Kaka Sugu hamna kipaji pale.Da watoto WA sikuhizi mkashasikia mapiano akili zinahama kabisa sijui zinahamia makalioni?? Hivi kweli Sugu, kalapina, Mh Temba, Rich One na Jafarai hawana vipaji???
Sugu ambaye tukisema tu tuanzishe majadala wa mwanahiphop Bora wa muda wote huwezi kuacha kumtaja..
Sugu ni genius hebu kuweni na heshima basi
Sio utumbo unajua watu hamjui mziki tatizo ndio linaanzia hapo yaan watu km nyinyi mkienda Sauti za Busara au kule Tasuba lazima mrushe makopo jukwaaani, nishawaelewa first of all define what's music?Wote wa zamani. Yaani zamani ulikua ukiingia studio tu umetoka.
Mfano kuna mwamba aliimba:
"Ni namna gani, tuta win, maishani hadi siku tutasema buriani.."
Aliimba utumbo haujawahi tokea ila alitoka kwa zama zile.
Asante sana mkuuKuwa wa kitambo hakukufanyi uonekane ww ni bora mkuu .....sugu kinachombeba au kilichombebs ni harakat zake na vinega wenzie akina mapacha sjui na akna nani ila sio kam mkali au znajua hpna ukitak kuamini unawezz kaa kwenye radio mwez mzma zisipgwe nyimbo za sugu hzo za zamani hata moja ila ikapgwa ya prof jay, jide, mwana fa, sy, crazy gk nk
yaan mm mkuu napenda mzkik hata huo mzk uliokua unapgwa kpnd sjazaliwa mm mpka leo huwa naiyltafta na kuiskiliza ko huwez niambia kitu mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah we jamaa uko deep sanaSugu huwa ana midundo miwili, mmoja anausikia kwenye akili yake na mwingine anagongewa na producer, bahati mbaya yeye huwa ananata na ule anaosikia kwenye akili yake.
Hamna wasanii hapo bana.huyo bou nako ndio kabisaaIla we jamaa unachekesha Sana bou nako ana Ngoma yake moja inaitwa MBIO ZA VIJITI...
Siku ukifika Musoma mjini halafu useme Bou Nako Hana kipaji walahi nakuapia kichwa chako kitakatwa mchana kweupeeeeeeeeee wapewe zawadi sangara wa ziwa Victoria...
Huyo Dudubaya unayesema Hana kipaji huenda wewe ndo hujui nyimbo zake na balaa zilizofanya mwanzoni mwa miaka ya 2000...
Hivi ulibahatika kusikiliza hizi ngoma Kwanza..
1. Nakupenda mpenzi
2. Nimeondoka
3. Mashaka
4. Nakupenda tu
5. Manundu
Asante sana mkuuNa ile hayakua mapenzi,kiburi ni ngoma kali
Lakini twende mbele turudi nyuma sugu hana kipaji ila ni mwanaharakati mzuri wa hip hop
Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
Kumbe wewe unaangalia flow tu huangalii rhymes huangalii tungo huangalii messages ya mziki huangalii vina na mizani huangalii uandishi huangalii mpangilio wa mashairi hauangalii uandishiKaka Sugu hamna kipaji pale.
Flow mbovu
Mistari ya kawaida hata ww unaimba ile
Sugu ana ngoma tatu nazikubali sana lkn haina maana ana kipaji ,sugu ni mwanaharakati tu wa hip hop,hamnamo kipaji mule mbunge wangu yule
Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
Point ya msingi ni kuwa sugu hana kipajiWe jamaa Huna unalolijua kabisa [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
Hivi Ngoma ya kiburi imetoka lini?
Halafu unajua nini kuhusu anti-virus???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli CCM IMELIHARIBU SANA HILI TAIFA YAANI MTU ANABISHA KITU ASICHOKIJUA USIKU MWEMA!
Uko sahihi sana mkuu , japo watakuja kukupinga hapaWote wa zamani. Yaani zamani ulikua ukiingia studio tu umetoka.
Mfano kuna mwamba aliimba:
"Ni namna gani, tuta win, maishani hadi siku tutasema buriani.."
Aliimba utumbo haujawahi tokea ila alitoka kwa zama zile.
Wewe ni mwanachama wa upinde au?Umandika pumba tupu hapa
Ni mpumbavu peke yake ndo ataona dudu baya na bou nako ni wasaniiHamna wasanii hapo bana.huyo bou nako ndio kabisaa
Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi mkuuKaka Sugu hamna kipaji pale.
Flow mbovu
Mistari ya kawaida hata ww unaimba ile
Sugu ana ngoma tatu nazikubali sana lkn haina maana ana kipaji ,sugu ni mwanaharakati tu wa hip hop,hamnamo kipaji mule mbunge wangu yule
Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
Mziki ni zaidi ya hivyo nyinyi machoko mtasema hadi Mr. Ebo alikua hajui kuimba emu nendeni mkafokoane huko maana ndio mnachokijua siku hizi kuimbiana nyimbo za kishoga ndio zinazo hit stupid kabisaUmandika pumba tupu hapa
Nimekwambia wewe hujui mziki nenda kasomee mziki ndio uje humu kuongelea mzikiLabda nkuulize sugu ana uwezo gan kimuziki?
Nangalia vyote lakiniKumbe wewe unaangalia flow tu huangalii rhymes huangalii tungo huangalii messages ya mziki huangalii vina na mizani huangalii uandishi huangalii mpangilio wa mashairi hauangalii uandishi
Wewe Bora ume-admit kua ni shabiki Ila kwako unamuona wa kawaida, sasa ulitaka afanye nini umuone wa maana aimbe km YoungLunya au Dayoo ?Mimi ni shabiki wa Sugu lakini ni msanii wa kawaida sana
Oya tuliza hasira mwanetu,huu ni mjadala huru usitukaneMziki ni zaidi ya hivyo nyinyi machoko mtasema hadi Mr. Ebo alikua hajui kuimba emu nendeni mkafokoane huko maana ndio mnachokijua siku hizi kuimbiana nyimbo za kishoga ndio zinazo hit stupid kabisa