Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusema joh wa nawavua sio talented. Show za joh, zamu yangu na nikumbatie dahOngeza na jamaa mmoja anaitwa Wakazi. Huyu nimekuja kujua kwamba ni msanii baada ya kuingia Twitter. Pamoja na hvho bado sijua wimbi wake hata mmoja.
Halaf kuna weusi. Hao jamaa huwa wanaimba vitu ili mradi tu wapate vina lkn aaid ya hapo hakuna kitu
Mh temba hauna uwezo wowote kimuziki ...aliotea zamani enz zile wasanii ni wachacheMh. Temba unamdhalilisha, kizazi cha sasa hamjui lolote.
Mh. Temba ni shida nyingine, sema ni muda tu na vionjo wakati wake umepita.
Acha ujinga dogo, mwache Temba
Niaje nivipi, chochote popoteOngeza na jamaa mmoja anaitwa Wakazi. Huyu nimekuja kujua kwamba ni msanii baada ya kuingia Twitter. Pamoja na hvho bado sijua wimbi wake hata mmoja.
Halaf kuna weusi. Hao jamaa huwa wanaimba vitu ili mradi tu wapate vina lkn aaid ya hapo hakuna kitu
Nije na hoja vipi wakati wewe mwenyewe huna hoja?Njoo na hoja mkuu
Mkuu hao nliowataja wote hawana uwezo kimuzikiNije na hoja vipi wakati wewe mwenyewe huna hoja?
Umeulizwa kipaji ni nini? Umeshindwa kujibu, unaishia kuwajudge wasanii kwa hitsong...
Kwako kama msanii hajatoa hitsong mfululizo et hana kipaji.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Ukisema habar ya Hitsong hata Juma Nature hawezi fanya hivyo, huna hoja mzee unapotezea watu muda.Mh temba hauna uwezo wowote kimuziki ...aliotea zamani enz zile wasanii ni wachache
Kama ni msanii mkali atengeneze hit song sahv kama mwenzie chege
Mapacha ft rama dee mpaka tuzo za kili walibebaHata kwa mapacha umefeli pakubwa jamaa wanajua sana tu..
Wana flows kali plus uandishi mzuri.
Tajiri unakaza fuvu tuu , vitu vyepesi kama hivi havihitaji kutumia nguvu kubwa kivielewaUkisema habar ya Hitsong hata Juma Nature hawezi fanya hivyo, huna hoja mzee unapotezea watu muda.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app