moyo wa bilionea
JF-Expert Member
- Jun 17, 2022
- 327
- 649
Boma Ye hivi kweli ana nyumba Mbweni?Ipo Swaken kinyerezi na nyingine Mbweni chumba kimoja na sebule! Downtown ni kwenda kupiga picha kwenye appartment za watu i'm humbled you know!
basi amejitahidi maana kwa bata zile anazokula! nishaona akielezea ana mjengo Mbweni nikajua ni fix tu kwasababu yule ni mtu wa 'kamba kamba' yule. unajua hata kiwanja cha Kinyerezi wanasema alipewa na wakwe ndio maana inakuwa tabu kuhamia.Eheee amejenga Hidden servant kota ,chumba kimoja na sebule.
Kenge wa Mahenge wewe !! Kila mtu akijenga nani atapanga ?!1. Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la erikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
4. Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au, anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo. Alipostaafu aliigomea Serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM.
Akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua Sokoine if at all they try to vacate him, wakampotezea.
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofali ngapi
7.
Itaendelea
Wewe unafurahi kukaa kwa mwanaume boya weweKenge wa Mahenge wewe !! Kila mtu akijenga nani atapanga ?!
Hawa ndiyo wanaosema gari sio muhimu lakini kutwa utawakuta barabarani wanasubiri lifti za wenye magari binafsi wagongee au anaamka saa 11 ili awahi daladala ,sasa kama gari siyo muhimu si watembee kwa miguu.Ila unaishi kwenye nyumba walizojenga wenzio? Kama nyumba siyo mhimu, si uishi porini? Duniani si unapita tu?
Hapo chachaHawa ndiyo wanaosema gari sio muhimu lakini kutwa utawakuta barabarani wanasubiri lifti za wenye magari binafsi wagongee au anaamka saa 11 ili awahi daladala ,sasa kama gari siyo muhimu si watembee kwa miguu.
au kama nyumba siyo muhimu si wakaishi Porini kama wanyama wasipange kwenye nyumba za watu wengine.
Hapo chacha
No.6😅😅😅😅😅😅😅😅😅1. Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la erikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3.Brigedia Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
Aliwahi kuwa brigedia jeshini,Naibu Waziri ulinzi,Mkuu wa wilaya Bagamoyo,mkuu w mkoa Singida,mhamasishaji wa CCM,Katibu mwenezi CCM,naibu katibu mkuu CCM Nk
4. Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au, anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo. Alipostaafu aliigomea Serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM.
Akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua Sokoine if at all they try to vacate him, wakampotezea.
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofali ngapi
7.
Itaendelea
Ahaaa umeongea point mkuuHuwa wanazingua sana na wanaboa kinoma! Hawataki kukubali kwamba hawana hela ya kununua gari au kujenga ila wanajificha kwenye gari siyo muhimu as if anatembea kwa mguuu akienda kwenye shughuli/kazini kwake au analala nje barabarani au porini kama nyumba siyo muhimu.
Hakuna mtu anayetaka shida hata mmoja sema ndiyo hivyo tu usawa unakaba ,haya mambo ya kusema sijui Elon musk hana nyumba ni udwanzi tu ,sasa kama mtu amenunua Twitter na baadhi ya mali zake zote including baadhi ya majengo yake napo utasema hana nyumba? Wanataka kusema biashara zake zote anazifanyia kwenye majengo ya kupanga?
Humu siku hizi watoto ni wengi sana wasikusumbue akili pia watu wenye stress.Ila kujenga kuna faida zaidi ya kutojenga, nashindwa kuelewa kwa nn wanachagua kutojenga.
Kuna msemo waswahili wanasema "bora ulale njaa kwako"
Pole aisee! Wapi hiyo?Ni kero kiujumla kwa jamii,usiku ni muda wa kupata utulivu lkn wenzio wamewasha maspika wanacheza na kupiga mayowe[emoji23]
DuuMzee Chilo hana nyumba kuna kipindi alikuwa analala sebuleni kwa shemeji yake. JB vipi.
Povu bin povuka😀😀Mama ako ameshajenga?
Akili kubwa za kuutafuta utajiri pasipo kujali wengineo. Siyo mbaya kutafuta, tatizo ni pale unapotumia nguvu kubwa na kuathiri wengi wakati utaviacha na hujui utakao waachia watavitumiajeHapo kwa Makamu wa Rais pana utata kidogo.
Kwa taarifa yako Dr ni mmiliki wa kiwanda cha Kagera Sugar (Majority shareholder)
Huku Nkapa akijimilikisha Mtibwa Sugar kupitia mipango yao haramu ya ubinafishishaji.
Sasa kumiliki kiwanda au kujenga nyumba lipi kubwa ?.
Kumbuka hivi viwanda vipo hadi kesho familia zao zinajichotea mihela bwerere.
Mifumo ya maisha ya hao watu wa huko ni tofauti sana na sisi wa huku. Wao wanawaza kujiendeleza kielimu zaidi wakati sisi tunatazama future kwa namna tofauti na wao. Sisi tuna fursa ya kujenga kirahisi zaidi kuliko wao. Na mambo mengine kama hayoSiyo lazima kila mtu ajenge nyumba. Wengine watabaki wapangaji maisha yao yote
Hivi miji kama Tokyo, new York watu wanawaza kujenga kweli?
Ndio maana mpaka kesho namheshimu sana Mwl Nyerere.Akili kubwa za kuutafuta utajiri pasipo kujali wengineo. Siyo mbaya kutafuta, tatizo ni pale unapotumia nguvu kubwa na kuathiri wengi wakati utaviacha na hujui utakao waachia watavitumiaje
Imagine[emoji848]Huwa wanazingua sana na wanaboa kinoma! Hawataki kukubali kwamba hawana hela ya kununua gari au kujenga ila wanajificha kwenye gari siyo muhimu as if anatembea kwa mguuu akienda kwenye shughuli/kazini kwake au analala nje barabarani au porini kama nyumba siyo muhimu.
Hakuna mtu anayetaka shida hata mmoja sema ndiyo hivyo tu usawa unakaba ,haya mambo ya kusema sijui Elon musk hana nyumba ni udwanzi tu ,sasa kama mtu amenunua Twitter na baadhi ya mali zake zote including baadhi ya majengo yake napo utasema hana nyumba? Wanataka kusema biashara zake zote anazifanyia kwenye majengo ya kupanga?