CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Jerry angewafaa sana kwenye mwenezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh .1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
3)Siriel Mchembe.
4)Gabriel Zachariah.
5)Jasinta Mboneko.
6)Mathayo Masele.
MaumbileHivi huyu basila mpaka kupewa udc ilikuwaje kuwaje??
Ova
Hivi huyu dada alitumia akili kuzaa na huyo mtu kweli,, yani alijichanganya kila akihojiwa anamkana kinamna flani hivi, jamaa bado ana ulimbukeni sana, watu tusio na status ndo tunapata wanaume wa maana ila wao wanahangaishwa tu hadi huruma yani,Vunja Vunja ndiyo amefurahi ili aendelee kuvunjavunja wengine bila wasiwasi kabisa. Ukiona mwanaume mna date hata siku Moja hakutambulishi anakuna tu kama Yuda Iskarioti ujue huna thamani kwake na kuwa msururu ni mrefu hivyo hataki kuharibu vitumbua vyake kwa mchanga.
Ni kweli, alikuwa anaonekana sana hasa kwenye ajali za barabaraniLakini huyo Mchembe namuona kama mchapa kazi uwa namuona sana kwenye luninga akizungumzia maswala mbalimbali ya wilaya yake.
Hahaha mkuu. CCM bila makundi haiendi kabisa. Tena kuna CCM Asili na Masalia na sasa hivi kuna CCM wakatwa mikia. Muulize Sumaye na Lowasa wanajua vyema sasa hii."Acha upuuzi CCM ni moja. Hakuna CCM ya Magu CCM ya Samia wala ya Mzee wa Msoga ccm ni moja" Alisikika kada mmoja wa ccm akinena ambae anakaa mtaa wa kajiungeni
Kwenye pangua ijayo yeye atakuwa ndani kama mgeni.Ni kweli, alikuwa anaonekana sana hasa kwenye ajali za barabarani
Sijaelewa, unamaanisha nini kusema "kama mgeni"?Kwenye pangua ijayo yeye atakuwa ndani kama mgeni.
Mume yupi? Lile kofuli lsilokuwa na lock ameliacha likiendelea kazi yake ya kuning'ia milango kadhaa. Muhimu amepata mtoto ndiyo cha maana zaidi. Acha kofuli liendelee kuvunjavunja milango kadhaa ndani na nje ya Tanzania.Jokate kaenda na mumewe?
Hizo ndiyo lugha za code inabidi ujifunze kuzifungua. Unapoingia nyumba ya mtu kwa mara ya Kwanza wewe ni nani? Hata leo tuna wageni 37 huko Wilayani. Usiniulize tena kufafanua maana hapa nimevunja miiko ya ufafanuzi. Hahahaha!!!Sijaelewa, unamaanisha nini kusema "kama mgeni"?
Ngaya sio?Jerry angewafaa sana kwenye mwenezi
Ukitaka kupata taarifa sahihi, weka taarifa isiyo sahihi, ili wajuzi wakusahihishe🤷🏽♂️Siyo 1999?
Alikuwa anafuatilia mkekaJuzi alikuwa Liti mechi na Azam na singida anachat kumbe ndo anatemwa Duh
Vichwa maji wawili walikutanaHivi huyu dada alitumia akili kuzaa na huyo mtu kweli,, yani alijichanganya kila akihojiwa anamkana kinamna flani hivi, jamaa bado ana ulimbukeni sana, watu tusio na status ndo tunapata wanaume wa maana ila wao wanahangaishwa tu hadi huruma yani,
Once a kengee always a Kengeee... Yani jokate na uheshimiwa wake niliju atasonga mbele ilaaa karudi kwenye Circle ya kina wemaa sijui kina nana fwakeni kabisaa sidhani kama hata hiyo nafasi anahistahiliii mkuu wa wilaya unazini na mume wa mtu mpaka mnapata mtoto aisee pepo la Ngono la bongo movie baya sanaa now naelewa why HAWAPEWI NAFASIII KWENYE UONGOZI.Vichwa maji wawili walikutana
Pole zake nyingi sana zimfikieVichwa maji wawili walikutana
Nionavyo mimi ni kuwa Jokate ndo analazimisha uhusiano, maana amekuwa akimtagi sana Vunjabei, mf kwenye mtoto Vunjabei alimpa hongera, Jokate akasema usijikaushe....Pole zake nyingi sana zimfikie
😂😂😂ana hamu ya kuwa mke ndo nachokiona lakini aliyakanyaga tangu mwanzo, vunja bei ni muhuni na hana huruma hata kwa kumtizama tu,, celebrity wa tz vichwa maji kabisa, mume wa mtu, limbukeni, muhuni yote hayo hakuyaona pamoja na exposure yote aliyonayo, ingekuwa mahusiano yake ya kwanza tungeelewa,Nionavyo mimi ni kuwa Jokate ndo analazimisha uhusiano, maana amekuwa akimtagi sana Vunjabei, mf kwenye mtoto Vunjabei alimpa hongera, Jokate akasema usijikaushe....
Amekuwa akikanwa kwenye media ila dada yumo.
Mwisho utasikia akiomba matunzo
1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
3)Siriel Mchembe.
4)Gabriel Zachariah.
5)Jasinta Mboneko.
6)Mathayo Masele.
Mwaipaya yupi unayemsemea hapaMwaipaya karudi radio one na J Muro karudi Yanga