehe zako na kupata matatizo ya kimaisha.
Mgonjwa akiota ndugu yake amekufa hiyo ni ishara kwamba atafariki yeye vinginevyo mmoja katika ndugu zake atafariki.
UKIOTA unajibu wito wa maiti maana yake ni kwamba utamfuata.
UKIOTA maiti anazama katika maji hiyo ni ishara kwamba wewe utajihusisha katika dhambi mbaya sana.
UKIOTA maiti wengi wametoka katika makaburi yao na wanakwenda kwenye nyumba zao hiyo ni ishara kwamba wafungwa wengi wataachiliwa kwa msamaha.
UKIOTA kiongozi amefariki hiyo ni ishara kwamba kuna udhaifu katika jeshi lake au serikali yake.
UKIOTA umefiwa na wazazi wako hiyo ni ishara ya kwamba utapata matatizo ya kifedha.
UKIOTA umefiwa na mkeo hiyo ni ishara kwamba raha ulizokuwa ukizipata zitakwisha.
UKIOTA umefiwa na mtoto wako wa kiume hiyo ni ishara ya kwamba jina lako litakuwa kubwa baada ya wewe kufariki.
UKIOTA maiti anamuombea maiti mwenzie hiyo ni ishara kwamba mambo unayoyafanya ni ya uongo au wewe unadanganya.
Mwanamke aliyoolewa akiota amemuona maiti hiyo ni ishara kwamba ataachwa na mumewe na mwanamke ambaye hajaolewa akiota ameolewa na maiti hiyo ni ishara kwamba atapata ndoa

Shukrani kwa Msaada huu wa Tafasiri!!
 
NDOTO ZA KIFO NA MAANA ZAKE

UKIOTA umekufa
maana yake ni kwamba utapata kazi yenye mamlaka au utafanya kazi kwa mtu mwenye uongozi aidha wa dini au serikali.

UKIOTA umetiwa kaburini na unazikwa hiyo ni ishara ya kwamba utakufa masikini.

UKIOTA mtu amekufa na wewe unaamini kwamba mtu huyo bado yuko hai hiyo ni ishara kwamba mtu huyo atakuletea ujumbe mzito wa kimungu.

UKIOTA umekufa lakini huna dalili za kufa na watu waliopo hawalii wala hakuna dalili za maombolezo maana yake ni kwamba utawadhibiti wapinzani wako au wafanyakazi wenzio au watu unaofanya nao kazi lakini utapoteza mali zako.

UKIOTA umekufa na ukaona kwamba unaonekana kama maiti na umevishwa sanda maana yake ni kwamba utapata matatizo ya kidini.

UKIOTA watu wana majonzi na kukulilia kwamba umekufa hiyo ni ishara ya wewe kupanda hadhi yako au kupata cheo katika dunia.

UKIOTA umekufa na ukazikwa ni ishara ya kwamba unaweza ukaishi muda mfupi na ukafa bila ya kutubu madhambi yako.

UKIOTA umetoka kaburini kwako baada ya kuzikwa hiyo ni ishara kwamba utatubu madhambi yako.

UKIOTA umekufa
na watu wamekubeba kwenye mabega yao wanakupeleka kukuzika hiyo ni ishara ya kwamba utawashinda maadui zako na unafaa kuwa kiongozi.

UKIOTA umekufa halafu ukawa hai au ukafufuka hiyo ni ishara kwamba utapata utajiri na ufukara utakuondoka au utatubu dhambi zako au kurudi salama kwa yule aliyesafiri.

UKIOTA unaona kifo cha mwanamke ambaye humfahamu hiyo ni ishara ya ukame au kukosekana mvua katika sehemu yako.

UKIOTA mwanamke huyo amefufuka ni ishara ya kupata mvua kubwa.
Ndoto za kuota mwanamke amekufa ni ishara ya kifo cha mtoto.

UKIOTA mtu aliyekufa anakuambia kwamba yeye hajafa hiyo ni ishara kwamba huko aliko ana hali nzuri.

UKIOTA unabeba maiti maana yake ni kwamba utabeba chakula utakachopewa na mtu ambaye hapendi mambo ya dini wala Mungu.

UKIOTA umebeba maiti katika njia ambayo ni tofauti na watu wengine na unakwenda kumzika hiyo ni ishara kwamba utapata fedha za haramu.

UKIOTA unambeba maiti na unakwenda kumzika hiyo ni ishara kwamba utafanya kazi kwa kiongozi wa kisiasa.

UKIOTA unamwona mtu aliyekufa akiwa mgonjwa hiyo ni ishara ya kuwa huko aliko ana matatizo makubwa.

UKIOTA wakazi wa makaburini au maiti wakitoka kwenye makaburi yao na wakavamia chakula na kukila hiyo ni ishara ya kupanda kwa bei ya chakula.

UKIOTA maiti wanakunywa maji ya bombani au kisimani ni ishara ya kutokea maradhi mabaya.

UKIOTA mtu aliyekufa anakufa tena halafu anatembea au anawatembelea watoto wake au familia yake ni ishara ya kwamba huyo aliyetembelewa atakufa.
Kama UKIOTA huyo mtu aliyekufa hakuna mtu anayemlilia au kuomboleza hiyo ni ishara ya kufanyika harusi.

UKIOTA mtu aliyekufa anazungumza jambo kuhusu yeye mwenyewe basi jambo hilo ni kweli.

UKIOTA maiti anakuambia chochote halafu kitu hicho hakikutokea basi utakuwa una matatizo na ndoto zako.

UKIOTA unamwona
aliyekufa akiwa nadhifu na amevaa nguo nyeupe au ya kijani basi hiyo ni ishara ya kwamba huko aliko ana hali nzuri.

UKIOTA unamwona aliyekufa akiwa mchafu na analia hiyo ni ishara kwamba huko aliko yuko katika hali mbaya.

UKIOTA unamswalia maiti hiyo ni ishara kwamba umuombee maiti huyo au umtembelee kaburini kwake au utakuwa mstari wa mbele kupingana na watu wenye roho mbaya au utaagana na mtu anayesafiri mbali au utawahudumia wasiojiweza.

UKIOTA mke wako amekufa halafu akafufuka hiyo ni ishara ya kupata faida kubwa katika biashara au kupata mavuno makubwa katika shamba lako.

UKIOTA umeona maiti imetupwa hiyo ni ishara kwamba utaokota fedha.

UKIOTA unatembea nyuma ya mtu aliyekufa hiyo ni ishara ya kwamba utafuata nyayo zake.

UKIOTA umemuona kiongozi wa dini amefariki hiyo ni ishara kwamba itatokea vita katika mji huo.

UKIOTA vita katika mji ni ishara ya kwamba kiongozi wa dini atafariki au amekufa.

UKIOTA umekufa bila sababu yoyote kama kuugua, au kuonyesha hali yoyote ya kufa hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.

UKIOTA umekufa kwa kupata matatizo makubwa au kuugua maradhi makubwa hiyo ni ishara kwamba hutendi haki kwako mwenyewe na kwa watu wengine.

UKIOTA umekufa na umewekwa kwenye mkeka au busati hiyo ni ishara kwamba utapata mafanikio ya kidunia.

UKIOTA umekufa na umelala kwenye takataka hiyo ni ishara ya kupoteza cheo chako.

UKIOTA umekufa na umelala kitandani hiyo ni ishara kwamba utanufaika na familia yako.

UKIOTA umesikia habari za kifo kwa mtu ambaye hafahamiki hiyo ni ishara kwamba uwe mwangalifu na mafanikio unayoyapata katika shughuli zako za kidunia kwa sababu unaweza ukahusishwa na kashfa za kidini.

UKIOTA mtoto wako wa kiume amekufa hiyo ni ishara kwamba utanusurika na maadui zako.

UKIOTA mtoto wako wa kike amefariki ni ishara kwamba utapata ufumbuzi wa matatizo yako.

UKIOTA umekufa na ukazikwa hiyo ni ishara kwamba utapata uhuru vinginevyo kama ulipewa mali au kitu ukihifadhi basi mwenye kitu hicho atakitaka umrudishie.

UKIOTA umekufa na ukazikwa maana yake ni kwamba utaoa au utaolewa.

UKIOTA mgonjwa ameoa katika ndoto ni ishara kwamba mgonjwa huyo atafariki.

UKIOTA mtu aliyeoa amefariki na akazikwa hiyo ni ishara kwamba atamuacha mkewe au atavunja uhusiano wa kibiashara na mshirika wake, au atatengana na ndugu zake, au atahama kutoka nchi hiyo kwenda nchi nyingine na kama akiwa ameshahama basi atarudi kwao.

UKIOTA ndugu yako amekufa maana yake ni kwamba adui yako atafariki au wewe utahifadhi fedha nyingi.

UKIOTA unatembea katika kundi la maiti maana yake ni kwamba utafanya urafiki na watu wasiokuwa na maana.

UKIOTA unatembea
na maiti hiyo ni ishara kwamba utapata safari ndefu au ishara ya kupata faida kutokana na safari.

UKIOTA unakula nyama ya maiti hiyo ni ishara kwamba utapata furaha.

UKIOTA maiti anakula chochote hiyo ni ishara ya kwamba kitu hicho kitakuwa ghali.

UKIOTA umelala juu ya meza ya kuoshea maiti hiyo ni ishara kwamba dhambi zako zitafutwa au utalipiwa madeni yako.

UKIOTA maiti anakuambia
umfulie nguo zake hiyo ni ishara kwamba anahitaji umfanyie maombi na umsamehe kwa yale aliyokukosea au anakuhitaji wewe umlipie deni lake aliloacha nyuma au umuombe kwa watu aliowakosea wamsamehe.

UKIOTA unafua nguo za maiti hiyo ni ishara kwamba utapata nafuu katika matatizo yako yanayokusumbua.

UKIOTA unasafirisha maiti
kwenda makaburini hiyo ni ishara kwamba unayoyafanya ni sawa.

UKIOTA unasafirisha maiti
na ukawapeleka sokoni hiyo ni ishara kwamba mali zako unazotaka kuziuza zitanunuliwa upesi.

UKIOTA maiti nakuambia anaumwa na kichwa hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo ya kuulizwa maswali kutokana na yeye kukiuka dini.

UKIOTA kwamba baba yako au mama yako aliyekufa anaishi tena hiyo ni ishara kwamba utapata nafuu ya maisha na utaondekewa na hofu ya maisha.

UKIOTA maiti analalamika
kuhusu jicho lake katika ndoto hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusu deni analodaiwa na mke wake au mirathi aliyoachiwa ambayo aliitumia vibaya.

UKIOTA maiti analalamika kuhusu mkono wake wa kushoto hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusu haki ya ndugu zake au mshirika wake wa kibiashara au kiapo cha uongo alichokifanya.

UKIOTA maiti kuhusu upande wake mmoja kumuuma hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na kuvunja uhusiano na familia yake na kushindwa kutekeleza wajibu wake kuhusiana na nyumba yake.

UKIOTA maiti analalamika kuhusu miguu yake hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na kupoteza maisha yake kwa rushwa na uongo.

UKIOTA maiti analalamika kuhusu nyayo zake hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na utajiri ambao aliutumia kwa njia za uongo na njia za udanganyifu alizokuwa akipatia mali zake.

UKIOTA unampa maiti chakula na kinywaji hiyo ni ishara kwamba utapoteza pesa.

UKIOTA unampa maiti nguo ya kuvaa hiyo ni ishara kwamba utapata uadui na maradhi.

UKIOTA maiti amekupa sanda yake uvae hiyo ni ishara kwamba utakufa.

UKIOTA maiti amekupa
asali katika ndoto hiyo ni ishara kwamba utapata yale aliokuwa akiyafanya katika wakati wake.

UKIOTA chochote unachopewa na maiti katika ndoto ni ishara ya habari nzuri na baraka kwa ujumla.

UKIOTA maiti amekushika mkono na mnatembea kwa pamoja hiyo ni ishara kwamba utapata pesa katika njia ambazo hukuzitegemea.

UKIOTA unazungumza na maiti hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.

UKIOTA unambusu mtu anayefahamika ambaye amefariki dunia hiyo ni ishara kwamba utapata kile ambacho alikuwanacho.

UKIOTA unafanya mapenzi na maiti katika kaburi lake hiyo ni ishara kwamba utazini, au utachanganyika na watu waovu, au utapoteza pesa zako kwa kutapeliwa.

UKIOTA mwanamke
aliyekufa amekuwa hai halafu ukafanya naye mapenzi hiyo ni ishara ya kwamba unajuta kwa yale uliyoyafanya na utapata hasara usiyoitegemea.

UKIOTA unafunga ndoa na maiti na ukaenda kuishi naye katika nyumba yake hiyo ni ishara ya kifo.

UKIOTA unamfuata maiti na ukaingia katika nyumba usiyoijua hiyo ni ishara kwamba unakaribia kifo chako na hutopona maradhi uliyokuwa nayo.

UKIOTA unapigwa na maiti hiyo ni ishara kwamba hukubaliani na mungu wako na umefanya dhambi ambayo unatakiwa uombe msamaha.

UKIOTA mtu aliyekuwa hai anampiga maiti na maiti huyo anakubali kupigwa hiyo ni ishara kwamba utatekeleza yale ambayo maiti alitaka yatakelezwe katika usia wake.

UKIOTA umelala na maiti katika kitanda kimoja hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.

UKIOTA maiti wametoka katika makaburi na wanauza vitu hiyo ni ishara kwamba mali zitadorora katika masoko.

UKIOTA maiti anafanya tendo zuri katika ndoto hiyo ni ishara kwamba anakutaka kwamba wewe ufanye hivyo.

UKIOTA mama yako amekufa katika ndoto hiyo ni ishara kwamba utapoteza mali zako na starehe zako na kupata matatizo ya kimaisha.
Mgonjwa akiota ndugu yake amekufa hiyo ni ishara kwamba atafariki yeye vinginevyo mmoja katika ndugu zake atafariki.

UKIOTA unajibu wito wa maiti maana yake ni kwamba utamfuata.

UKIOTA maiti anazama katika maji hiyo ni ishara kwamba wewe utajihusisha katika dhambi mbaya sana.

UKIOTA maiti wengi wametoka katika makaburi yao na wanakwenda kwenye nyumba zao hiyo ni ishara kwamba wafungwa wengi wataachiliwa kwa msamaha.

UKIOTA kiongozi amefariki hiyo ni ishara kwamba kuna udhaifu katika jeshi lake au serikali yake.

UKIOTA umefiwa na wazazi wako hiyo ni ishara ya kwamba utapata matatizo ya kifedha.

UKIOTA umefiwa na mkeo hiyo ni ishara kwamba raha ulizokuwa ukizipata zitakwisha.

UKIOTA umefiwa na mtoto wako wa kiume hiyo ni ishara ya kwamba jina lako litakuwa kubwa baada ya wewe kufariki.

UKIOTA maiti anamuombea maiti mwenzie hiyo ni ishara kwamba mambo unayoyafanya ni ya uongo au wewe unadanganya.
Mwanamke aliyoolewa akiota amemuona maiti hiyo ni ishara kwamba ataachwa na mumewe na mwanamke ambaye hajaolewa akiota ameolewa na maiti hiyo ni ishara kwamba atapata ndoa
 
NDOTO ZA KIFO NA MAANA ZAKE

UKIOTA umekufa
maana yake ni kwamba utapata kazi yenye mamlaka au utafanya kazi kwa mtu mwenye uongozi aidha wa dini au serikali.

UKIOTA umetiwa kaburini na unazikwa hiyo ni ishara ya kwamba utakufa masikini.

UKIOTA mtu amekufa na wewe unaamini kwamba mtu huyo bado yuko hai hiyo ni ishara kwamba mtu huyo atakuletea ujumbe mzito wa kimungu.

UKIOTA umekufa lakini huna dalili za kufa na watu waliopo hawalii wala hakuna dalili za maombolezo maana yake ni kwamba utawadhibiti wapinzani wako au wafanyakazi wenzio au watu unaofanya nao kazi lakini utapoteza mali zako.

UKIOTA umekufa na ukaona kwamba unaonekana kama maiti na umevishwa sanda maana yake ni kwamba utapata matatizo ya kidini.

UKIOTA watu wana majonzi na kukulilia kwamba umekufa hiyo ni ishara ya wewe kupanda hadhi yako au kupata cheo katika dunia.

UKIOTA umekufa na ukazikwa ni ishara ya kwamba unaweza ukaishi muda mfupi na ukafa bila ya kutubu madhambi yako.

UKIOTA umetoka kaburini kwako baada ya kuzikwa hiyo ni ishara kwamba utatubu madhambi yako.

UKIOTA umekufa na watu wamekubeba kwenye mabega yao wanakupeleka kukuzika hiyo ni ishara ya kwamba utawashinda maadui zako na unafaa kuwa kiongozi.

UKIOTA umekufa halafu ukawa hai au ukafufuka hiyo ni ishara kwamba utapata utajiri na ufukara utakuondoka au utatubu dhambi zako au kurudi salama kwa yule aliyesafiri.

UKIOTA unaona kifo cha mwanamke ambaye humfahamu hiyo ni ishara ya ukame au kukosekana mvua katika sehemu yako.

UKIOTA mwanamke huyo amefufuka ni ishara ya kupata mvua kubwa.
Ndoto za kuota mwanamke amekufa ni ishara ya kifo cha mtoto.

UKIOTA mtu aliyekufa anakuambia kwamba yeye hajafa hiyo ni ishara kwamba huko aliko ana hali nzuri.

UKIOTA unabeba maiti maana yake ni kwamba utabeba chakula utakachopewa na mtu ambaye hapendi mambo ya dini wala Mungu.

UKIOTA umebeba maiti katika njia ambayo ni tofauti na watu wengine na unakwenda kumzika hiyo ni ishara kwamba utapata fedha za haramu.

UKIOTA unambeba maiti na unakwenda kumzika hiyo ni ishara kwamba utafanya kazi kwa kiongozi wa kisiasa.

UKIOTA unamwona mtu aliyekufa akiwa mgonjwa hiyo ni ishara ya kuwa huko aliko ana matatizo makubwa.

UKIOTA wakazi wa makaburini au maiti wakitoka kwenye makaburi yao na wakavamia chakula na kukila hiyo ni ishara ya kupanda kwa bei ya chakula.

UKIOTA maiti wanakunywa maji ya bombani au kisimani ni ishara ya kutokea maradhi mabaya.

UKIOTA mtu aliyekufa anakufa tena halafu anatembea au anawatembelea watoto wake au familia yake ni ishara ya kwamba huyo aliyetembelewa atakufa.
Kama UKIOTA huyo mtu aliyekufa hakuna mtu anayemlilia au kuomboleza hiyo ni ishara ya kufanyika harusi.

UKIOTA mtu aliyekufa anazungumza jambo kuhusu yeye mwenyewe basi jambo hilo ni kweli.

UKIOTA maiti anakuambia chochote halafu kitu hicho hakikutokea basi utakuwa una matatizo na ndoto zako.

UKIOTA unamwona aliyekufa akiwa nadhifu na amevaa nguo nyeupe au ya kijani basi hiyo ni ishara ya kwamba huko aliko ana hali nzuri.

UKIOTA unamwona aliyekufa akiwa mchafu na analia hiyo ni ishara kwamba huko aliko yuko katika hali mbaya.

UKIOTA unamswalia maiti hiyo ni ishara kwamba umuombee maiti huyo au umtembelee kaburini kwake au utakuwa mstari wa mbele kupingana na watu wenye roho mbaya au utaagana na mtu anayesafiri mbali au utawahudumia wasiojiweza.

UKIOTA mke wako amekufa halafu akafufuka hiyo ni ishara ya kupata faida kubwa katika biashara au kupata mavuno makubwa katika shamba lako.

UKIOTA umeona maiti imetupwa hiyo ni ishara kwamba utaokota fedha.

UKIOTA unatembea nyuma ya mtu aliyekufa hiyo ni ishara ya kwamba utafuata nyayo zake.

UKIOTA umemuona kiongozi wa dini amefariki hiyo ni ishara kwamba itatokea vita katika mji huo.

UKIOTA vita katika mji ni ishara ya kwamba kiongozi wa dini atafariki au amekufa.

UKIOTA umekufa bila sababu yoyote kama kuugua, au kuonyesha hali yoyote ya kufa hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.

UKIOTA umekufa kwa kupata matatizo makubwa au kuugua maradhi makubwa hiyo ni ishara kwamba hutendi haki kwako mwenyewe na kwa watu wengine.

UKIOTA umekufa na umewekwa kwenye mkeka au busati hiyo ni ishara kwamba utapata mafanikio ya kidunia.

UKIOTA umekufa na umelala kwenye takataka hiyo ni ishara ya kupoteza cheo chako.

UKIOTA umekufa na umelala kitandani hiyo ni ishara kwamba utanufaika na familia yako.

UKIOTA umesikia habari za kifo kwa mtu ambaye hafahamiki hiyo ni ishara kwamba uwe mwangalifu na mafanikio unayoyapata katika shughuli zako za kidunia kwa sababu unaweza ukahusishwa na kashfa za kidini.

UKIOTA mtoto wako wa kiume amekufa hiyo ni ishara kwamba utanusurika na maadui zako.

UKIOTA mtoto wako wa kike amefariki ni ishara kwamba utapata ufumbuzi wa matatizo yako.

UKIOTA umekufa na ukazikwa hiyo ni ishara kwamba utapata uhuru vinginevyo kama ulipewa mali au kitu ukihifadhi basi mwenye kitu hicho atakitaka umrudishie.

UKIOTA umekufa na ukazikwa maana yake ni kwamba utaoa au utaolewa.

UKIOTA mgonjwa ameoa katika ndoto ni ishara kwamba mgonjwa huyo atafariki.

UKIOTA mtu aliyeoa amefariki na akazikwa hiyo ni ishara kwamba atamuacha mkewe au atavunja uhusiano wa kibiashara na mshirika wake, au atatengana na ndugu zake, au atahama kutoka nchi hiyo kwenda nchi nyingine na kama akiwa ameshahama basi atarudi kwao.

UKIOTA ndugu yako amekufa maana yake ni kwamba adui yako atafariki au wewe utahifadhi fedha nyingi.

UKIOTA unatembea katika kundi la maiti maana yake ni kwamba utafanya urafiki na watu wasiokuwa na maana.

UKIOTA unatembea na maiti hiyo ni ishara kwamba utapata safari ndefu au ishara ya kupata faida kutokana na safari.

UKIOTA unakula nyama ya maiti hiyo ni ishara kwamba utapata furaha.

UKIOTA maiti anakula chochote hiyo ni ishara ya kwamba kitu hicho kitakuwa ghali.

UKIOTA umelala juu ya meza ya kuoshea maiti hiyo ni ishara kwamba dhambi zako zitafutwa au utalipiwa madeni yako.

UKIOTA maiti anakuambia umfulie nguo zake hiyo ni ishara kwamba anahitaji umfanyie maombi na umsamehe kwa yale aliyokukosea au anakuhitaji wewe umlipie deni lake aliloacha nyuma au umuombe kwa watu aliowakosea wamsamehe.

UKIOTA unafua nguo za maiti hiyo ni ishara kwamba utapata nafuu katika matatizo yako yanayokusumbua.

UKIOTA unasafirisha maiti kwenda makaburini hiyo ni ishara kwamba unayoyafanya ni sawa.

UKIOTA unasafirisha maiti na ukawapeleka sokoni hiyo ni ishara kwamba mali zako unazotaka kuziuza zitanunuliwa upesi.

UKIOTA maiti nakuambia anaumwa na kichwa hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo ya kuulizwa maswali kutokana na yeye kukiuka dini.

UKIOTA kwamba baba yako au mama yako aliyekufa anaishi tena hiyo ni ishara kwamba utapata nafuu ya maisha na utaondekewa na hofu ya maisha.

UKIOTA maiti analalamika kuhusu jicho lake katika ndoto hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusu deni analodaiwa na mke wake au mirathi aliyoachiwa ambayo aliitumia vibaya.

UKIOTA maiti analalamika kuhusu mkono wake wa kushoto hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusu haki ya ndugu zake au mshirika wake wa kibiashara au kiapo cha uongo alichokifanya.

UKIOTA maiti kuhusu upande wake mmoja kumuuma hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na kuvunja uhusiano na familia yake na kushindwa kutekeleza wajibu wake kuhusiana na nyumba yake.

UKIOTA maiti analalamika kuhusu miguu yake hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na kupoteza maisha yake kwa rushwa na uongo.

UKIOTA maiti analalamika kuhusu nyayo zake hiyo ni ishara kwamba anapata matatizo kuhusiana na utajiri ambao aliutumia kwa njia za uongo na njia za udanganyifu alizokuwa akipatia mali zake.

UKIOTA unampa maiti chakula na kinywaji hiyo ni ishara kwamba utapoteza pesa.

UKIOTA unampa maiti nguo ya kuvaa hiyo ni ishara kwamba utapata uadui na maradhi.

UKIOTA maiti amekupa sanda yake uvae hiyo ni ishara kwamba utakufa.

UKIOTA maiti amekupa asali katika ndoto hiyo ni ishara kwamba utapata yale aliokuwa akiyafanya katika wakati wake.

UKIOTA chochote unachopewa na maiti katika ndoto ni ishara ya habari nzuri na baraka kwa ujumla.

UKIOTA maiti amekushika mkono na mnatembea kwa pamoja hiyo ni ishara kwamba utapata pesa katika njia ambazo hukuzitegemea.

UKIOTA unazungumza na maiti hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.

UKIOTA unambusu mtu anayefahamika ambaye amefariki dunia hiyo ni ishara kwamba utapata kile ambacho alikuwanacho.

UKIOTA unafanya mapenzi na maiti katika kaburi lake hiyo ni ishara kwamba utazini, au utachanganyika na watu waovu, au utapoteza pesa zako kwa kutapeliwa.

UKIOTA mwanamke aliyekufa amekuwa hai halafu ukafanya naye mapenzi hiyo ni ishara ya kwamba unajuta kwa yale uliyoyafanya na utapata hasara usiyoitegemea.

UKIOTA unafunga ndoa na maiti na ukaenda kuishi naye katika nyumba yake hiyo ni ishara ya kifo.

UKIOTA unamfuata maiti na ukaingia katika nyumba usiyoijua hiyo ni ishara kwamba unakaribia kifo chako na hutopona maradhi uliyokuwa nayo.

UKIOTA unapigwa na maiti hiyo ni ishara kwamba hukubaliani na mungu wako na umefanya dhambi ambayo unatakiwa uombe msamaha.

UKIOTA mtu aliyekuwa hai anampiga maiti na maiti huyo anakubali kupigwa hiyo ni ishara kwamba utatekeleza yale ambayo maiti alitaka yatakelezwe katika usia wake.

UKIOTA umelala na maiti katika kitanda kimoja hiyo ni ishara ya kuishi maisha marefu.

UKIOTA maiti wametoka katika makaburi na wanauza vitu hiyo ni ishara kwamba mali zitadorora katika masoko.

UKIOTA maiti anafanya tendo zuri katika ndoto hiyo ni ishara kwamba anakutaka kwamba wewe ufanye hivyo.

UKIOTA mama yako amekufa katika ndoto hiyo ni ishara kwamba utapoteza mali zako na starehe zako na kupata matatizo ya kimaisha.
Mgonjwa akiota ndugu yake amekufa hiyo ni ishara kwamba atafariki yeye vinginevyo mmoja katika ndugu zake atafariki.

UKIOTA unajibu wito wa maiti maana yake ni kwamba utamfuata.

UKIOTA maiti anazama katika maji hiyo ni ishara kwamba wewe utajihusisha katika dhambi mbaya sana.

UKIOTA maiti wengi wametoka katika makaburi yao na wanakwenda kwenye nyumba zao hiyo ni ishara kwamba wafungwa wengi wataachiliwa kwa msamaha.

UKIOTA kiongozi amefariki hiyo ni ishara kwamba kuna udhaifu katika jeshi lake au serikali yake.

UKIOTA umefiwa na wazazi wako hiyo ni ishara ya kwamba utapata matatizo ya kifedha.

UKIOTA umefiwa na mkeo hiyo ni ishara kwamba raha ulizokuwa ukizipata zitakwisha.

UKIOTA umefiwa na mtoto wako wa kiume hiyo ni ishara ya kwamba jina lako litakuwa kubwa baada ya wewe kufariki.

UKIOTA maiti anamuombea maiti mwenzie hiyo ni ishara kwamba mambo unayoyafanya ni ya uongo au wewe unadanganya.
Mwanamke aliyoolewa akiota amemuona maiti hiyo ni ishara kwamba ataachwa na mumewe na mwanamke ambaye hajaolewa akiota ameolewa na maiti hiyo ni ishara kwamba atapata ndoa
Mkuu UKiota ndoto katika ndoto na ukashtuka katika ndoto ukasema kumbe naota ,hii inamaanisha nini
 
Huwa naota ninapaa yan nikipiga ata hatua moja tu ninapaa juu na ili nikanyage chini inabidi nitafte sehem kama nguzo nijishikishe nijilazimishe kwa nguvu niweze kuganyaga chini mbali na hapo utabaki naelea tu hewani. Hii ina maana gani? Herbalist Dr MziziMkavu
 
Huwa naota ninapaa yan nikipiga ata hatua moja tu ninapaa juu na ili nikanyage chini inabidi nitafte sehem kama nguzo nijishikishe nijilazimishe kwa nguvu niweze kuganyaga chini mbali na hapo utabaki naelea tu hewani. Hii ina maana gani? Herbalist Dr MziziMkavu
TAFSIRI YA KUOTA NDOTO ZA KUPAA HEWANI
Amani iwe juu yenu
leeo nawapa tafsiri ya ndoto hii ya kupaa au kuruka na kwenda hewani
Ndoto hii huotwa sana na watu wenye ustaarabu au wapole na wenye dalili za mafanikio au wenye mipango mikubwa inayokwama
Kuota unapaa kama wewe ni mtegemeaji kazi za vibarua na kazi za kuitwa ukiiota mara moja ndoto hii utaitwa kazini au kibaruani
Kuota ndoto hii mara moja ni dalili ya kufanikiwa
Kuiota mara kwa mara ni dalili ya kusumbuliwa na jini subiani mbaya na huyu huwa katika kundi la jini mahabba hapa ndo utaona mambo hayaendi yamekwama kila ufanyalo huushia kupata hasara
Ndoto hii pia huiota mtu mwenye kuumwa mara kwa mara na hasa wale wanaoumwa sana vichwa miguu na mikono
Ndoto hii unapoiota unakimbizwa kisha ukapaa ni dalili ya kumshinda mpinzani wako au adui yako
Kadhalika kuiota unakimbizwa na mbwa au simba ni dalili ya uadui lakini utaushinda uadu huu
Ndoto hii ni ndoto nzuri na mbaya
Nzuri ukiiota mara moja moja
Mbaya ukiiota mara kwa mara.
 
KUOTA UNAPAA SEHEM YA 2.
Ni muendelezo wa sehem ya pili ya ndoto ya kupaa juu au angani.
1) Mwenye kulala na akaota anapigana na maadui kisha anapaa angani hiyo ni dalili ya kushinda maadui zake pia ni dalili ya kutumiwa na wachawi katika Kazi zao.
2) Mwenye kuota anafanya mambo yake kwa kupaa mfano anaenda dukani akapaa juu akitoka dukani anapaa juu yani kila shughuli afanyayo lazina apae hiyo ni dalili ya kupata cheo ambacho ataheshimika.
3) Mwenye kuota anafanya matukio mabaya akiwa anapaa mfano anakwenda kuiba zikawa ndoto hizi hazimtoki hii ni dalili ya kutumiwa na wachawi.
4) Mwenye kuota anapaa kisha watu wanampongeza na kumfurahia hiyo ni dalili ya kupata cheo na kuongoza watu watakao kupenda katika jamii.
5) Mwenye kuota anapaa na kuanguka kwenye maji yabahari au mto hiyo ni dalili ya kuandamwa na jini subiani na kumuharibia shughuli zake.
6) Mwenye kuota anapaa kichwa chini miguu juu hiyo ni dalili ya jambo baya linalokuja kwake.
7) Mwenye kuota anapaa angani akiwa nawezake hiyo ni dalili ya kishirikina na watu wakubwa katika jamii.
Kwenye kuota anapaa akiwa utupu hiyo ni dalili ya kufanya mambo yake bila faida au maendeleo yoyote.
9) Mwenye kuota mara kwa mara anapaa akiwa kijijini kwao basi mtu huyo atarithi jambo au kupewa mikoba itokanayo na familia yake ikiwa madara,elimu, uganga nk.
10) Mwenye kuota anapaa huku akinyeshewa na mvua mtu huyo atapandishwa cheo na matatizo yake kutatuka kuazia hapo.
11) Mwenye kuota anataka kupaa ila anashindwa hiyo ni dalili ya kufungwa kichawi juu ya mambo yake.
Tutaendelea na ndoto za kupaa leo tutosheke na hizo.
Allah aalam.
 
KUOTA UNAPAA SEHEM YA 2.
Ni muendelezo wa sehem ya pili ya ndoto ya kupaa juu au angani.
1) Mwenye kulala na akaota anapigana na maadui kisha anapaa angani hiyo ni dalili ya kushinda maadui zake pia ni dalili ya kutumiwa na wachawi katika Kazi zao.
2) Mwenye kuota anafanya mambo yake kwa kupaa mfano anaenda dukani akapaa juu akitoka dukani anapaa juu yani kila shughuli afanyayo lazina apae hiyo ni dalili ya kupata cheo ambacho ataheshimika.
3) Mwenye kuota anafanya matukio mabaya akiwa anapaa mfano anakwenda kuiba zikawa ndoto hizi hazimtoki hii ni dalili ya kutumiwa na wachawi.
4) Mwenye kuota anapaa kisha watu wanampongeza na kumfurahia hiyo ni dalili ya kupata cheo na kuongoza watu watakao kupenda katika jamii.
5) Mwenye kuota anapaa na kuanguka kwenye maji yabahari au mto hiyo ni dalili ya kuandamwa na jini subiani na kumuharibia shughuli zake.
6) Mwenye kuota anapaa kichwa chini miguu juu hiyo ni dalili ya jambo baya linalokuja kwake.
7) Mwenye kuota anapaa angani akiwa nawezake hiyo ni dalili ya kishirikina na watu wakubwa katika jamii.
Kwenye kuota anapaa akiwa utupu hiyo ni dalili ya kufanya mambo yake bila faida au maendeleo yoyote.
9) Mwenye kuota mara kwa mara anapaa akiwa kijijini kwao basi mtu huyo atarithi jambo au kupewa mikoba itokanayo na familia yake ikiwa madara,elimu, uganga nk.
10) Mwenye kuota anapaa huku akinyeshewa na mvua mtu huyo atapandishwa cheo na matatizo yake kutatuka kuazia hapo.
11) Mwenye kuota anataka kupaa ila anashindwa hiyo ni dalili ya kufungwa kichawi juu ya mambo yake.
Tutaendelea na ndoto za kupaa leo tutosheke na hizo.
Allah aalam.
Kun swali nimekuuliza
 
Back
Top Bottom