Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Hebu mtu mmoja aniwekee song la ice ice baby la saleh jabir. Nina swali hapa, hivi saleh jabir wa ruka kama ninja tua kama ndege ndio huyu presenter wa efm radio leo? Na je ana undugu na salama jabir?

Nilikuwa mdogo kipindi saleh jabir anaintroduce swahili rap na ngoma yake ya ice ice baby.
 

Kalapina (YES)
Dudu Baya (YES)
Richie One (YES)
KR Mullah (YES)
Bou Nako (YES)
Maujanja (YES)

Mchizi Mox (Muombe Msamaha)
Jaffarai (Muombe Msamaha)
Mh. Temba (Muombe Msamaha)
Sugu (Muombe Msamaha)

Mike Tee (Nenda palee upigwe makonzi manne, kisha muombe msamaha)
Soggy Doggy (Nenda paleee upigwe makonzi 9, kisha umuombe msamaha)
 
Kipindi hicho na wewe ulikuepo mkuu?
 
Mkuu haijalishi mtu ame hustle muda gani kutoka kimuziki , mimi hapa naongelea pure talent ndo nakwambia kwa wenye sikio la music MH temba hana kipaji
 
Kuna wasanii hapo siwakubali kwa personal interest ila siwezi kusema hawana vipaji.

Mtu kama KR ni vile tu jamaa kama hana bahati, ila mtu ambaye ana flava zake nzuri tu.

Enzi za 1. Kipe kitu 2. Mzee mwenye nyumba 3. Mguu nje mguu ndani n.k. waaay back akiwa GWM.
 
Mike T,Sugu,Jafarai, umefeli pakubwa.

Wasanaii wa siku hizi ndio bure kabisa zamani kupenya redioni mpaka kwenye kaseti sio mchezo kwa Dudubaya ni sawa jamaa hana upeo kabisa wa mziki.
Hao wote uliowataja waambie watoe hit song kwa kipindi hiki kudhihirisha ukali wao ..hao wote hawana uwezo
 
Huyo ni mtoto wa juzi anafikiri mazingira ya wakati ya miaka 90's ni sawa na leo ni tatizo kubwa la vijana wa social media ndo maana nikaamuliza kazaliwa lini isije ikawa unabishana na mtu ambaye kazaliwa 2000's ndo maana anaongea pumba
Nimezaliwa 1994/, nimeanza kuskiliza bongo fleva 1999 so nna experience kubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…