kaangwa
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 644
- 193
Hapa naomba ufafanuzi,unamaanisha hizo taasisi ulizozitaja ndo zimelipa kodi,au wafanyakazi wa taasisi hizo wanakatwa makato ya kodi afu ndo zinatajwa kwa jina la mwajiri wao(Taasisi)?
Mlipa kodi natamani awe ni yule anayevuja jasho lake na kukatwa kodi ndiye atajwe ,badala ya usanii huu
kodi anakatwa mwingine heshima anapata mwingine.
Mlipa kodi natamani awe ni yule anayevuja jasho lake na kukatwa kodi ndiye atajwe ,badala ya usanii huu
kodi anakatwa mwingine heshima anapata mwingine.