Orodha ya Wakurugenzi Wakuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) tangu Uhuru

Wahehe hujawaona? Kimsingi kati ya Wakurugenzi 9; Mkoa wa Iringa ulitoa theluthi. Mzena, Kitine na Mahiga. Iringa(3), Kilimanjaro (2), Ruvuma(1), Songwe(1), Morogoro(1) na Tanga(1).
Wahehe wengi ni watu wanyenyekevu na watiifu kwa top leadership. Chukua kesi ya wafuasi wa Mkwawa jinsi walivyomficha mpaka later on akaamua jiua. 'Mhehe hashindwi vita' ndivyo wanasema.

Ukienda kwenye makumbusho yao pale Iringa wanasema kuanzia watoto,wanawake na jamii nzima walimlinda kiongozi wao Mkwawa kwa uri na dhim dhidi ya mkoloni Mjerumani.

Utii kwa uongozi ni sifa muhimu katika Intelijensia.

Lakini pia Mkwawa ni miongoni mwa Machifu wachache wa Tanganyika aliekuwa na kikosi cha Intelijensia kilicho relay information kutoka garrisons za Wajerumani Pwani ya Bahari ya Hindi hasa Bagamoyo juu ya ujio wa askaris wa Kijerumani kuingia bara kupambana na vikosi tiifu mwishoni mwa miaka ya 1800s.

Kumbuka target ya Mkwawa ilikuwa kutanua himaya yake hadi afike "kululenga" yaani Bahari ya Hindi which means himaya ya uhehe ianzie Njombe, Iringa, Dodoma,Morogoro, Lindi na Dar es salaam etc ila wakati anaendelea kujitanua njiani aka akakutana na kikwazo cha askari wa Kijerumani ambao tayari walikuwa washafika Pwani na wanaingia bara. Hapo ndo mnyukano ukaanza.

Wahehe ni miongoni mwa makabila yasiyo na unafikinafiki na ndio maana tatizo la tribalism miongoni mwa Hehe people ni dogo. Kwa Mhehe 'A' ya kiongozi ni 'A' kwake pia ila kwa baadhi ya DNA 'A' ya kiongozi ni 'B' kwake. How do you trust the latter kwenye nafasi nyeti kama za usalama wa nchi yetu.

Experience ni mwalimu mzuri. Once a leader always a leader. Once a betrayal always a betrayal

Mifano ya wasaliti pia ipo
 
Story za vijiwe vya kahawa mbichi
 
Mbona hakuna mkuu wa usalama wa Taifa muislam?
 
Semantic broaderning ata neno madam ilikuwa ni la head of prostitute lakini saivi ni neno la any employed women
 
Huyu mzee Mzema tunatoka kijiji kimoja
 
Ww toa TAARIFA na sio maelekezo
Taarifa gani zaidi ya nilivyokwisha andika?

Unayoita maelekezo ni kwa sababu wewe ulitaka nirudie niliyokiwsha andika ndiopo maana nikakuambia soma huko nyuma upate storyline kamili. Hatujadili kwa kurudia mambo yale yale ndiyo maana kuna rekodi za kudumu
 
Hivi unajua huu uzi unakuzidi sana kimo, si ukae usome tu. Yani unaulizauliza vitu vya wazi, chuo gani kwanza umesoma wanatoa graduates kama wewe?
Ww unamatatizo ya mapmb kabisa Amna mtu anaitwa jina Hilo alikuwa mkuu wa TISS
 
Hivi unajua huu uzi unakuzidi sana kimo, si ukae usome tu. Yani unaulizauliza vitu vya wazi, chuo gani kwanza umesoma wanatoa graduates kama wewe?
Kuna Nzena na mzena na Mnzwema wewe unamjua nani na makalio yako????
 
Kuna Nzena na mzena na Mnzwema wewe unamjua nani na makalio yako????
Huu uzi wewe tu ndio una akili za kuokoteza. Na ungekuta utaratibu wa kuongea kwa code hapa ungetoka mweupe kabisa.
 
Kwa unafiki sina uhakika...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…