Acha kuwatisha vijana hyo ni kazi kama zilivyo kazi nyingine. Isipokuwa tu labda jinsi inavyofanywa na mchakato wake wa kupata ajira ndio inaowafanya watu watamani lakini ni kazi tu kama kazi nyingine.Haya matamanio uliyonayo, tayari ni disqualification.
Wanaopata na wanaoelewa hata hawatamani kwenda zaidi ni shida ya ajira tu.
Ila mwenye uelewa kabisa wa mambo hawezi kutamani kujiunga na hiyo kazi, ni wachache watanielewa!
Huyu nadhani aliondolewa ili alipe kodi kwanza kwa sababu ilikuwa haiwezekani akalipa kodi akiwa bado ana cheo hicho alichokuwa nacho. Baada ya kulipa kodi angeweza kurudishiwa cheo chake tenaMbona hujasema kuhusu Dr. Hassy Kitine alivyofurushwa kutoka TISS.
Alivyotoka vitani uganda kumuondoa Idd Amini, alikuja na Pegout vijana wa TRA wakambana kodi mpakani akasema yeye ni Director General wa TISS hivyo hawezi kulipa kodi, habari zikamfikia Mzee Mchonga, akaomdolewa kesho yake tu!
Miaka mingi baadae Hassy Kitine mwenyewe alikiri kuwa alifanya kosa la kipuuzi sana!
Acha kuwatisha vijana hyo ni kazi kama zilivyo kazi nyingine. Isipokuwa tu labda jinsi inavyofanywa na mchakato wake wa kupata ajira ndio inaowafanya watu watamani lakini ni kazi tu kama kazi nyingine.
Kuna jamaa anatumia avatar yako,halafu anasema anapenda sana kazi ya uafisa kipenyo sasa nilidhani niwewe mzee wa medani.Ndio maana niliuliza kwamba umeichoka kz yako ya awali(ya kulinda katiba).kumbe si wewe.Sikuelew unamaanisha nn mkuu
Kumbe we dogo ndo unatumia avatar yangu had watu wanahs ni mm...hebu badilisha bhana unaniharibia reputation yangu humu me siwez kufanya kaz usalama wa taifaMe natamani kufanya kazi kwenye hichi kitengo ila zinabaki kuwa Ndoto... connection sipati
Unavomwambia kwamba kutaman tayar ni disqualification ulikuwa una maana gani?Nani kasema si kazi kama kazi nyingine, ukiniuliza kazi zingine ni zipi sitamani mwanangu afanye
Wewe jamaa una mkwara..Unavomwambia kwamba kutaman tayar ni disqualification ulikuwa una maana gani?
Tatizo lenu mnajifanya wajuaji ikiwa hamjui lolote..kaz kujazana ujinga tu huko mitaani
Mkwara anao huyo aliemwambia mwenzake amedisqualify ukiwa hata yeye nikimuuliza aweke vigezo vya huyo kazi hana isipokuwa rumors tu za huko vijiweni wanakojazana ujinga.Wewe jamaa una mkwara..
Comrade igweMmaaa!!!!
Comrade igweMmmh ukiona hivyo kazi yenyewe haikutaki lakini wewe unaitaka
Acha uongo weweHaya matamanio uliyonayo, tayari ni disqualification.
Wanaopata na wanaoelewa hata hawatamani kwenda zaidi ni shida ya ajira tu.
Ila mwenye uelewa kabisa wa mambo hawezi kutamani kujiunga na hiyo kazi, ni wachache watanielewa!
Timamu mzee mwenzangu??Nambie mike
Bora umemwambia ukweli waache kujazana ujingaAcha kuwatisha vijana hyo ni kazi kama zilivyo kazi nyingine. Isipokuwa tu labda jinsi inavyofanywa na mchakato wake wa kupata ajira ndio inaowafanya watu watamani lakini ni kazi tu kama kazi nyingine.
Vizuri kabisaMkwara anao huyo aliemwambia mwenzake amedisqualify ukiwa hata yeye nikimuuliza aweke vigezo vya huyo kazi hana isipokuwa rumors tu za huko vijiweni wanakojazana ujinga.
Nn; mtu yoyote ilmrad tu ni mtanzania anaweza kufanya hyo kazi.
Viongozi ni viongozi na TISS ni TISS hata kama yaliyomo yamoviongozi wetu ambao ni DC,RC wote ni TISS ?
BravoViongozi ni viongozi na TISS ni TISS hata kama yaliyomo yamo
RelaxBravo