Orodha ya Walipa Kodi Wakubwa 40 - Taasisi za Serikali

Orodha ya Walipa Kodi Wakubwa 40 - Taasisi za Serikali

Mtoa mada hivi umesoma wapi wewe???myb ukisema elimu yako sitakulaumu

Duuh! Elimu ina uhusiano gani na uzi huu ndugu? Hoja yakon hapa ni nini hasa inayokufanya uulize maswali haya?
 
Mmmh.....how? Home

Thanks. Nimeona hata Tanzania Ports Authority na TANAPA wako. Hizo zote ni taasisi za serikali na wanalipa kodi.

Source: Home

Other companies, institutions and individuals in the country award category who were recognized for their contribution as best taxpayers of the year include the National Microfinance Bank (NMB), the Tanzania Ports Authority (TPA), Geita Gold Mining, Pan Africa Energy and Tanzania National Parks (TANAPA).

Issue hapa ni kuwa wanalipa kodi ya namna gani?
 
Hivi source of income ya Magereza ni ipi ndugu zangu mpaka wawe walipa kodi wazuri?..au ndo kutoa pesa mfuko huu then unarudishia mfuko mwingine kwa kuipa jina jingine

Kwanza fikiria VAT wanayolipa kwa manunuzi yote ya vyakula na mambo mengine kwa ajili ya wafungwa:

[h=5]Prisons in Tanzania Mainland and their locations[/h]1. ARUSHA
No.District Prison
1.Arumeru Arusha
2.Ngorongoro Loliondo
3.Karatu Mang'ola
2. DAR ES SALAAM
No.DistrictPrison
1.IlalaUkonga, Segerea
2.TemekeKeko
3.KinondoniWazo
3. DODOMA
No.DistrictPrison
1.DodomaIsanga, Msalato
2.KondoaKondoa, King'ang'a
3.KongwaKongwa
4.MpwapwaMpwapwa
4. IRINGA
No.DistrictPrison
1.MufindiIsupilo
2.KiloloMgagao
3.IringaIringa,Pawaga
4.MaketeMakete
5.LudewaLudewa
6.Njombe Njombe
5. KAGERA
No.DistrictPrison
1.KaragweKayanga
2.BukobaBukoba, Rwamrumba
3.NgaraRusumo, Ngara
4.BiharamuloBiharamulo
5.MisenyiKitengule
6.MulebaMuleba
6. KIGOMA
No.DistrictPrison
1.KibondoKibondo
2.KigomaIlagala, Bangwe, Kwitanga
3.KasuluKasulu
7. KILIMANJARO
No.DistrictPrison
1.MwangaMwanga
2.MoshiKaranga
3.SameSame
4.RomboRombo
8. LINDI
No.DistrictPrison
1.NachingweaNachingwea, Kingulungundwa
2.LindiLindi
3.LiwaleLiwale
4.KilwaKilwamasoko
9. MANYARA
No.DistrictPrison
1.BabatiBabati
2.KitetoKiteto
10. MARA
No.DistrictPrison
1.MusomaMusoma, Kiabakari
2.TarimeTarime
3.SerengetiMugumu
4.BundaBunda
11. MBEYA
No.DistrictPrison
1.ChunyaNgwala
2.IlejeIleje
3.MbalaliMbalali
4.MboziMbozi
5.RungweTukuyu
6.MbeyaSongwe, Ruanda
12. MOROGORO
No.DistrictPrison
1.UlangaMahenge
2.KilosaKilosa
3.KilomberoKiberege, Idete
4.MvomeroWami Vijana, Mbigili
5.MorogoroKihonda, Kingolwira Women’s Prison, Mkono Wa Mara, Wami Kuu, Mtego Wa Simba, Morogoro
13. MTWARA
No.DistrictPrison
1.NewalaNewala
2.MtwaraLilungu, Chumvi
3.MasasiMasasi, Namajani
14. MWANZA
No.DistrictPrison
1.NyamaganaButimba
2.KwimbaNgudu
3.MaguMagu
4.UkereweUkerewe
5.SengeremaKasungamile
6.GeitaGeita, Butundwe
15. PWANI
No.DistrictPrison
1.BagamoyoUbena, Bagamoyo
2.RufijiKibiti, Utete
3.MafiaMafia, Kilombero
4.KibahaMkuza
16. RUVUMA
No.DistrictPrison
1.SongeaSongea
2.TunduruMajimaji, Tunduru
3.MbingaMkwaya, Mbinga, Kitai
17. RUKWA
No.DistrictPrison
1.SumbawangaMollo, Sumbawanga
2.MpandaMpanda,Kalilankulukulu
3.NkasiKitete
18. SINGIDA
No.DistrictPrison
1.SingidaSingida
2.ManyoniManyoni
3.IrambaUshora
4.KiomboiKiomboi
19. SHINYANGA
No.DistrictPrison
1.ShinyangaShinyanga
2.BokombeKanegele
3.MeatuMeatu
4.MaswaMalya, Maswa
5.KahamaKahama
6.BariadiBariadi, Matongo
20. TABORA
No.DistrictPrison
1.TaboraTabora, Uyui
2.IgungaIgunga
3.NzegaNzega
4.UramboUrambo
21. TANGA
No.DistrictPrison
1.PanganiPangani
2.HandeniHandeni
3.KorogweKwamngumi, Korogwe
4.LushotoMng'aro, Pangani, Lushoto
- See more at: Ministry of Home Affairs - Prisons in Tanzania

Pia Magereza ni institution yenye miradi mingi sana.
 
naona mtoa uzi anaongelea PAYE na withholding tax may be in term of public institutions na naamini ameamua tu kutoa mtazamo wake

Vipi juu ya VAT kwa manunuzi yao? Import duty na exercise duty kwa imports zao?
 
Cha ajabu inakuwaje Vibenki kama Pastal bank(12), TIB(16) na Twiga bancorp(18) wapo ndani lakini benki kama CRDB,NBC,NMB,EXIM hawapo? It is a shame list

Umiliki wa benki nilizotoa nadhani ni 100% public. CRDB, NMB nk zinamilikiwa kwa ubia.
 
Hapa changa la macho mbona makampuni binafsi hayapo.... TBL, TCC vodacom na mengine au ndo misamaha ya kodi?

makampuni binafsi yanafuata. Nitatoa orodha yake yako mengi
 
Hello Pasco mashirika mengi uliyoyaorodhesha ni wakusanyaji kodi nna ada kubwa. Issue hapa ni kulipa kodi. Mfano TCRA wanakusanya royalty kubwa toka makampuni ya mawasiliano kwa niaba ya serikali lakini haina maana wao wanalipa kodi kubwa pia as TCRA.

List ni ya June 2013.
Kama list ni ya June, 2013, then ni mtengeneza list alie cut na ku paste majina!, baada ya ujio wa SSRA, mashirika 4 kati ya 6 ya hifadhi za jamii yamebadilishwa rasmi majina, Hakuna, Parastatal Pensions Fund - (Ppf) -imebadili jina sasa inaitwa PPF Pension Fund, (Dawasa) sass inaitwa Dawasco, Tanzania Investment Bank Limited - (Tanzania National Printing Company Limited-died long ago! inalipa kodi ipi while it doesnt, exist, Local Authorities Pensions Fund - Lapf-imebadili nina sass inaitwa LAPF Pension Fund, Public Service Pension Fund - Pspf-Imebadili jina sasa inaitwa PSPF Pension Fund.
Pasco
 
Nimekumisije? Mwaka huu hutoi zawadi
Back to topic Waambie bwana Luna vat; payee' service fee nk

Wamekusoma boss. Naona hata taasisi yenu pia ni walipa kodi wakubwa.
 
Kama list ni ya June, 2013, then ni mtengeneza list alie cut na ku paste majina!, baada ya ujio wa SSRA, mashirika 4 kati ya 6 ya hifadhi za jamii yamebadilishwa rasmi majina, Hakuna, Parastatal Pensions Fund - (Ppf) -imebadili jina sasa inaitwa PPF Pension Fund, (Dawasa) sass inaitwa Dawasco, Tanzania Investment Bank Limited - (Tanzania National Printing Company Limited-died long ago! inalipa kodi ipi while it doesnt, exist, Local Authorities Pensions Fund - Lapf-imebadili nina sass inaitwa LAPF Pension Fund, Public Service Pension Fund - Pspf-Imebadili jina sasa inaitwa PSPF Pension Fund.
Pasco

Hello Pasco, nimekusoma. Hija ya msingi iko palepale. TIN namba ya PPF inabaki ile ile hata kama wamebadili recently. Ukiangalia katika list utakuta Tanzania ports Authority ni hao hao Tanzania Harbours Authority japo walibadili jina.
DAWASA na DAWASCO ni institution mbili tofauti na wote ni walipakodi wakubwa.

Dar Es Salaam Water & Sewerage Corporation - (Dawasco)
​Dar Es Salaam Water & Sewerage Authority - (Dawasa)
 
Last edited by a moderator:
Superman source yako haiko sahihi kwani mimi nina Taarifa either NMB au TBL ameshika namba moja ya kulipa kodi kubwa nchini. NMB wamepata faida ya kufa mtu na sasa hivi wanashikilia 40% ya deposits nchi nzima. Wakati mauzo ya TBL yamekuwa kwa kiwango kikubwa sana. Hiyo source haiko sahihi.

Mkuu NMB na TBL hazimilikiwi na Serikai 100%. List niliyoitoa umiliki wake ni Serikali kwa asilimia 100%

Nitatoa baadaye list ya kampuni binafsi.
 
Takwimu siyo sahihi. Tazara ni mdaiwa sugu wa kodi.
 
Source: Verified 100%. Genuine source. Siwezi kuitaja watu watamwaga unga. Hoja yako si ya kweli pia. Taasisi za serikali hata serikali yenyewe inapofanya manunuzi inalipa VAT.

Assume katika bajeti ya Trillion 11; trillion 5 zilitumika katika manunuzi ya bidhaa na huduma hapo unazungumzia VAT karibia trillion 1.

Recheck your facts....
Najua serikali hailipi VAT kwa manunuzi yanayohusisha ujenzi wa miundombinu....
 
Niliomba msaada wa ufafanuzi kwa wataalamu wa kodi lakini naona sasa naishia kufafanua mwenyewe. Iko hivi serikali inalipa kodi katika manunuzi ya huduma au bidhaa. Rate 18%. kama hawalipi labda itakuwa ni manunuzi ya funded project ambapo lazima tax exemption certificate itolewe.

Kuna kodi nyingine kama import duty, exercise duty, withholding tax, PAYE nk
Mkuu swali langu hasa ni kwamba nilitaka kujua kama hiyo list ya taasisi zinaongoza kwa kulipa kodi ni fedha inayotolewa na taasisi hizo au inaunganisha na makato (PAYE) ya wafanyakazi wa taasisi hizo?
Ndo nikamalizia kwa kusema,kama PAYE za wafanyakazi zinahusishwa,kusema taasisi hizo zinaongoza kulipa kodi ni kosa,tungesema wafanyakazi wa taasisi fulani wanaongoza kwa kulipa kodi.
 
mi nafkiri mtoa mada anazungumzia PAYE iinayopelekwa kama kodi baada ya makato ya mishahara maana kuna taasisi hapo hazizalishi na amezungumzia taasisi nawizara nza serikali na sio makampuni
 
Mkuu umesahau wanaponunua bidhaa au huduma pia wanalipa kodi. Watoa huduma serikalini au wanaouza wanajua kuwa wanatozwa VAT. Angalia vema hiyo sheria kama serikali iko exempted au la.

VAT nakubali,.but nna mashaka na reasoning yako kwani VAT 18% ni indirect tax na tunalipa watanzania na wageni wote nchi hii bila kukwepa,mana ipo tayari kwenye bei za vitu,haina ushindani sijui nani kalipa zaidi au kidogo ,utake usitake unalipa....mfano unaponinia luku lets say ya 20,000 inakuwa VAT INCLUSIVE,na makato mengine,na ipo hizo kwa watu wote,its a flat rate,haina kushindana
Nauliza tena UMESOMA WAPI WEWE???
Nakubaliana na exemptions mbalimabali kwenye VAT act,but keep in mind zina'favour watu wa aina zote,bila kujali ni serikali au la
LETA HOJA NYINGINE HAPA ,NAKUSUBIRI ,USITULISHE PUMBA
 
Back
Top Bottom