Acha makasiriko , umekosa point unaanza kutukana , njoo na hoja zenye mashiko ..fala wwMziki ni zaidi ya hivyo nyinyi machoko mtasema hadi Mr. Ebo alikua hajui kuimba emu nendeni mkafokoane huko maana ndio mnachokijua siku hizi kuimbiana nyimbo za kishoga ndio zinazo hit stupid kabisa
Ashapanic , anaonyesha jinsi alivyotawaliwa na hisia kuliko uhalisiaOya tuliza hasira mwanetu,huu ni mjadala huru usitukane
Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
Wewe choko usijifananishe kesho mtasema Mr. Ebo marehemu alikua hajui kuimba mnataka mpigiwe nyimbo zenu za kishogashoga na kutangaza ushoga ndio mnaona nyimboAcha makasiriko , umekosa point unaanza kutukana , njoo na hoja zenye mashiko ..fala ww
Anazingua huyuWewe Mwenye kipaji chako mbona hatukujui Mwanetu na nyimbo zako Kali kali.
Walianza na Wakazi huko Twitter Sasa wamekuja na list ndefu ndio namwambia mwisho atasema Mr. Ebo marehemu alikua hajui kuimba na alikua hana kipaji,Wewe Mwenye kipaji chako mbona hatukujui Mwanetu na nyimbo zako Kali kali.
Nimeshangaa wanamtaja mpka Kali PWalianza na Wakazi huko Twitter Sasa wamekuja na list ndefu ndio namwambia mwisho atasema Mr. Ebo marehemu alikua hajui kuimba na alikua hana kipaji,
Hawa MADOGO wakishapigiwa nyimbo zao za kishoga shoga basi ndio wanaanza kupaka kinyesi watu walioimba enzi hizo, muulize anamjua marehemu John Woka nae atakwambia hana kipaji hajui kuimba
Kwa hiyo mtu akiimba niko bize ni ujinga hii kali ndo nasikia kwako hivi unajua maana ya sanaaUjinga wa Niko bize ndio unakuja kumfananisha na nyimbo za sasa
Kuna ile inaitwa sijui Nasergia effect ndio unawasumbua
Sasa mwana fa anamfikia sugu ebu acha kuongea pumba, kwa unavyoongea ni wazi mambo mengi umehadithiwaKipindi sugu anasikika redioni alikua ndo msanii pekee hvyo ilikua ni laIma askike coz hapakua na mpinzani , ndo maana aliishia kutamba 2000 baada ya vipaji halisi kuibuka , kina prof jay, ngwair, jay moe, FA na wengine kibao
Ukitaka kujua sugu hakua na takent ,tangu walianza kina prof jay sugu hakusikika tena , mpaka akaanza kulalamika kuwa anabaniwa ikafika kipindi wakaunda kundi la Ant virus na labda nkukumbushe tuu wasanii wote aliounda nao Ant virus hawana vipaji vya muziki
Imba na wewe kama ni rahisi hivyoKaka Sugu hamna kipaji pale.
Flow mbovu
Mistari ya kawaida hata ww unaimba ile
Sugu ana ngoma tatu nazikubali sana lkn haina maana ana kipaji ,sugu ni mwanaharakati tu wa hip hop,hamnamo kipaji mule mbunge wangu yule
Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
Hii point umedhihirisha hujui maana ya mziki ni ninUmandika pumba tupu hapa
SuguHivi unameanzia 1990 mpaka sasa 2023 au ume-catogorize tofauti, unamjua msanii wa kwanza kutoa nyimbo ya bongo fleva radioni kipindi hicho nyimbo hizo zinapigwa Vita vibaya na kuonekana ni uhuni?
Yeah, na na mwingine 20% ni ngumu kwake kutengeneza hit song haswa kwa kipindi hiki cha wapenda amapianoUkisema habar ya Hitsong hata Juma Nature hawezi fanya hivyo, huna hoja mzee unapotezea watu muda.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app