VAT nakubali,.but nna mashaka na reasoning yako kwani VAT 18% ni indirect tax na tunalipa watanzania na wageni wote nchi hii bila kukwepa,mana ipo tayari kwenye bei za vitu,haina ushindani sijui nani kalipa zaidi au kidogo ,utake usitake unalipa....mfano unaponinia luku lets say ya 20,000 inakuwa VAT INCLUSIVE,na makato mengine,na ipo hizo kwa watu wote,its a flat rate,haina kushindana
Nauliza tena UMESOMA WAPI WEWE???
Nakubaliana na exemptions mbalimabali kwenye VAT act,but keep in mind zina'favour watu wa aina zote,bila kujali ni serikali au la
LETA HOJA NYINGINE HAPA ,NAKUSUBIRI ,USITULISHE PUMBA
Ifwatayo ni orodha ya walipa kodi wakubwa ikihusisha taasisi za serikali, wizara na mashirika ya serikali.
Je kama ni walipa kodi wakubwa ni nini maana yake?
Wana manunuzi mengi wanayolipia kodi?
Wana wafanyakazi wengi wanaowalipia PAYE?
Wanakusanya mapato makubwa na hivyo kulipa VAT?
Ni nini hasa maana yake? wataalamu wa kodi tusaienieni.
.....
Source: Verified source but undisclosed
Ni taasisi za serikali hazina hiari ya kukwepa kodi, kwani huwa inafyekwa moja kwa moja.
Basi SAMAHANI na wewee Superman jmn loh,nsamehe sana nmepitiwa maneno mwenzio,usije niripoti nkalamba ban,si yameisha eh?na nnavopenda kuchangia mada,
aya BACK TO THE TOPIC ,ina maana basi labda unazungumzia withholding payments ambazo hzo idara inazikusanya,keep in mind,withholding payment hapo iwe in form of PAYE,VAT,SERVICE CHARGE nk,wamelipa wananchi hizo taasisi ni agents tu wakukusanya,so bado haiingii akilini,ZINALIPA KODI IPI HADI ZIONGOZE?NARUDIA TOA SOURCE,Vinginevo debate inaendelea
IPO hivi ni wapelekaji wakubwa wa kodi tra.
PAYE sio kuwa inalipwa na kampuni hii inalipwa na mwajiliwa.Pia inawezekana wana manunuzi makubwa kwa ajili ya hiyo miundombinu na hivyo kulipia VAT?
Vipi juu ya VAT kwa manunuzi yao? Import duty na exercise duty kwa imports zao?
Ujamaa na kujitegemea wa NyerereIfwatayo ni orodha ya walipa kodi wakubwa ikihusisha taasisi za serikali, wizara na mashirika ya serikali.
Je kama ni walipa kodi wakubwa ni nini maana yake?
Wana manunuzi mengi wanayolipia kodi?
Wana wafanyakazi wengi wanaowalipia PAYE?
Wanakusanya mapato makubwa na hivyo kulipa VAT?
Ni nini hasa maana yake? wataalamu wa kodi tusaienieni.
The list:
1 Tanzania Telecommunications Company Ltd - Ttcl
2 Tanzania Electric Supply Company Ltd - (Tanesco Ltd)
3 Tanzania Port Authority - (Tanzania Harbours Authority)
4 Tanzania Revenue Authority
5 National Housing Corporation
6 Tanzania Zambia Railway Authority - (Tazara)
7 Tanzania Post Corporation
8 National Service
9 Bank Of Tanzania
10 Parastatal Pensions Fund - (Ppf)
11 National Social Security Fund - (Nssf)
12 Tanzania Postal Bank
13 Vocational Education Training Authority - Veta
14 Dar Es Salaam Water & Sewerage Authority - (Dawasa)
15 National Insurance Corporation Tanzania Ltd - Nic (T) Ltd
16 Tanzania Investment Bank Limited - (Tanzania Investment Bank)
17 Air Tanzania Company Ltd
18 Twiga Bancorp Ltd - (National Bureau De Change Limited)
19 Police Force
20 Wizara Ya Elimu Na Utamaduni
21 Permanent Secretary Ministry Of Finance
22 Ministry Of Defence And National Services
23 Dar Es Salaam Water & Sewerage Corporation - (Dawasco)
24 Tanzania Standard Newspapers Limited
25 National Printing Company Limited
26 University Of Dar-Es-Salaam
27 Dar Es Salaam City Council
28 Muhimbili National Hospital
29 Tazama Pipelines Limited
30 President's Office - Cabinet Secretariet
31 Tanzania National Parks Ltd - Tanapa
32 Ngorongoro Conservation Area Authority
33 Tanzania National Roads Agency - (Tanroads)
34 President's Office
35 Prison Service
36 The National Health Insurance Fund
37 Tanzania Petroleum Development Corporation - Tpdc
38 Ministry Of Natural Resources And Tourism
39 Local Authorities Pensions Fund - Lapf
40 Public Service Pension Fund - Pspf
Source: Verified source but undisclosed
Aliyetengeneza hii list na vigezo vyake hana akili sawasawa. Kodi inatokana na mapato. Sasa TANROADS wana mapato gani ya kuwafanya walipe kodi serikalini? Ikulu?Ifwatayo ni orodha ya walipa kodi wakubwa ikihusisha taasisi za serikali, wizara na mashirika ya serikali.
Je kama ni walipa kodi wakubwa ni nini maana yake?
Wana manunuzi mengi wanayolipia kodi?
Wana wafanyakazi wengi wanaowalipia PAYE?
Wanakusanya mapato makubwa na hivyo kulipa VAT?
Ni nini hasa maana yake? wataalamu wa kodi tusaienieni.
The list:
4 Tanzania Revenue Authority
Swali fikirishi je Kuna malipo ya serikali ambayo hayana makato kama yapo basi hao ni mawakalaMkuu nilitegemea hicho hicho chanzo chako kingekuwa na hayo majibu
Mkuu imeniuma Jina lako halijatoka kwa Mkeka ina maana huonekani!!?? 🤣Asante japo source yako ni verified but the datas ni outdated!.
6 Tanzania Zambia Railway Authority - (Tazara)
7 Tanzania Post Corporation
10 Parastatal Pensions Fund - (Ppf) -imebadili jina sasa inaitwa PPF Pension Fund
11 National Social Security Fund - (Nssf)
14 Dar Es Salaam Water & Sewerage Authority - (Dawasa) sass inaitwa Dawasco
16 Tanzania Investment Bank Limited - (Tanzania Investment Bank) imebadilishwa jina
17 Air Tanzania Company Ltd-Loss making
22 Ministry Of Defence And National Services-hawalipi kodi haws ni durt free entity
23 Dar Es Salaam Water & Sewerage Corporation - (Dawasco)
25 National Printing Company Limited-died long ago!
29 Tazama Pipelines Limited-almost dead with Tipper
39 Local Authorities Pensions Fund - Lapf-imebadili nina sass inaitwa LAPF Pension Fund.
40 Public Service Pension Fund - Pspf-Imebadili jina sasa inaitwa PSPF Pension Fund.
Hizi data ni too outdated kabla some new players hawajaingia kama kina TCRA, EWURA, SUMATRA, TIRA, SSRA, NA TAASISI KIBAO ZA KISERIKALI AMBAZO NI BIG MONEY PLAYERS!.
Pasco.