Orodha ya wanasiasa ambao inasadikiwa watajiunga umoja party huko mbeleni watatujuza mengi na kubadili upepo wasiasa

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Nasikia watafunguka mengi. Na hawa ndio wataweka mambo hadharani
πŸ‘‡
1. Job Ndugai huyu atafunguka mengi maana inasadikika namna alivyog'olewa ni sababu alitaka kuleta kauzibe kwa wapiga madili.

2. Luhaga Mpina huyu atafunguka mengi sana huko mbeleni na hali ya hewa itachafuka.

3. Dk . Bashiru Ali Kakurwa atafunguka mambo mazito na mpaka CCM itapasuka. Ameyaweka moyoni tu.

4. Paragamanda Kabudi: atashusha nondo za kutosha kama anafundisha chuo.

5. Merdad Kalemani huyu ataweka hadharani ishu nyeti za nishati zilivyohujumiwa.

Orodha ni ndefu sana. Wengine watajiunga nyuma ya pazia.2025 hali ni ngumu sana kisiasa hapa nchini.
 
Sawa tu maana ni haki yao kikatiba
 
Chama hakitaki mabalozi?
 
Hakuna kitu kama hicho,kama wanataka kujimaliza mapema wasogelee uchuro huo.
Nao sio wajinga, Ndugai, Kabudi,wanakula pension,siasa za uwanahakati hawaziwezi kwa sasa.
 
Ha
wote hao wapumbavu tu
 
Thubutu,hawawezi kuiacha CCM mahali salama kwa majambazi wakati wenyewe ni majambazi unataka waokotwe kwenye viroba au wafilisiwe mali zao walizopora?.
 
Hao hata wakijiunga wakamsajili Lisu na Mbowe bado ni takataka tuu..

Hakuna mtu hata mmja hapo mwenye hata dalili za kuweza kumtunishia Misuli Rais Samia.
 
Samia akiondoka 2025 ataondoka na Zanzibar yake. Muwe makini
 
Halima Mdee na wenzake nao wamo ?
 
Kati ya hao sijamuona mwanasiasa makini zaidi ya opportunists
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…