Orodha ya Wakurugenzi Wakuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) tangu Uhuru



Kuhusu Dr Lawrence Gama, nadhani umekosea kwani mimi nilisoma na mtoto wake mwaka 1976 wakati akiwa mkuu wa mkoa wa Ruvuma.
 
Unaweza ukaongelea kidogo hii misheni namna ilivyotekelezwa, kama taarifa zake siyo classified?
Bado sijaweza kuiamini hii Mada km ni ya kweli kuwa Usalama wa Taifa kwani amecopy na ku Paste kutoka kwa Malis G J (Libya walipotea wakatua Nairobi ndipo taarifa zikatua JW sio UWT) hapo hakuna ukweli wowote ila kuna sehemu humu JF pameelezewa na picha za hao viongozi
https://www.facebook.com/
 
Hawa watu mimi nilikuwa naona ni bora zaidi wawe wanatoka Jeshini. Aidha Mkuu wake anakuwa ametoka JWTZ halafu msaidizi wake Polisi (Usalama wa raia au magereza), au the vice versa. Hii kazi kwa mtu ambaye ni raia perce na ambaye hana affliation yoyote na vyombo hivi vya ulinzi na usalama nadhani huwa inakuwa ni mzigo kidogo kwake, na ninadhani kati ya hawa waliotajwa hapa wengi wao walitokana na vyombo hivi
 
DSTV kuna mpaka Majambazi wa Silaha ambao huo ujambazi ni sehenu ya Kasi zao

Umewahi kupata kuelezwa namna Hayati Prof Nikas Mahinda aliekuwa Mbunge wa Morogoro alivyovamiwa na kuuawa nyumbani kwake?
Lete maneno mkuu, wengine tumezaliwa juzi tu.
 
Vyeo vya wale jamaa ni top secret, pia waajiriwa wote wa TISS except 'informers' wanapitia mafunzo ya kijeshi. Mafunzo yao ni ya hali ya juu.. ukichanganya na 'karate ' na ujasusi. Mafunzo yao yanaenda mpaka miezi 10 au zaidi kulingana na nafasi watakayokupa.

Mind you wakikuchukua basi wanajua utafaa kitengo kipi... Ndio maana Kuna. TISS police, JWTZ, UHAMIAJI NK. kila kwenye kundi fulani la watu na wao pia wana mtu wao.

Katiba ya nchi yetu imekibana sana hichi chombo, kazi yao kuu kwa mujibu wa katiba (TANZANIA INTELLIGENCE AND SECURITY SERVICES ACT, 1996) inawataka kutafuta taarifa zote za kiusalama, kuchuja, na kushauri juu ya hatua za kuchukua basi. Ndio maana huwezi kuona watu wa usalama wanakamata mtu au kufanya kitu chochote cha kuonekana.

Nchi za wenzetu chombo kama hiki ni huru, hakina mipaka katika kulinda, na kutunza mustakabali wa nchi... Kwetu wanasiasa wanaogopa kukipa mamlaka kamili, badala wanatumia baadhi ya maafisa kwa faida zao binafsi

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
Unasahau TISS ni Taasisi ya kiraia (Civilian) Wanajeshi wachache ni broad minded ndio maana Pamoja na Jeshi kuwa na Community yao Millitary Intelligence(MI) Lakini hii ya kiraia inabaki kuwa the best kuanzia kwenye mambo ya Gathering mpaka analysis, The best analysts ni wenye mtazamo wa Kiraia, Ni siasa tu zilivuruga idara yetu ila bado iko Juu
 
Vyombo vingi vya kijasusi, vinatoaga mchoro kwa vyombo husika then hukamata, ila wao kukamata ni nadra
 
Sio kweli
Aliejenga uwanja wa Tabora
Na uwanja wa Sumbawanga..Nelson Mandela stadium alikuwa Tumainiel Kiwehlu..
 

TISS Ilikuwepo muda mrefu sana inawezekana kulikuwa hakuna sheria, lakini mimi nimeelewa uwapo wa TISS tangu miaka hiyo ya sabini. Kuna ndugu yangu mmoja alikuwa ofisa wa TISS wakati wa Nyerere, na alikuwa anaishi maisha kama yuko mbinguni. Kama uliwahi kumfahamu jamaa anaitwa Walingozi, basi huyo ndiye aliyekuwa chuma cha pua wa TISS.

Mwanozni mwa miaka ya themanini ilikuwa ni almanusra tu na mimi ningeinga TISS ila nadhani hawakupenda maisha yangu ya ujana wakati huo kutokana purukushani zangu nyingi sana za wakati huo. Ila Takuru walinifanya kuwa ripota wao kwa kipindi fulani ingawa bila malipo yoyote bali malupululupu tu- ambayo yalikuwa yananitosheleza haja zangu wakati huo.
 
Hassy kitine akili kubwa kijana wa TUNTEMEKE . Sema Deo ndo Boya kaharibu jina lao
 
Roadmap
Msome na huyu jamaa kt the irreplaceable hapa kwenye post yake hii #69
 
Mnataka kusema jeshini ( JWTZ ) wengi hawana kili ausio ? 😒😒
 
Huyu Walingozi wamemjadili sana hunu
 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…