SUGU ni mwanaume wa maana na wewe? KhaHivi huyu dada alitumia akili kuzaa na huyo mtu kweli,, yani alijichanganya kila akihojiwa anamkana kinamna flani hivi, jamaa bado ana ulimbukeni sana, watu tusio na status ndo tunapata wanaume wa maana ila wao wanahangaishwa tu hadi huruma yani,