Orodha ya silaha za asili ( Za kibaiolojia na kemikali) kujilinda dhidi ya vibaka wa nyumbani

Orodha ya silaha za asili ( Za kibaiolojia na kemikali) kujilinda dhidi ya vibaka wa nyumbani

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2018
Posts
983
Reaction score
2,306
1. Mafuta ya kula :

Kaa ndani na mafuta yako Lita tatu. Kila siku usiku saa tano yachemshe hadi yatokote kisha hifadhi kwenye chupa ya chai. Ukiwa na chupa zaidi ya moja itakuwa vizuri zaidi.

Usiku wakivunja wewe wamwagie na hayo mafuta ya moto usoni. Wanaweza kufa hapo hapo wote na watakao salimika watatawanyika. Kama yupo mmoja basi atakufa hapo hapo au dead on arrival to the hospital.



2. Upupu : Weka upupu kwenye ndoo ya maji. Ukiwa na ndoo zaidi ya moja itakuwa poa zaidi. Upupu Uwe mwingi kwa kadri iwezekanavyo. Hifadhi ndoo zako za maji sehemu salama ambayo itakuwa mbali na watoto.

Usiku wakivunja or whatever wewe wamwagie huo upupu wote watatupa marungu na visu mapanga yao chini wakiugulia mateso ya upupu huo na obviously they will die ndani ya muda mfupi sana kwa sababu huo upupu utaingia hadi mdomoni so utakuwa unawawasha hadi kwenye utumbo.

Na kama una silaha zote mbili yani upupu na mafuta ya moto wakati wana gaa gaa chini wamwagie mafuta ya moto, aim kwenye USO.



3. Body spray ya usingizi hii siijui naisikia japo naitafuta sana mwenye nayo afunguke hapa.

Weka na wewe orodha zako
 
1. Mafuta ya kula :

Kaa ndani na mafuta yako Lita tatu. Kila siku usiku saa tano yachemshe hadi yatokote kisha hifadhi kwenye chupa ya chai. Ukiwa na chupa zaidi ya moja itakuwa vizuri zaidi.

Usiku wakivunja wewe wamwagie na hayo mafuta ya moto usoni. Wanaweza kufa hapo hapo wote na watakao salimika watatawanyika. Kama yupo mmoja basi atakufa hapo hapo au dead on arrival to the hospital.



2. Upupu : Weka upupu kwenye ndoo ya maji. Ukiwa na ndoo zaidi ya moja itakuwa poa zaidi. Upupu Uwe mwingi kwa kadri iwezekanavyo. Hifadhi ndoo zako za maji sehemu salama ambayo itakuwa mbali na watoto.

Usiku wakivunja or whatever wewe wamwagie huo upupu wote watatupa marungu na visu mapanga yao chini wakiugulia mateso ya upupu huo na obviously they will die ndani ya muda mfupi sana kwa sababu huo upupu utaingia hadi mdomoni so utakuwa unawawasha hadi kwenye utumbo.

Na kama una silaha zote mbili yani upupu na mafuta ya moto wakati wana gaa gaa chini wamwagie mafuta ya moto, aim kwenye USO.



3. Body spray ya usingizi hii siijui naisikia japo naitafuta sana mwenye nayo afunguke hapa.

Weka na wewe orodha zako
Mbinu za kivita 😃😃
 
1. Mafuta ya kula :

Kaa ndani na mafuta yako Lita tatu. Kila siku usiku saa tano yachemshe hadi yatokote kisha hifadhi kwenye chupa ya chai. Ukiwa na chupa zaidi ya moja itakuwa vizuri zaidi.

Usiku wakivunja wewe wamwagie na hayo mafuta ya moto usoni. Wanaweza kufa hapo hapo wote na watakao salimika watatawanyika. Kama yupo mmoja basi atakufa hapo hapo au dead on arrival to the hospital.



2. Upupu : Weka upupu kwenye ndoo ya maji. Ukiwa na ndoo zaidi ya moja itakuwa poa zaidi. Upupu Uwe mwingi kwa kadri iwezekanavyo. Hifadhi ndoo zako za maji sehemu salama ambayo itakuwa mbali na watoto.

Usiku wakivunja or whatever wewe wamwagie huo upupu wote watatupa marungu na visu mapanga yao chini wakiugulia mateso ya upupu huo na obviously they will die ndani ya muda mfupi sana kwa sababu huo upupu utaingia hadi mdomoni so utakuwa unawawasha hadi kwenye utumbo.

Na kama una silaha zote mbili yani upupu na mafuta ya moto wakati wana gaa gaa chini wamwagie mafuta ya moto, aim kwenye USO.



3. Body spray ya usingizi hii siijui naisikia japo naitafuta sana mwenye nayo afunguke hapa.

Weka na wewe orodha zako
Hapo kwenye mafuta nimecheka sana,ukiua mtu kama wewe si mtu wa kuua ,nafsi Yako haitakaa itulie kamwe, nashauri huyo kibaka amwagiwe mguuni au kwenye tako
 
Tukisema tufanye hivi upupu utaisha huko porini... Kwenye suala la mafuta ya moto chupa ya chai haiwezi kuhimili kukaa na mafuta yaliyochemka hata dakika 3 .
Hii ya body spray itakua haipo sawa sababu hata wewe utalala pamoja na waizi alafu majirani wakija wataona lenu moja 🤣🤣
 
Umeandika vichekesho, usiombe kuvamiwa na wezi hayo mafuta ya kula utajisahau unywe kama kahawa.
Wanakuwa wamejipanga unapigwa ambush hatari hiyo ndoo ya upupu hutaweza hata kuinyanyua.
Mtambo wa asili ni huu hapa ni zaidi ya S500 au irone dome
images (23).jpeg

Wakiingia ndani tu ni wewe unaamua wapigane wenyewe kwa wenyewe au wasioune mlango wa kutokea.
 
Umeandika vichekesho, usiombe kuvamiwa na wezi hayo mafuta ya kula utajisahau unywe kama kahawa.
Wanakuwa wamejipanga unapigwa ambush hatari hiyo ndoo ya upupu hutaweza hata kuinyanyua.
Mtambo wa asili ni huu hapa ni zaidi ya S500 au irone dome
View attachment 3245119
Wakiingia ndani tu ni wewe unaamua wapigane wenyewe kwa wenyewe au wasioune mlango wa kutokea.
Ha ha ha ha ha
 
Kila nikisoma maneno matatu narudi juu kuangalia ID yako, kuna muda nilidhani niko usingizini naota lakini nikagundua kuwa siko usingizini.

Anyway Monetary doctor realMamy Demi njooni mkashuhudie vituko uswahilini.
 
  • Kicheko
Reactions: apk
Back
Top Bottom