Orodha ya silaha za asili ( Za kibaiolojia na kemikali) kujilinda dhidi ya vibaka wa nyumbani

Hamna kitu kama hicho mkuu.

Kikubwa ni kuwa jasiri. Kwenye situations kama hizo adrenaline huwa inafanya kazi yake
 
Ungesema njia za kujilinda kibayolojia na kiteknolojia hapo ungetisha sana maana njia za kujikinga bila kutumia silaha za hatari, kwa kibayolojia na kiteknolojia zipo nyingi moja wapo ni hizi:-
🔹 Mimea ya kuzuia wezi – Mimea yenye miiba kama cactus au bougainvillea inaweza kusaidia. Hii ni kibaolojia
🔹 Mbwa wa ulinzi – Hii pia ni Kibaolojia.
🔹 Mfumo wa taa za sensor – Wezi wengi huogopa mwanga mkali wa ghafla. Hii ni kiteknolojia
🔹 Alarm au kamera za usalama – Inasaidia kugundua na kuzuia mapema. Hii pia ni kiteknolojia
 
Unaongea kama huwa wanapiga hodi au kutoa taarifa kwamba wanakuja kuvamia.
Kumbuka kila mwizi au kibaka anaongozwa na jini roho ya wizi ndio imuongozayo na imlindayo kwa sababu kibaka mwizi jambazi ameingia mkataba nao.
Hakuna mwizi kibaka asiye mchawi
 
Asante sana mkuu
 
Watajua wao mkuu
 
Tanganyika arms wanauza spray pilipili
 
😃, Duuu wee jamaa katili sanaa aiseee
 
Kibaka anaweza zuiliwa kwa njia za kitechologia au za Kiimani tu zingine ni bahati nasibu.
Kibaka ni roho na sio mwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…