Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Watu hawafanyii misiba kwao kwasababu ya vijicho na husda. Watu washapoteza kazi kisa watu wemeona mijengo yao na kupeleka majungu makazini.
Misiba inapelekwa kwa ndugu buguruni huko mpate cha kusema.
Rrondo uliloongea ni bonge la neno yaani. Sijui Wabongo tutabadilika lini? Tunarudishana nyuma na kufanyiana husda sisi kwa sisi. Hii inaonesha fika 98% ya Watanzania wote ni masikini na wamekulia kwenye umasikini na shida(makadirio).

Tabia za majungu mara nyingi ni za masikini na vijana waliokulia kwenye njaa.(mtazamo)
 
Chilo ja jb wapo tbt wamepanga. JB Mungu masaidie, mke wake kibopa sana
Mzee chilo ana nyumba Mbezi ila sijui nini kinamfanya apange,zamani alikuwa amepanga pale maeneo ya Sinza palestina na nyumba anayo tu kitambo,nyumba aliyokuwa amepanga pale mitaa ya Palestina pia kulikuwa na Zembwela na yeye alikuwa ana nyumba Mbezi ila na yeye kapanga nyumba moja na mzee Chillo sikuwahi kuwauliza kw undani kwanini waliamua maamuzi yale..
 
1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali


2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.


3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?


4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea


5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk

6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi

7.

Itaendelea
Ha ha ha ha ha hiyo namba 6 unavisa nae umesema waliokufa km sikosei sasa ghafla kwa namba 6
 
Mimi nilinunua kiwanja mwaka 2014 nikiwa na miaka 24 hapa Dar es salaam, hapa kitaa ndio nakaeneo kakubwa saizi kumejengeka majirani wanakazi yakutaka kuiba hataua mimi pia nipo nishajenga since 2016 nikiwa na umri wa 26 yrs, nikiwaona vijana wa miaka 24 hadi 28 naogopa sana,,,
Unaogopa nn mkuu hao vijana wa miaka iyo n wezi nn
 
Bar siyo Mali ya mama yake na Ray Bali upande wa nyuma wa geti la de France mama Ray ana nyumba pale.Pia ndipo anapoishi Ray na chuchu Hance Kwa sasa takribani mwaka wa tano wa sasa.

Kuhusu kujenga wengi wanaongea ili kufurahisha genge muda uzidi kwenda siku za kuishi zipungue.Ray alikuwa na mjengo kibaha kwa Mathias ulioishia kwenye kupaua miaka hiyoo ila Kwa sasa sijui Nini kinaendelea.

Jiulize msanii kama El Sadat nyosh peak yake kwenye game inaisha na Bado anaendelea kuwa mteja mzuri Kwa wamiliki wa nyumba sinza mitaa ya white inn.Waoohh ni jambo la kufurahisha kwa upande mmoja ila kama msanii mwenye alama kubwa nchini hastahili kuishi kuishi maisha hayo .Pamoja na kuwa na nyumba huko chanika isiyoisha mpaka leo hata kwenye lenta bado.ila kwenye watoto kafyetua watoto wasiohesabika.

Jay more mpaka leo yupo kwao hapa sinza tunaishi naye kibishi.Uzuri jamaa msela Hana mbwembwe mtaani kama kwenye media.
Mkuu hadi sasa nyoshi sadaat anaishi white inn??[emoji15][emoji15][emoji15]

Nilikuwa la sita kipindi hicho tukitoka tuisheni anapiga mziki pale B bar, then ndo nikamwona hiyo mitaa ya white inn daily...kumbe hajahama?

Afu huwa nadhan ray yule mtoto wake na chuchu ndo huyo huyo kumbe anao kibaoo?[emoji848]
 
Mimi nilinunua kiwanja mwaka 2014 nikiwa na miaka 24 hapa Dar es salaam, hapa kitaa ndio nakaeneo kakubwa saizi kumejengeka majirani wanakazi yakutaka kuiba hataua mimi pia nipo nishajenga since 2016 nikiwa na umri wa 26 yrs, nikiwaona vijana wa miaka 24 hadi 28 naogopa sana,,,
Tutaaminije lete piga picha Hati yako ya nyumba
 
1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali


2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.


3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?


4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea


5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk

6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi

7.

Itaendelea
mijitu na umaarufu na mahelakibao hayajengi.Masikini mwenye kipato cha milioni3 kwa mwaka amejenga dah.
 
1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali


2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.


3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?


4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea


5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk

6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi

7.

Itaendelea
Tehetehe
 
Mkuu hadi sasa nyoshi sadaat anaishi white inn??[emoji15][emoji15][emoji15]

Nilikuwa la sita kipindi hicho tukitoka tuisheni anapiga mziki pale B bar, then ndo nikamwona hiyo mitaa ya white inn daily...kumbe hajahama?

Afu huwa nadhan ray yule mtoto wake na chuchu ndo huyo huyo kumbe anao kibaoo?[emoji848]
Bado yupo sinza white inn.Huu mji mdogo hakuna pa kwenda😂😂😂tunabanana hapa hapa mpaka Israel mtoa roho atakapofanya kazi yake iliyomleta hapa duniani

Enzi za B bar ikiwa kwenye peak ulikuwa la sita!?kumbe uzee Bado😂😂😂 kabisa,vipi lakini na wewe umeshajenga?
 
Bado yupo sinza white inn.Huu mji mdogo hakuna pa kwenda[emoji23][emoji23][emoji23]tunabanana hapa hapa mpaka Israel mtoa roho atakapofanya kazi yake iliyomleta hapa duniani

Enzi za B bar ikiwa kwenye peak ulikuwa la sita!?kumbe uzee Bado[emoji23][emoji23][emoji23] kabisa,vipi lakini na wewe umeshajenga?
Naishi kwa sista angu sinza mori nagombania remote na ugali wa shem!
 
Back
Top Bottom