Orodha ya Wasanii wa Afrika wenye mkwanja mrefu, huyu wetu anayemiliki nyumba 126 imekuaje?

Orodha ya Wasanii wa Afrika wenye mkwanja mrefu, huyu wetu anayemiliki nyumba 126 imekuaje?

Rayvany ana hela?? Hivi hela mnadhania MATAKO EEEH
Wikipedia.
20210512_012947.jpg
 
Kuna yule jamaa MANSU LI jamaa najuaga ana fremu za biashara kama 100 hivi.
🤣 🤣 🤣 uko sahihi, usimsahau AY. Ana kampuni ya matangazo, pia ndie aliekuwa anaendesha kipindi cha MKASI na Salama Jabir pale EATV. Kumbuka alilipwa mkwanja mrefu na tigo kwenye ile kesi yake. Ila uzuri wa jamaa hana kelele kabisa, yuko kimyaaaaa!
 
Hapo sijaelewa takwimu hizi zimetoka wapi
Uzuri utandawazi unatusaidia sana kujua ukweli
Ukisoma utajiri wa Koffi mwaka 2016 alikuwa na net worth $18 m
Na wakati huo alikuwa anashika nafasi ya nne Africa

Ana mijengo Kinshasa, Paris na Belgium
Sijui huwa wanahesabu vip? inabidi tufatilie mkuu
 
View attachment 1782089

Harmonize kasema hakuna msanii wa Tanzania alie mkubwa Afrika ila tunadanganyana tu, akabezwa.

List ya wasanii wanaomiliki mkwanja mrefu imetoka na msanii wetu tunaemuita mkubwa ametoka kapa hata kwenye 15 hayupo.

Hii ina maana vile vyanzo vya mapato vyote inavosemekana vyake havimuingizii faida, watu wanajinufaisha kupitia yeye halafu anatamba kwa sifa tu

Pole sana kwake na kwa nyie mnaomlamba miguu, dunia ya sasa ni vigumu sana kuongopa
List feki wapi kofi olomide
 
Sasa hizi 5.1usd millioni za Mond,si Sawa na Tsh billioni 11.7Tsh, sasa huu mpunga ni kidogo sana kwa kelele zinazopigwa na wasafi,sasa Kuna wabunge tu kwa mafao yao wanapata mpaka billioni 100
Sasa chief tunaongelea wabunge au wasanii ? Hakuna mbunge anayepata mafao billion 100 , may be akusanye mafao yake yote toka awamu ya Nyerere mpak ya Samia , na awe bungeni toka awamu ya Kwanza mpak ya sita , na hata akiwepo hapati hyo hela hata kama amehudumu Kwa level ya Wazir mkuu toka awamu ya Kwanza mpak ya sita
 
Sasa hizi 5.1usd millioni za Mond,si Sawa na Tsh billioni 11.7Tsh, sasa huu mpunga ni kidogo sana kwa kelele zinazopigwa na wasafi,sasa Kuna wabunge tu kwa mafao yao wanapata mpaka billioni 100
Diamond mavi tu mjini hapa. Hana hiyo pesa. Nakuhakikishia benk akiwa na hata mil 300 nahama nchi hii.
 
Back
Top Bottom