Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Ss si kila mtu na life lake ww una nyumba mbili na unakomaa na hela ya kula but mm napanga ila hela ya kula maisha hainipigi chenga nna ndinga safi bora nani na ukifa watu watazirith izo nyumba zako kufanyia hayo uliyoyaelezea hapo bora nn ss
Hahaahaaaaa, yaani mwanaume mzima unasema na kujivunia mbele ya wanaume wenzio kuwa una pesa ya kula na gari. Very funny, inawezekana Bado u mdogo na ndio unaanza maisha. Pole, nashauri tu bro jitahidi ufanye uwekezaji ili usiseme Tena mbele za watu kuwa una hela ya kula na kununua gari. Ni aibu kwani wengine tulishatoka huko na sasa tuna permanent assets na investment ambazo hata tukilala mauti Leo najua akina Manka wataziendeleza na kuishi.
 
Kiukweli ni aibu sana unafikisha umri wa 30+ una kipato friji, kabati la vyombo, na madumu ya maji yapo sebuleni,. Viatu na nguo chafu bado unakaa navyo chumba cha kulala

Sema ni mungu tu tunapenda kujenga tatizo hesabu
Si kila anaeishi nyumba ya kupanga anaishi nyumba ya hovyo.
 
Hahaahaaaaa, yaani mwanaume mzima unasema na kujivunia mbele ya wanaume wenzio kuwa una pesa ya kula na gari. Very funny, inawezekana Bado u mdogo na ndio unaanza maisha. Pole, nashauri tu bro jitahidi ufanye uwekezaji ili usiseme Tena mbele za watu kuwa una hela ya kula na kununua gari. Ni aibu kwani wengine tulishatoka huko na sasa tuna permanent assets na investment ambazo hata tukilala mauti Leo najua akina Manka wataziendeleza na kuishi.
Huo ndo umaskin wa kiafrika kukariri kujenga mbona wahindi wanapanga ila business zake zko fresh ishu sio kuwa na asset tu n nyumba kuna vitu vingi tu sema hujaishi nchi tofaut tofaut
 
Huo ndo umaskin wa kiafrika kukariri kujenga mbona wahindi wanapanga ila business zake zko fresh ishu sio kuwa na asset tu n nyumba kuna vitu vingi tu sema hujaishi nchi tofaut tofaut
Wahindi wana discipline sana ya maisha tofauti na sisi weusi,sisi huku usipowaachia mji watoto mwaka mmoja tu wanakuwa chokoraa
 
Mkuu umeandika kama utani ila nimekumbuka siku moja tulienda kwenye msiba wa muumini mwenzetu mmoja...wakati tunarudi akina mama nilioongozana nao wakawa wanasema ila mwenzetu ana raha, amejengewa nyumba ya kuishi na zingine anapangisha hata uchungu hauwi mkubwa sana... nilishangaa kwa kweli

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ulishangaa nini sasa... Kuna watu wakifa mnafurahia maisha yao na waliyoyaacha....

Wengine mkifa kama nyie watu wanalia kwa mizigo mliyowaachia..

😂😅😅😏😏😏
Jipangeni mapema..
 
Upuuzi mtupu huu. Ukijenga nyumba au jumba siku ukifa unazikwa nalo kaburini???

Ndugu yangu, jitahidi sana ujenge mahusiano yako wewe na MUNGU kabla ya kufa. Hilo ni muhimu sana kujenga na siyo nyumba. Jenga roho yako iwe njema, weka hazina yako Mbinguni maana ilipo hazina yako, ndipo na roho yako itakapokuwa.
 
1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali


2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.


3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?


4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea


5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk

6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi

7.

Itaendelea
Kuna watu wamezaliwa kijijini, Kujenga nyumba ni kukitafuta kifo chako.

Msipende sana kuhukumu.
 
1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali


2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.


3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?


4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea


5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk

6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi

7.

Itaendelea
Kwa hiyo Omar Juma kabla ya kupata u VP alikua anaishi wapi?
 
Back
Top Bottom