Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni ujinga.. ukabila wa nini tena jamani?Wahehe hujawaona? Kimsingi kati ya Wakurugenzi 9; Mkoa wa Iringa ulitoa theluthi. Mzena, Kitine na Mahiga. Iringa(3), Kilimanjaro (2), Ruvuma(1), Songwe(1), Morogoro(1) na Tanga(1).
Ahhh..[emoji28][emoji28][emoji28]Mhaya, Jack Zoka amewahi kuwa naibu tu basi. Hakujawahi kuwepo DG mhaya. Nimemtaja Zoka kwa sababu yeye mwenyewe aliwahi kujitokeza hadharani kumjibu dakta Slaa enzi zake. Ila kwa mujibu wa sheria DG ndio inaruhusiwa kujulikana kwa maafisa wote wa TISS na hii ni kwa mujibu wa sheria.
Hata zile mbwembwe za 2016 kutambulishwa kwa Bob Makungu(RAS) kwamba ni naibu sijui zilitoka wapi? Amestaafu ubalozi Canada. Yuko wapi huyu mzee?
Hapana mkuu DGIS anajulikana, DOI anajulikana(Na huyu ndo alikua anakaimu mara nyingi DG anaposafiri)....mara nyingi DEO ndo anakua nyuma ya pazia kutokana na shughuli anazosimamia pamoja na CTO. Mkuu wa Vital Installations pia bi Giza. Chini hapo ni RS na DR wake na ma DS wanajulikana. Saivi na huyo mpya cheo cha DGIS anaruhusiwa kujulikanaMhaya, Jack Zoka amewahi kuwa naibu tu basi. Hakujawahi kuwepo DG mhaya. Nimemtaja Zoka kwa sababu yeye mwenyewe aliwahi kujitokeza hadharani kumjibu dakta Slaa enzi zake. Ila kwa mujibu wa sheria DG ndio inaruhusiwa kujulikana kwa maafisa wote wa TISS na hii ni kwa mujibu wa sheria.
Hata zile mbwembwe za 2016 kutambulishwa kwa Bob Makungu(RAS) kwamba ni naibu sijui zilitoka wapi? Amestaafu ubalozi Canada. Yuko wapi huyu mzee?
DOI Kirefu chake?Hapana mkuu DGIS anajulikana, DOI anajulikana(Na huyu ndo alikua anakaimu mara nyingi DG anaposafiri)....mara nyingi DEO ndo anakua nyuma ya pazia kutokana na shughuli anazosimamia pamoja na CTO. Mkuu wa Vital Installations pia bi Giza. Chini hapo ni RS na DR wake na ma DS wanajulikana. Saivi na huyo mpya cheo cha DGIS anaruhusiwa kujulikana
Hapana mkuu DGIS anajulikana, DOI anajulikana(Na huyu ndo alikua anakaimu mara nyingi DG anaposafiri)....mara nyingi DEO ndo anakua nyuma ya pazia kutokana na shughuli anazosimamia pamoja na CTO. . Chini hapo ni RS na DR wake na ma DS wanajulikana. Saivi na huyo mpya cheo cha DGIS anaruhusiwa kujulikana
Alikua Mshirika mwenzangu huyo, pale kanisani alikua kama mchungaji hivi baada ya mchungaji kiongozi Dondo ambaye ndie kanisa lake.Kipilimba official title kabla hajawa Mkurugenzi ni ni alitoka kanisa la new harvest church?? Seriously??
Akipewa Sheikh Ponda itapendeza zaidi 😎Bado shekh kuteuliwa kuongoza hiyo idara
Hahahaaa.... Weka Officer huko kwenye hizo initial za mkoa na wilaya na DR ni msaidizi wa huyo wa mkoa.DOI Kirefu chake?
CTO?
DEO?
RS AU RSO?
Giza=hajulikani(Hapaswi kujulikana)Mkuu wa Vital Installations pia bi Giza
Nd nn
Jama bora angeandika Are you happy? amekwenda kutumia maneno ya zamani yana leta sintofahamu 😆Hapana, kitu gani kimekupa swali hilo?
Hahaaa, kuna bibi mmoja Mmarekani alikuwa jirani yangu, yeye anasema hana matatizo na gay people, tatizo lake wamelichukua neno gay, lililokuwa na maana ya kuwa na furaha, wakaliteka na kulibadilisha na kulipa maana mpya kabisa.Jama bora angeandika Are you happy? amekwenda kutumia maneno ya zamani yana leta sintofahamu 😆
White alikamatwaga?
Usikute White naye alikuwa planted ili waweze kutekeleza adhma yao ya mauaji ya Imran kombe.
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]Awamu hii tujipange akina "she" naona ni wasaa wetu sasa nasisi kwenda kutibiwa "mzena"
Mambo yako ya ulaya ulayaHapana, kitu gani kimekupa swali hilo?
NimemuulizaUnamdhihaki usiemjua halafu hapo juu umeomba connection ya kazi..vijana wa sasa kichwani kuna shida sana.
Ndo majibu yakoHahahaaa.... Weka Officer huko kwenye hizo initial za mkoa na wilaya na DR ni msaidizi wa huyo wa mkoa.
Watakuja wengine kujazilizia