Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Mziki ni zaidi ya hivyo nyinyi machoko mtasema hadi Mr. Ebo alikua hajui kuimba emu nendeni mkafokoane huko maana ndio mnachokijua siku hizi kuimbiana nyimbo za kishoga ndio zinazo hit stupid kabisa
Acha makasiriko , umekosa point unaanza kutukana , njoo na hoja zenye mashiko ..fala ww
 
Acha makasiriko , umekosa point unaanza kutukana , njoo na hoja zenye mashiko ..fala ww
Wewe choko usijifananishe kesho mtasema Mr. Ebo marehemu alikua hajui kuimba mnataka mpigiwe nyimbo zenu za kishogashoga na kutangaza ushoga ndio mnaona nyimbo
 
Kipindi sugu anasikika redioni alikua ndo msanii pekee hvyo ilikua ni laIma askike coz hapakua na mpinzani , ndo maana aliishia kutamba 2000 baada ya vipaji halisi kuibuka , kina prof jay, ngwair, jay moe, FA na wengine kibao
Ukitaka kujua sugu hakua na takent ,tangu walianza kina prof jay sugu hakusikika tena , mpaka akaanza kulalamika kuwa anabaniwa ikafika kipindi wakaunda kundi la Ant virus na labda nkukumbushe tuu wasanii wote aliounda nao Ant virus hawana vipaji vya muziki
Sasa mwana fa anamfikia sugu ebu acha kuongea pumba, kwa unavyoongea ni wazi mambo mengi umehadithiwa

Mfano mtu akisiliza nyimbo za michael jackson leo atakuambia ni za kawaida na hana kipaji, lakin mtafute mtu aliyekua anajitambua miaka ya 80's na 90's atakuambia michael jackson ni moto wa kuotea mbali ila mtoto wa 2000's atakuambia hana kipaji
 
Uzi unafikirisha sana, waliotajwa wengine wana vipaji halisi kabisa ila muda umekua siyo sahihi kwao
 
Wewe choko usijifananishe kesho mtasema Mr. Ebo marehemu alikua hajui kuimba mnataka mpigiwe nyimbo zenu za kishogashoga na kutangaza ushoga ndio mnaona nyimbo
We nshakuona huna akili .....
 
Walianza na Wakazi huko Twitter Sasa wamekuja na list ndefu ndio namwambia mwisho atasema Mr. Ebo marehemu alikua hajui kuimba na alikua hana kipaji,
Mkuu nshakuona ulivyo mweupe kichwani ....
 
Back
Top Bottom