Orodha ya Walipa Kodi Wakubwa 40 - Taasisi za Serikali

Orodha ya Walipa Kodi Wakubwa 40 - Taasisi za Serikali

Hakuna mlipa kodi mzuri kama mimi jamani! Nikiamka asubuhi lazima nitoe Lock na Bia 2 na baada ya kazi jioni lazima nitwange 5-6 na hii ni kila siku labda Dr. aniandikie dawa! Piga hesabu kwa siku/wiki/mwezi/mwaka nachangia kiasi gani pato la taifa?? halafu anakuja mtu ananiambia mpaka sasa hivi hajui kwanini Watanzania ni masikini!!!:confused2:
 
And mtoa mada samahani,labda kukuuliza umesoma wapy km limekukwaza,tuachane nalo
ndo mana nasisitiza TOA SOURCE,coz lazma kwny source wataeleza criteria na sababu za kuwachagua ,
 
VAT nakubali,.but nna mashaka na reasoning yako kwani VAT 18% ni indirect tax na tunalipa watanzania na wageni wote nchi hii bila kukwepa,mana ipo tayari kwenye bei za vitu,haina ushindani sijui nani kalipa zaidi au kidogo ,utake usitake unalipa....mfano unaponinia luku lets say ya 20,000 inakuwa VAT INCLUSIVE,na makato mengine,na ipo hizo kwa watu wote,its a flat rate,haina kushindana
Nauliza tena UMESOMA WAPI WEWE???
Nakubaliana na exemptions mbalimabali kwenye VAT act,but keep in mind zina'favour watu wa aina zote,bila kujali ni serikali au la
LETA HOJA NYINGINE HAPA ,NAKUSUBIRI ,USITULISHE PUMBA

Duh dogo janja unaonekana unapenda sana ligi. Niliposoma haijalishi hata kama sijasoma.

naona umenisaidia kujibu. Iko hivi hiyo kodi unayolipa wewe kwenye hiyo 18% VAT huilipii moja kwa moja TRA. Unaponunua huduma au bidhaa huyo unayemlipa ndiye anayetakiwa aiwakilishe TRA si wewe. Kwa misingi hiyo japo wewe umelipa lakini TRA inamtambua yeye kama mlipa kodi na ana TIN namba na VAT namba. Wewe unaweza kulipa direct unapoagiza vitu toka nje au huduma nyingine ambazo zinakulazimu ulipe TRA moja kwa moja.

Unapolipa luku Tanesco ndo wanachukua hiyo VAT na kuiwakilisha TRA na ndiyo maana unaona wako katika orodha.

Mwishoni tumia lugha ya kistaarabu, hii ni JF na ina kanuni zake unless kama unataka kupigwa bani endelea na lugha ya kejeli na matusi. Hoja zinakaribishwa.
 
Basi SAMAHANI na wewee Superman jmn loh,nsamehe sana nmepitiwa maneno mwenzio,usije niripoti nkalamba ban,si yameisha eh?na nnavopenda kuchangia mada,
aya BACK TO THE TOPIC ,ina maana basi labda unazungumzia withholding payments ambazo hzo idara inazikusanya,keep in mind,withholding payment hapo iwe in form of PAYE,VAT,SERVICE CHARGE nk,wamelipa wananchi hizo taasisi ni agents tu wakukusanya,so bado haiingii akilini,ZINALIPA KODI IPI HADI ZIONGOZE?NARUDIA TOA SOURCE,Vinginevo debate inaendelea
 
Ifwatayo ni orodha ya walipa kodi wakubwa ikihusisha taasisi za serikali, wizara na mashirika ya serikali.

Je kama ni walipa kodi wakubwa ni nini maana yake?
Wana manunuzi mengi wanayolipia kodi?
Wana wafanyakazi wengi wanaowalipia PAYE?
Wanakusanya mapato makubwa na hivyo kulipa VAT?

Ni nini hasa maana yake? wataalamu wa kodi tusaienieni.

.....
Source: Verified source but undisclosed

Ni taasisi za serikali hazina hiari ya kukwepa kodi, kwani huwa inafyekwa moja kwa moja.
 
Basi SAMAHANI na wewee Superman jmn loh,nsamehe sana nmepitiwa maneno mwenzio,usije niripoti nkalamba ban,si yameisha eh?na nnavopenda kuchangia mada,
aya BACK TO THE TOPIC ,ina maana basi labda unazungumzia withholding payments ambazo hzo idara inazikusanya,keep in mind,withholding payment hapo iwe in form of PAYE,VAT,SERVICE CHARGE nk,wamelipa wananchi hizo taasisi ni agents tu wakukusanya,so bado haiingii akilini,ZINALIPA KODI IPI HADI ZIONGOZE?NARUDIA TOA SOURCE,Vinginevo debate inaendelea

IPO hivi ni wapelekaji wakubwa wa kodi tra.
 
IPO hivi ni wapelekaji wakubwa wa kodi tra.

bi Smile ni weyee mke mwenzaa,?nimekumisiii,ulipotea ghafla kule kwny thread 'yetu'
haya,kwny hyo mada basi aspecify ni kodi ipi na vogezo wanavotumia ku'rank,vngnevo mi bado sijaelewa,and kumbuka kwenye hyo list na TRA km imetajwa hivi,sijaangalia vzur
 
Last edited by a moderator:
TRA ipo namba 4 hapo,sasa mbona haieleweki TRA KUPELEKA KODI TRA??imekaaje hapo
 
Pia inawezekana wana manunuzi makubwa kwa ajili ya hiyo miundombinu na hivyo kulipia VAT?
PAYE sio kuwa inalipwa na kampuni hii inalipwa na mwajiliwa.
Manunuzi mengi haaa!!! hii nini sasa? kwani individual wanafanya nini?
Hapa tunaongelea Corporate Tax ambayo hukatwa Income Statement baada ya matumizi.
Usinichekeshe TRA ambao kazi yao ni kukusanya kodi Je wanalipa kodi wapi?
 
Ifwatayo ni orodha ya walipa kodi wakubwa ikihusisha taasisi za serikali, wizara na mashirika ya serikali.

Je kama ni walipa kodi wakubwa ni nini maana yake?
Wana manunuzi mengi wanayolipia kodi?
Wana wafanyakazi wengi wanaowalipia PAYE?
Wanakusanya mapato makubwa na hivyo kulipa VAT?

Ni nini hasa maana yake? wataalamu wa kodi tusaienieni.

The list:

1 Tanzania Telecommunications Company Ltd - Ttcl
2 Tanzania Electric Supply Company Ltd - (Tanesco Ltd)
3 Tanzania Port Authority - (Tanzania Harbours Authority)
4 Tanzania Revenue Authority
5 National Housing Corporation
6 Tanzania Zambia Railway Authority - (Tazara)
7 Tanzania Post Corporation
8 National Service
9 Bank Of Tanzania
10 Parastatal Pensions Fund - (Ppf)
11 National Social Security Fund - (Nssf)
12 Tanzania Postal Bank
13 Vocational Education Training Authority - Veta
14 Dar Es Salaam Water & Sewerage Authority - (Dawasa)
15 National Insurance Corporation Tanzania Ltd - Nic (T) Ltd
16 Tanzania Investment Bank Limited - (Tanzania Investment Bank)
17 Air Tanzania Company Ltd
18 Twiga Bancorp Ltd - (National Bureau De Change Limited)
19 Police Force
20 Wizara Ya Elimu Na Utamaduni
21 Permanent Secretary Ministry Of Finance
22 Ministry Of Defence And National Services
23 Dar Es Salaam Water & Sewerage Corporation - (Dawasco)
24 Tanzania Standard Newspapers Limited
25 National Printing Company Limited
26 University Of Dar-Es-Salaam
27 Dar Es Salaam City Council
28 Muhimbili National Hospital
29 Tazama Pipelines Limited
30 President's Office - Cabinet Secretariet
31 Tanzania National Parks Ltd - Tanapa
32 Ngorongoro Conservation Area Authority
33 Tanzania National Roads Agency - (Tanroads)
34 President's Office
35 Prison Service
36 The National Health Insurance Fund
37 Tanzania Petroleum Development Corporation - Tpdc
38 Ministry Of Natural Resources And Tourism
39 Local Authorities Pensions Fund - Lapf
40 Public Service Pension Fund - Pspf

Source: Verified source but undisclosed
Ujamaa na kujitegemea wa Nyerere
 
Ifwatayo ni orodha ya walipa kodi wakubwa ikihusisha taasisi za serikali, wizara na mashirika ya serikali.

Je kama ni walipa kodi wakubwa ni nini maana yake?
Wana manunuzi mengi wanayolipia kodi?
Wana wafanyakazi wengi wanaowalipia PAYE?
Wanakusanya mapato makubwa na hivyo kulipa VAT?

Ni nini hasa maana yake? wataalamu wa kodi tusaienieni.

The list:

4 Tanzania Revenue Authority
Aliyetengeneza hii list na vigezo vyake hana akili sawasawa. Kodi inatokana na mapato. Sasa TANROADS wana mapato gani ya kuwafanya walipe kodi serikalini? Ikulu?

Hebu angalia, TRA wanazalisha nini hadi wawe walipa kodi wakubwa? Jibu ni wazi, TRA ni tasisi ya serikali inayoongoza kwa mishahara mikubwa nchini - kwamba bill ya kila mwezi ya mishahara ya wafanyakazi inaweza kuwa bajeti ya Mkoa wa Mwanza ya miezi sita. Sasa kutoka hiyo bill ya mishahara ya wafanyakazi wa TRA, ukiondoa P.A.Y.E unawasema kwamba wao ndio walipa kodi wakubwa? Huo ni utaahira

Japo waalimu wa shule za msingi ni wengi kuliko wafanyakazi wa TRA, bill ya mishahara ya TRA ya mwezi mmoja inaweza kulipa mishahara ya waalimu wa shule za msingi ya miezi sita. Halafu wanawasifia TRA walipa kodi wakubwa?

Halafu wanamwalika Raisi kwenda kushabikia ujinga kama huu na yeye kusema tuzo zitakuwa za Raisi? Hawa viongozi wetu walienda shule zipi? Hawa ndio wana akili ya kupanga mipango ya maendeleo ya Taifa kweli, ikiwa vitu vidogo kama hivi wanafanya kama wamemaliza shule ya ngumbalu mwaka huu?
 
Asante japo source yako ni verified but the datas ni outdated!.
6 Tanzania Zambia Railway Authority - (Tazara)
7 Tanzania Post Corporation
10 Parastatal Pensions Fund - (Ppf) -imebadili jina sasa inaitwa PPF Pension Fund
11 National Social Security Fund - (Nssf)
14 Dar Es Salaam Water & Sewerage Authority - (Dawasa) sass inaitwa Dawasco
16 Tanzania Investment Bank Limited - (Tanzania Investment Bank) imebadilishwa jina
17 Air Tanzania Company Ltd-Loss making
22 Ministry Of Defence And National Services-hawalipi kodi haws ni durt free entity
23 Dar Es Salaam Water & Sewerage Corporation - (Dawasco)
25 National Printing Company Limited-died long ago!
29 Tazama Pipelines Limited-almost dead with Tipper
39 Local Authorities Pensions Fund - Lapf-imebadili nina sass inaitwa LAPF Pension Fund.

40 Public Service Pension Fund - Pspf-Imebadili jina sasa inaitwa PSPF Pension Fund.

Hizi data ni too outdated kabla some new players hawajaingia kama kina TCRA, EWURA, SUMATRA, TIRA, SSRA, NA TAASISI KIBAO ZA KISERIKALI AMBAZO NI BIG MONEY PLAYERS!.

Pasco.
Mkuu imeniuma Jina lako halijatoka kwa Mkeka ina maana huonekani!!?? 🤣
 
Back
Top Bottom