Ntalukwilasa
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 979
- 1,256
Leo tena nimeota nimekamatwa na mke wa mtu. ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora wewe huoti kabisa...mimi naota na sizikumbuki nikiamka😌Duh hapa wale wa rohoni watakuja kukupa tips mimi wa mwilini siku hz hata ndoto sioti
Unakumbushwa kupeleka habar njema Kwa watu,vuna nafsi saidia wahitaji and the like.wale wa rohoni wamenielewa
unakuja kupiga hela, na mm nimeota hiyo ndoto.
Karibu PM rafiki...unakuja kupiga hela, na mm nimeota hiyo ndoto.
Tuwe marafk basi.
Mambo ya kiroho yepi hayo, hebu dadavua DonatilaKaribu PM rafiki...
Nina mengi ya kiroho...
Childhood mates na PM ndiko kunawafaa kabisaKaribu PM rafiki...
Nina mengi ya kiroho...
Shukrani sana kwa elimu hii1. Kuogelea kwenye maji masafi
2. Kuogelea kwenye maji machafu
Katika safari ya maisha kuna kukutana na njia tambalale ambayo utatembea vizuri tu kwa miguu yako, lakini ukikutana na mto au bahari, itabidi upate msaada wa jinsi ya kuogelea upite kwenye hiyo njia ambayo ni ngumu sana, ujue kuogelea lakini itahitaji maji yawe kwenye utulivu na masafi yasio athiri afya yako.
Kukutana na kikwazo njiani ni sehemu ya maisha na inatakiwa kuvuka.
Kuna ndoto ya kuogelea ambayo haina tafsiri mbaya.
Ni kukuonesha wewe (mwotaji) kuona kile kinachotokea katika maisha yako (mambo ambayo huwezi kuona ukiwa macho).
01. Kuogelea vizuri bila shida.
Ndoto kama hiyo mara nyingi huja kumjulisha yule anayeota kwamba ingawa kwa sasa wanakabiliwa na shida kubwa za maisha, Mbingu inafahamu kile wanachopitia, na Mungu yuko tayari kuwapa mkono wa kusaidia.
Hiyo ndio tafsiri ya Ndoto hiyo, ya kuogelea kwenye maji bila shida au wakati mwingine ukipata msaada wa kupita kwenye maji bila shida yoyote.
02. Kuogelea kwenye maji machafu au yenye tope.
Wakati ndoto za kuogelea kwenye maji machafu na yenye matope mara nyingi ni dalili ya shida kubwa ya kiroho katika maisha ya mtu anayeota ndoto.
au shambulio kutoka kwa adui dhidi ya yule anayeota ndoto.
Kujikuta ukiogelea katika maji machafu katika ndoto zako, kuashiria uwepo wa shida kubwa za kiroho katika maisha ya yule anayeota ndoto. Ndoto zote za kuogelea katika maji machafu au matope mara nyingi huwasilisha ujumbe ufuatao:
● Kwamba mwotaji anaishi na kugaagaa sana katika dhambi.
● Kuna shambulio kubwa la uchawi dhidi ya yule anayeota ndoto, lililokusudiwa kuwafanya kuwa duni na maskini sana.
● Mwotaji amejihusisha kwa makusudi au kwa ujinga katika shughuli za giza.
● Adui anapanga njama ya kumsababishia yule anayeota ndoto magonjwa na labda kusababisha kifo chao.
KusomaShukrani sana kwa elimu hii
Tafsiri ya ndoto hizi nikitaka kujifunza na mimi kutafsiri nafanyaje??
Yaani badala ya kila mara kuja huku au kutafuta watu wa kunitafsiria ndoto zangu ambazo kiuhalisia nyingine ni za mambo yangu ya siri ..nifanyeje ili na mimi niwe na huu ujuzi?
mashehe ubwabwa wanapita kimyaaa.Ahsante Sana mkuu kwa kutupa elimu nzuri kuhusu ndoto.
Bora wewe huoti kabisa...mimi naota na sizikumbuki nikiamka😌
Kwakweli inabidi tufanye hivyo mkuu,, maana sio kawaidaAmbao hamuoti na mnaoota hamkumbuki, Ulimwengu wa Roho umeibiwa na adui...
Hivyo ombeni tena Toba na rehema mrejeshewe Tena macho ya Rohoni...
Maisha ya mwilini yanaanzia Rohoni
Rafiki mimi ndo naamka saiz,, tusali basi au ndo tumechelewaAmka tusali rafiki yangu
Rafiki mimi ndo naamka saiz,, tusali basi au ndo tumechelewa
Asante rafiki,, barikiwa sana 😊🙏🏼Nimeshakuombea nlijua tu utakua umelala! Kikubwa amka kunywa maji pata chai Anza harakati zako ukiwa na amani tele moyoni!