Orodha ya Walipa Kodi Wakubwa 40 - Taasisi za Serikali

Orodha ya Walipa Kodi Wakubwa 40 - Taasisi za Serikali

Ifwatayo ni orodha ya walipa kodi wakubwa ikihusisha taasisi za serikali, wizara na mashirika ya serikali.

Je kama ni walipa kodi wakubwa ni nini maana yake?
Wana manunuzi mengi wanayolipia kodi?
Wana wafanyakazi wengi wanaowalipia PAYE?
Wanakusanya mapato makubwa na hivyo kulipa VAT?

Ni nini hasa maana yake? wataalamu wa kodi tusaienieni.

The list:

1 Tanzania Telecommunications Company Ltd - Ttcl
2 Tanzania Electric Supply Company Ltd - (Tanesco Ltd)
3 Tanzania Port Authority - (Tanzania Harbours Authority)
4 Tanzania Revenue Authority
5 National Housing Corporation
6 Tanzania Zambia Railway Authority - (Tazara)
7 Tanzania Post Corporation
8 National Service
9 Bank Of Tanzania
10 Parastatal Pensions Fund - (Ppf)
11 National Social Security Fund - (Nssf)
12 Tanzania Postal Bank
13 Vocational Education Training Authority - Veta
14 Dar Es Salaam Water & Sewerage Authority - (Dawasa)
15 National Insurance Corporation Tanzania Ltd - Nic (T) Ltd
16 Tanzania Investment Bank Limited - (Tanzania Investment Bank)
17 Air Tanzania Company Ltd
18 Twiga Bancorp Ltd - (National Bureau De Change Limited)
19 Police Force
20 Wizara Ya Elimu Na Utamaduni
21 Permanent Secretary Ministry Of Finance
22 Ministry Of Defence And National Services
23 Dar Es Salaam Water & Sewerage Corporation - (Dawasco)
24 Tanzania Standard Newspapers Limited
25 National Printing Company Limited
26 University Of Dar-Es-Salaam
27 Dar Es Salaam City Council
28 Muhimbili National Hospital
29 Tazama Pipelines Limited
30 President's Office - Cabinet Secretariet
31 Tanzania National Parks Ltd - Tanapa
32 Ngorongoro Conservation Area Authority
33 Tanzania National Roads Agency - (Tanroads)
34 President's Office
35 Prison Service
36 The National Health Insurance Fund
37 Tanzania Petroleum Development Corporation - Tpdc
38 Ministry Of Natural Resources And Tourism
39 Local Authorities Pensions Fund - Lapf
40 Public Service Pension Fund - Pspf

Source: Verified source
 
Mhhhhh,naomba kujuzwa TAASISI AMBAZO NI FULLY GOVT OWNED,AS IN HAKUNA PPP(public and private partnership) ZINALIPA KODI ????
Tangu lini,kwa Act ipi ya kodi?kwa viwango gani?em naomba msaada hapa, mtoa
mada ebu tupe source ya hayo unayosema othrwise funga thread,hakuna siri nchi hii,

Yes, taasisi yoyote ya serikali inapofanya manunuzi inatakiwa kulipa 18% VAT. Pia inapofanya mauzo in some cases kulipa withholding tax au kodi nyinginezo.

Source: siwezi kutoa nitamwaga unga wa watu. Ila ni verfied source 100%. Hutaki unaacha lol . . . .
 
Nina mashaka na SOURCE ya mtoa mada,...disclose hyo source tujionee wenyewe...hazilipi kodi hzio,bali zinatumia kodi..
TOA SOURCE,acha ku'quote vibaya huko ulikoitoa

Source: Verified 100%. Genuine source. Siwezi kuitaja watu watamwaga unga. Hoja yako si ya kweli pia. Taasisi za serikali hata serikali yenyewe inapofanya manunuzi inalipa VAT.

Assume katika bajeti ya Trillion 11; trillion 5 zilitumika katika manunuzi ya bidhaa na huduma hapo unazungumzia VAT karibia trillion 1.
 
Mashirika ya serikali yanalipa kodi,???kwa act ipiiii,ya mwaka gani??em tupe mfano mana kwa uchache najua income tax act inayoboreshwa mara kwa mara na sijaona taasisi za serikal kulipa kodi

Yes manunuzi yote ya huduma na bidhaa wanalipa kodi ya 18% VAT. nk
 
Labda ni wanaoongoza kukusanya mapato ya serikali sio walipa kodi
 
Reasoning yako ya "ulipa kodi" ina walakin.
Wengi wa hao uliowataja hapo juu si wazalishaji mali bale NET USERS wa kodi hizo hizo wanazo lipa serikalini.

Kwa maana hiyo wanachukua fedha serikalini na kuzirudisha-hamna uzalishaji hapo!

Nilioweka kwenye RED, ndo kabisa walaji wa fedha za kodi, ingawaje wengine wanakusanya fedha na kuzi-recyle katika financial system.

Hapa dhana nzima ya kodi haiko endelevu, kukamuana mkono wa kulia na kuzipokea mkono wa kushoto!!!!

Kuna mashirika ambayo yanazalisha na kuuza mfano magereza wana miradi mingi sana na wanauza. Lakini pia taasisi ya serikali au wizara inapofanya manunuzi inalipia 18% VAT unless uwe ni mradi unaokuwa funded na kulikuwa na makubaliano ya exemption ya kodi.
 
Kwa uelewa wangu till now,..kodi zinalipwa na Individuals,( watu mfano wafanyakazi thru PAYE),Business Owners(mfano weney maduka nk) na Corporates (yani makampuni madogo kwa makubwa private,au yenye ubia na serikali)..kwa viwango tofauti tofauti,hii ipo kwenye INCOME TAX ACT ya 2012(ndo latest) kama sikosei
kando ya hapo hayo mashirika tajwa huwa yanaikusanyia serikali kodi (Yani withholding payments) na kuikabidhi TRA iliyo chini ya wizra ya fedha,kisha kugawia wizara husika ili kukidhi mahitaji ya budget ya kila wizara nk,...and the cycle continues

Mkuu umesahau wanaponunua bidhaa au huduma pia wanalipa kodi. Watoa huduma serikalini au wanaouza wanajua kuwa wanatozwa VAT. Angalia vema hiyo sheria kama serikali iko exempted au la.
 
Jamani the opposite hawa jamaa? hizi taasisi ndio hazilipi kodi (VAT) labda tuseme ni kodi ipi? kama ni PAYE naweza kukubaliana na nyinyi kwa volume ya watumishi walio nao, japo sina uhakikika iwapo hizo PAYE nazo huwa zinawasilishwa kwenye mamlaka husika (hazina) as required

Zinalipa 18% VAT katika manunuzi. Pia kodi nyingine.
 
Hapa naomba ufafanuzi,unamaanisha hizo taasisi ulizozitaja ndo zimelipa kodi,au wafanyakazi wa taasisi hizo wanakatwa makato ya kodi afu ndo zinatajwa kwa jina la mwajiri wao(Taasisi)?
Mlipa kodi natamani awe ni yule anayevuja jasho lake na kukatwa kodi ndiye atajwe ,badala ya usanii huu
kodi anakatwa mwingine heshima anapata mwingine.

Niliomba msaada wa ufafanuzi kwa wataalamu wa kodi lakini naona sasa naishia kufafanua mwenyewe. Iko hivi serikali inalipa kodi katika manunuzi ya huduma au bidhaa. Rate 18%. kama hawalipi labda itakuwa ni manunuzi ya funded project ambapo lazima tax exemption certificate itolewe.

Kuna kodi nyingine kama import duty, exercise duty, withholding tax, PAYE nk
 
Superman source yako haiko sahihi kwani mimi nina Taarifa either NMB au TBL ameshika namba moja ya kulipa kodi kubwa nchini. NMB wamepata faida ya kufa mtu na sasa hivi wanashikilia 40% ya deposits nchi nzima. Wakati mauzo ya TBL yamekuwa kwa kiwango kikubwa sana. Hiyo source haiko sahihi.
 
I can understand, bado kuna sigara, bia, migodi n.k that list is not logical...magereza wanalipa kodi gani?? ka biashara ipi??

Nitatoa list nyingine ya private companies inayohusisha baadhi ya makampuni uliyoyataja. ya sasa ni taasisi za serikali tu.

Naona wengi wameshikwa na mshangao na maswali mengi.
 
sasa Air Tanzania wanalipa kodi kwa ndege zipi walizonazo?
na TRA nao kumbe walipa kodi?

Hayo ndo maswali ya kimsingi. Je kuna manunuzi yoyote waliyoyafanya?
 
Hii list ina walakini sijaona

1. CRDB

2. Tanzania brewaries

3. Migodi ya dhahabu

4. Vodacom

5. NMB

6. Sigara

7. Cocacola

9. Pepsi

10. Azam

..............

Itafuta muda si mrefu . . .
 
Back
Top Bottom