Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Kwani nani alikuambia duniani in makazi ya kudumu? Sisi wote tunapita sasa tujenge ili iweje?
 
Kwani ukijenga huwezi kuwa na mahusiano mazuri na Mungu? T
 
Mimi nilinunua kiwanja mwaka 2014 nikiwa na miaka 24 hapa Dar es salaam, hapa kitaa ndio nakaeneo kakubwa saizi kumejengeka majirani wanakazi yakutaka kuiba hataua mimi pia nipo nishajenga since 2016 nikiwa na umri wa 26 yrs, nikiwaona vijana wa miaka 24 hadi 28 naogopa sana,,,
 
Unadhani kabla ya kuwa VP alikuwa machinga?nyumba za serikali kazi yake nini?
Daktari wa mifugo kabla ya kuwa VP alikuwa Waziri Kiongozi 1988-1995, kabla ya hapo alikuwa Karibu Mkuu Wizara ya Kilimo.
Mpaka anaondoka duniani alikuwa anamiliki nyumba maeneo ya Mpendae opposite na kwasasa ofisi ya BARAZA LA MANISPAA MAGHARIBI B.
 
Daktari wa mifugo kabla ya kuwa VP alikuwa Waziri Kiongozi 1988-1995, kabla ya hapo alikuwa Karibu Mkuu Wizara ya Kilimo.
Mpaka anaondoka duniani alikuwa anamiliki nyumba maeneo ya Mpendae opposite na kwasasa ofisi ya BARAZA LA MANISPAA MAGHARIBI B.
Amekula nchi kutojenga dar uzembe wake
 
Hongera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…