Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Da watoto WA sikuhizi mkashasikia mapiano akili zinahama kabisa sijui zinahamia makalioni?? Hivi kweli Sugu, kalapina, Mh Temba, Rich One na Jafarai hawana vipaji???

Sugu ambaye tukisema tu tuanzishe majadala wa mwanahiphop Bora wa muda wote huwezi kuacha kumtaja..
Sugu ni genius hebu kuweni na heshima basi
Kaka Sugu hamna kipaji pale.

Flow mbovu
Mistari ya kawaida hata ww unaimba ile

Sugu ana ngoma tatu nazikubali sana lkn haina maana ana kipaji ,sugu ni mwanaharakati tu wa hip hop,hamnamo kipaji mule mbunge wangu yule

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
 
Wote wa zamani. Yaani zamani ulikua ukiingia studio tu umetoka.

Mfano kuna mwamba aliimba:

"Ni namna gani, tuta win, maishani hadi siku tutasema buriani.."

Aliimba utumbo haujawahi tokea ila alitoka kwa zama zile.
Sio utumbo unajua watu hamjui mziki tatizo ndio linaanzia hapo yaan watu km nyinyi mkienda Sauti za Busara au kule Tasuba lazima mrushe makopo jukwaaani, nishawaelewa first of all define what's music?
 
Kuwa wa kitambo hakukufanyi uonekane ww ni bora mkuu .....sugu kinachombeba au kilichombebs ni harakat zake na vinega wenzie akina mapacha sjui na akna nani ila sio kam mkali au znajua hpna ukitak kuamini unawezz kaa kwenye radio mwez mzma zisipgwe nyimbo za sugu hzo za zamani hata moja ila ikapgwa ya prof jay, jide, mwana fa, sy, crazy gk nk
yaan mm mkuu napenda mzkik hata huo mzk uliokua unapgwa kpnd sjazaliwa mm mpka leo huwa naiyltafta na kuiskiliza ko huwez niambia kitu mkuu
Asante sana mkuu
 
Sugu huwa ana midundo miwili, mmoja anausikia kwenye akili yake na mwingine anagongewa na producer, bahati mbaya yeye huwa ananata na ule anaosikia kwenye akili yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah we jamaa uko deep sana

Kwamba jamaa mara zote yuko off bit
 
Ila we jamaa unachekesha Sana bou nako ana Ngoma yake moja inaitwa MBIO ZA VIJITI...
Siku ukifika Musoma mjini halafu useme Bou Nako Hana kipaji walahi nakuapia kichwa chako kitakatwa mchana kweupeeeeeeeeee wapewe zawadi sangara wa ziwa Victoria...

Huyo Dudubaya unayesema Hana kipaji huenda wewe ndo hujui nyimbo zake na balaa zilizofanya mwanzoni mwa miaka ya 2000...

Hivi ulibahatika kusikiliza hizi ngoma Kwanza..
1. Nakupenda mpenzi
2. Nimeondoka
3. Mashaka
4. Nakupenda tu
5. Manundu
Hamna wasanii hapo bana.huyo bou nako ndio kabisaa

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
 
Kaka Sugu hamna kipaji pale.

Flow mbovu
Mistari ya kawaida hata ww unaimba ile

Sugu ana ngoma tatu nazikubali sana lkn haina maana ana kipaji ,sugu ni mwanaharakati tu wa hip hop,hamnamo kipaji mule mbunge wangu yule

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
Kumbe wewe unaangalia flow tu huangalii rhymes huangalii tungo huangalii messages ya mziki huangalii vina na mizani huangalii uandishi huangalii mpangilio wa mashairi hauangalii uandishi
 
We jamaa Huna unalolijua kabisa [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]

Hivi Ngoma ya kiburi imetoka lini?
Halafu unajua nini kuhusu anti-virus???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli CCM IMELIHARIBU SANA HILI TAIFA YAANI MTU ANABISHA KITU ASICHOKIJUA USIKU MWEMA!
Point ya msingi ni kuwa sugu hana kipaji
 
Kenya yupo yule ameimba kigeugeu anaitwa jagwa .
Yule naye hamna kitu, ila ana ngoma mbili amabazo nazikubali sana

Kioo
Navuka border ft AY

Kwangu hizi ndo ngoma bora kutoka kwa jagwa
 
Wote wa zamani. Yaani zamani ulikua ukiingia studio tu umetoka.

Mfano kuna mwamba aliimba:

"Ni namna gani, tuta win, maishani hadi siku tutasema buriani.."

Aliimba utumbo haujawahi tokea ila alitoka kwa zama zile.
Uko sahihi sana mkuu , japo watakuja kukupinga hapa
Zamani ilikua ukipeleka ngoma redioni basi umetoka
 
Kumbe wewe unaangalia flow tu huangalii rhymes huangalii tungo huangalii messages ya mziki huangalii vina na mizani huangalii uandishi huangalii mpangilio wa mashairi hauangalii uandishi
Umandika pumba tupu hapa
 
Kaka Sugu hamna kipaji pale.

Flow mbovu
Mistari ya kawaida hata ww unaimba ile

Sugu ana ngoma tatu nazikubali sana lkn haina maana ana kipaji ,sugu ni mwanaharakati tu wa hip hop,hamnamo kipaji mule mbunge wangu yule

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi mkuu
 
Nyinyi kipaji mnazungumzia kipaji kipi majaji wa BSS kipaji kipi mnazungumzia sauti, utunzi, uandishi, uimbaji, mpangilio wa mashairi au kipaji kipi mnakizungu ?
Labda nkuulize sugu ana uwezo gan kimuziki?
 
Kumbe wewe unaangalia flow tu huangalii rhymes huangalii tungo huangalii messages ya mziki huangalii vina na mizani huangalii uandishi huangalii mpangilio wa mashairi hauangalii uandishi
Nangalia vyote lakini
Flow ,ujumbe na tungo ndio vinamfanya msanii tuseme anakipaji.

Kwa sugu unapata ujumbe tu kama kwa mrisho mpoto.
Mimi ni shabiki wa Sugu lakini ni msanii wa kawaida sana

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
 
Mziki ni zaidi ya hivyo nyinyi machoko mtasema hadi Mr. Ebo alikua hajui kuimba emu nendeni mkafokoane huko maana ndio mnachokijua siku hizi kuimbiana nyimbo za kishoga ndio zinazo hit stupid kabisa
Oya tuliza hasira mwanetu,huu ni mjadala huru usitukane

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom