EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
Hii ndio orodha ya watanzania wanaofaa kushika nafasi za ukurugenzi TPDC.
Mimi naanza na hawa wawili
1. JAMES MATARAGIO
2. JACKSON DULLE
Huyu bwana hii ndio CV yake, na sina hakika kama Tanzania wanaweza kumlipa.
Namempendekeza huyu bwana kwasababu ana exposure na makampuni ya kimataifa, anauzoefu kwa kufanya kazi na makampuni ya kimataifa ya mafuta na gesi.
Kama una jina lingine liweke kwenye hii list
2.
3..............
Endeleza list hapo
Mimi naanza na hawa wawili
1. JAMES MATARAGIO
2. JACKSON DULLE
Huyu bwana hii ndio CV yake, na sina hakika kama Tanzania wanaweza kumlipa.
Namempendekeza huyu bwana kwasababu ana exposure na makampuni ya kimataifa, anauzoefu kwa kufanya kazi na makampuni ya kimataifa ya mafuta na gesi.
Kama una jina lingine liweke kwenye hii list
2.
3..............
Endeleza list hapo