Orodha ya wanasiasa ambao inasadikiwa watajiunga umoja party huko mbeleni watatujuza mengi na kubadili upepo wasiasa

Orodha ya wanasiasa ambao inasadikiwa watajiunga umoja party huko mbeleni watatujuza mengi na kubadili upepo wasiasa

Nasikia watafunguka mengi. Na hawa ndio wataweka mambo hadharani
👇
1. Job Ndugai huyu atafunguka mengi maana inasadikika namna alivyog'olewa ni sababu alitaka kuleta kauzibe kwa wapiga madili.

2. Luhaga Mpina huyu atafunguka mengi sana huko mbeleni na hali ya hewa itachafuka.

3. Dk . Bashiru Ali Kakurwa atafunguka mambo mazito na mpaka CCM itapasuka. Ameyaweka moyoni tu.

4. Paragamanda Kabudi: atashusha nondo za kutosha kama anafundisha chuo.

5. Merdad Kalemani huyu ataweka hadharani ishu nyeti za nishati zilivyohujumiwa.

Orodha ni ndefu sana. Wengine watajiunga nyuma ya pazia.2025 hali ni ngumu sana kisiasa hapa nchini.
Hawa wote ni waoga wa maisha kuliko mtu yeyote yule.
 
Nasikia watafunguka mengi. Na hawa ndio wataweka mambo hadharani
👇
1. Job Ndugai huyu atafunguka mengi maana inasadikika namna alivyog'olewa ni sababu alitaka kuleta kauzibe kwa wapiga madili.

2. Luhaga Mpina huyu atafunguka mengi sana huko mbeleni na hali ya hewa itachafuka.

3. Dk . Bashiru Ali Kakurwa atafunguka mambo mazito na mpaka CCM itapasuka. Ameyaweka moyoni tu.

4. Paragamanda Kabudi: atashusha nondo za kutosha kama anafundisha chuo.

5. Merdad Kalemani huyu ataweka hadharani ishu nyeti za nishati zilivyohujumiwa.

Orodha ni ndefu sana. Wengine watajiunga nyuma ya pazia.2025 hali ni ngumu sana kisiasa hapa nchini.
Hao wote ni deadwoods.
Hawana mvuto wala charisma juu ya kile wanachokiona wana kiamini.
Sioni wa kupambana hata na Nape hapo.

Wanaweza shindana na Masanja Mkandamizaji na wasishinde.
CCM iko imara.
 
Nasikia watafunguka mengi. Na hawa ndio wataweka mambo hadharani
👇
1. Job Ndugai huyu atafunguka mengi maana inasadikika namna alivyog'olewa ni sababu alitaka kuleta kauzibe kwa wapiga madili.

2. Luhaga Mpina huyu atafunguka mengi sana huko mbeleni na hali ya hewa itachafuka.

3. Dk . Bashiru Ali Kakurwa atafunguka mambo mazito na mpaka CCM itapasuka. Ameyaweka moyoni tu.

4. Paragamanda Kabudi: atashusha nondo za kutosha kama anafundisha chuo.

5. Merdad Kalemani huyu ataweka hadharani ishu nyeti za nishati zilivyohujumiwa.

Orodha ni ndefu sana. Wengine watajiunga nyuma ya pazia.2025 hali ni ngumu sana kisiasa hapa nchini.
Aliyekuwa nyuma na kinara wa umoja party ni chakubanga na ameshakatwa mkia hayupo tena kwenye active politics za nchi. Labda akaanzishe umoja party nyingine huko Lilongwe.
 
Kabudi sio rahisi.
Huyo sio mwanasiasa wakuu mwacheni
 
Wanasiasa wana tabia za Kima.....ya, ma.....ya. Kwa hiyo si ajabu kwa hayo kutokea.
 
Kabudi sio rahisi.
Huyo sio mwanasiasa wakuu mwacheni
Huyu mzee aliyeokotwa jalalani hawezi kutoka huku kwenye chama pendwa. Atakuwa anamsaliti mwenyekiti mwendazake aliyemwokota kwenye jalala pale UDSM
 
Nasikia watafunguka mengi. Na hawa ndio wataweka mambo hadharani
[emoji116]
1. Job Ndugai huyu atafunguka mengi maana inasadikika namna alivyog'olewa ni sababu alitaka kuleta kauzibe kwa wapiga madili.

2. Luhaga Mpina huyu atafunguka mengi sana huko mbeleni na hali ya hewa itachafuka.

3. Dk . Bashiru Ali Kakurwa atafunguka mambo mazito na mpaka CCM itapasuka. Ameyaweka moyoni tu.

4. Paragamanda Kabudi: atashusha nondo za kutosha kama anafundisha chuo.

5. Merdad Kalemani huyu ataweka hadharani ishu nyeti za nishati zilivyohujumiwa.

Orodha ni ndefu sana. Wengine watajiunga nyuma ya pazia.2025 hali ni ngumu sana kisiasa hapa nchini.
Mamako nae atajiunga? Kuna chochote anachojua?
 
Nasikia watafunguka mengi. Na hawa ndio wataweka mambo hadharani
👇
1. Job Ndugai huyu atafunguka mengi maana inasadikika namna alivyog'olewa ni sababu alitaka kuleta kauzibe kwa wapiga madili.

2. Luhaga Mpina huyu atafunguka mengi sana huko mbeleni na hali ya hewa itachafuka.

3. Dk . Bashiru Ali Kakurwa atafunguka mambo mazito na mpaka CCM itapasuka. Ameyaweka moyoni tu.

4. Paragamanda Kabudi: atashusha nondo za kutosha kama anafundisha chuo.

5. Merdad Kalemani huyu ataweka hadharani ishu nyeti za nishati zilivyohujumiwa.

Orodha ni ndefu sana. Wengine watajiunga nyuma ya pazia.2025 hali ni ngumu sana kisiasa hapa nchini.
Kama hao ndio wababe wa hilo tawi la ccm, (yaani umoja party) basi hiko chama kipya kitaangukia pua hata kabla hakijazinduliwa rasmi!
 
Bila ushauri huu kuzingatiwa ni ngumu Umoja Party kutoboa, nao ni Umoja Party kikiachana na tabia za upinzani wa sasa kitakuwa chama mbadala
 
Back
Top Bottom