Orodha ya Walipa Kodi Wakubwa 40 - Taasisi za Serikali

Orodha ya Walipa Kodi Wakubwa 40 - Taasisi za Serikali

Hapa naomba ufafanuzi,unamaanisha hizo taasisi ulizozitaja ndo zimelipa kodi,au wafanyakazi wa taasisi hizo wanakatwa makato ya kodi afu ndo zinatajwa kwa jina la mwajiri wao(Taasisi)?
Mlipa kodi natamani awe ni yule anayevuja jasho lake na kukatwa kodi ndiye atajwe ,badala ya usanii huu
kodi anakatwa mwingine heshima anapata mwingine.
 

Asante japo source yako ni verified but the datas ni outdated!.
6 Tanzania Zambia Railway Authority - (Tazara)
7 Tanzania Post Corporation
10 Parastatal Pensions Fund - (Ppf) -imebadili jina sasa inaitwa PPF Pension Fund
11 National Social Security Fund - (Nssf)
14 Dar Es Salaam Water & Sewerage Authority - (Dawasa) sass inaitwa Dawasco
16 Tanzania Investment Bank Limited - (Tanzania Investment Bank) imebadilishwa jina
17 Air Tanzania Company Ltd-Loss making
22 Ministry Of Defence And National Services-hawalipi kodi haws ni durt free entity
23 Dar Es Salaam Water & Sewerage Corporation - (Dawasco)
25 National Printing Company Limited-died long ago!
29 Tazama Pipelines Limited-almost dead with Tipper
39 Local Authorities Pensions Fund - Lapf-imebadili nina sass inaitwa LAPF Pension Fund.
40 Public Service Pension Fund - Pspf-Imebadili jina sasa inaitwa PSPF Pension Fund.

Hizi data ni too outdated kabla some new players hawajaingia kama kina TCRA, EWURA, SUMATRA, TIRA, SSRA, NA TAASISI KIBAO ZA KISERIKALI AMBAZO NI BIG MONEY PLAYERS!.

Pasco.

I can understand, bado kuna sigara, bia, migodi n.k that list is not logical...magereza wanalipa kodi gani?? ka biashara ipi??
 
sasa Air Tanzania wanalipa kodi kwa ndege zipi walizonazo?
na TRA nao kumbe walipa kodi?
 
Hii list ina walakini sijaona

1. CRDB

2. Tanzania brewaries

3. Migodi ya dhahabu

4. Vodacom

5. NMB

6. Sigara

7. Cocacola

9. Pepsi

10. Azam

..............
 
Mtoa mada hivi umesoma wapi wewe???myb ukisema elimu yako sitakulaumu
 
Hivi source of income ya Magereza ni ipi ndugu zangu mpaka wawe walipa kodi wazuri?..au ndo kutoa pesa mfuko huu then unarudishia mfuko mwingine kwa kuipa jina jingine
 
Hiyo list sio walipaji wazuri wa kodi itakuwa walipaji wazuri wa pension or the like,

naona mtoa uzi anaongelea PAYE na withholding tax may be in term of public institutions na naamini ameamua tu kutoa mtazamo wake
 
Cha ajabu inakuwaje Vibenki kama Pastal bank(12), TIB(16) na Twiga bancorp(18) wapo ndani lakini benki kama CRDB,NBC,NMB,EXIM hawapo? It is a shame list
 
Hapa changa la macho mbona makampuni binafsi hayapo.... TBL, TCC vodacom na mengine au ndo misamaha ya kodi?
 
Wakuu ni jambo jema kuelewa title na maswali makuu ya mtoa mada;

1. Orodha iliyotolewa ni ya walipa kodi wakubwa ikihusisha taasisi za serikali, wizara na mashirika ya serikali tu. Haihusishi taasisi au kampuni binafsi ambazo nitatoa uzi mwingine.
2. Hii ina maana taasisi zote zinamilikiwa na serikali au kwa kiasi kikubwa na serikali.
3. Nilichoomba ni mchango wa waelewa hii inaweza kuwa na maana gani. serikali inakusanya mapato yake kupitia kodi mbalimbali kama VAT (Kwa kila manunuzi yanayolipiwa VAT); PAYE; income tax, withholding tax, nk. Hii haijalishi kama ni taasisi ya serikali au la maana wao pia wanalipia VAT.

Ni vema katika reasoning yetu tukatambua kuwa katika bajeti ya serikali ya matrilion, kuna manunuzi makubwa yanayofanyika ambayo yanalipiwa VAT na pia kuna kodi za namna nyingine. Hii haijalishi kama taasisi hizi zinahusisha pesa za ruzuku za serikali au ni mapato yao wenyewe.

@Pasco listi hii ni ya mwisho wa mwaka wa serikali: End of June 2013. Nitakuja na list ya private companies.
 
Ifwatayo ni orodha ya walipa kodi wakubwa ikihusisha taasisi za serikali, wizara na mashirika ya serikali.

Je kama ni walipa kodi wakubwa ni nini maana yake?
Wana manunuzi mengi wanayolipia kodi?
Wana wafanyakazi wengi wanaowalipia PAYE?
Wanakusanya mapato makubwa na hivyo kulipa VAT?

Ni nini hasa maana yake? wataalamu wa kodi tusaienieni.

The list:

1 Tanzania Telecommunications Company Ltd - Ttcl
2 Tanzania Electric Supply Company Ltd - (Tanesco Ltd)
3 Tanzania Port Authority - (Tanzania Harbours Authority)
4 Tanzania Revenue Authority
5 National Housing Corporation
6 Tanzania Zambia Railway Authority - (Tazara)
7 Tanzania Post Corporation
8 National Service
9 Bank Of Tanzania
10 Parastatal Pensions Fund - (Ppf)
11 National Social Security Fund - (Nssf)
12 Tanzania Postal Bank
13 Vocational Education Training Authority - Veta
14 Dar Es Salaam Water & Sewerage Authority - (Dawasa)
15 National Insurance Corporation Tanzania Ltd - Nic (T) Ltd
16 Tanzania Investment Bank Limited - (Tanzania Investment Bank)
17 Air Tanzania Company Ltd
18 Twiga Bancorp Ltd - (National Bureau De Change Limited)
19 Police Force
20 Wizara Ya Elimu Na Utamaduni
21 Permanent Secretary Ministry Of Finance
22 Ministry Of Defence And National Services
23 Dar Es Salaam Water & Sewerage Corporation - (Dawasco)
24 Tanzania Standard Newspapers Limited
25 National Printing Company Limited
26 University Of Dar-Es-Salaam
27 Dar Es Salaam City Council
28 Muhimbili National Hospital
29 Tazama Pipelines Limited
30 President's Office - Cabinet Secretariet
31 Tanzania National Parks Ltd - Tanapa
32 Ngorongoro Conservation Area Authority
33 Tanzania National Roads Agency - (Tanroads)
34 President's Office
35 Prison Service
36 The National Health Insurance Fund
37 Tanzania Petroleum Development Corporation - Tpdc
38 Ministry Of Natural Resources And Tourism
39 Local Authorities Pensions Fund - Lapf
40 Public Service Pension Fund - Pspf

Source: Verified source but undisclosed


Khaaa mbona sielewi. Mi nadhani kuna mataasisi mengi hapo yangekuwa kategorised kama . WATUMIAJI WAKUBWA WA KODI .
 
Mkuu

Hawa ni walipa kodi wazuri au wakubwa? wakubwa interms of large amount of money??

where is private sectors hapo, sioni akina Bakhresa na Mengi,

btw tafuta superman wa kihindi anaitwa Krish, very interesting movie, wamekopi vizuri sana na kukuzidi wewe ha ha haa

Hii orodha imeitwa ya walipa kodi wakubwa. Nikiri kuwa vigezo vyake sivifahamu. List ya private sector nitaitoa baadaye.

Haaaa haaa hiyo ya Krish ngoja nii google . . . thanks though!
 

Asante japo source yako ni verified but the datas ni outdated!.
6 Tanzania Zambia Railway Authority - (Tazara)
7 Tanzania Post Corporation
10 Parastatal Pensions Fund - (Ppf) -imebadili jina sasa inaitwa PPF Pension Fund
11 National Social Security Fund - (Nssf)
14 Dar Es Salaam Water & Sewerage Authority - (Dawasa) sass inaitwa Dawasco
16 Tanzania Investment Bank Limited - (Tanzania Investment Bank) imebadilishwa jina
17 Air Tanzania Company Ltd-Loss making
22 Ministry Of Defence And National Services-hawalipi kodi haws ni durt free entity
23 Dar Es Salaam Water & Sewerage Corporation - (Dawasco)
25 National Printing Company Limited-died long ago!
29 Tazama Pipelines Limited-almost dead with Tipper
39 Local Authorities Pensions Fund - Lapf-imebadili nina sass inaitwa LAPF Pension Fund.
40 Public Service Pension Fund - Pspf-Imebadili jina sasa inaitwa PSPF Pension Fund.

Hizi data ni too outdated kabla some new players hawajaingia kama kina TCRA, EWURA, SUMATRA, TIRA, SSRA, NA TAASISI KIBAO ZA KISERIKALI AMBAZO NI BIG MONEY PLAYERS!.

Pasco.

Hello Pasco mashirika mengi uliyoyaorodhesha ni wakusanyaji kodi nna ada kubwa. Issue hapa ni kulipa kodi. Mfano TCRA wanakusanya royalty kubwa toka makampuni ya mawasiliano kwa niaba ya serikali lakini haina maana wao wanalipa kodi kubwa pia as TCRA.

List ni ya June 2013.
 
Last edited by a moderator:
Hapa naona list ya wala kodi ... (mashirika yaoishi kwa kutegemea kodi)

Hilo nakubaliana nalo mfano wizara za serikali. lakini wanapfanya manunuzi pia wanalipa kodi nk.
 
Breweries ndiyo wanaongoza kwa kulipa kodi Tanzania.

Ni kweli kabisa: Source: Home

Tanzania Breweries Limited (TBL) has once again scooped victory after emerging the best tax payer in the 2012-2013 financial year national level awards.

TBL for the second time topped other companies in the big taxpayer division last year for being overall tax compliant company as well as the most compliant corporate tax payer in the financial sector. The second national tax contributor award went to the Tanzania Cigarette Company and third position was picked up mobile phone giant Vodacom (T) Ltd.


Hata hivyo list yangu ni ya taasisi za umma na serikali. Nitatoa baadaye ya taasisi binafsi.
 
DAWASA ipo na ndio inamiliki miundo mbinu mikubwa ya maji, DAWASCO ni operation company na wachuuzi wa maji!

Pia inawezekana wana manunuzi makubwa kwa ajili ya hiyo miundombinu na hivyo kulipia VAT?
 
Back
Top Bottom