Orodha ya watanzania wanaofaa kushika nafasi ya ukurugenzi TPDC

Orodha ya watanzania wanaofaa kushika nafasi ya ukurugenzi TPDC

Kafanya sehemu nyingi tofauti kazi moja tu ya Humani Resource hakuna kitu hapo hata hiyo IT yake ni system ya human Resouce tu sawa tu na system za IT za human Resource Systems

kwa hiyo.messenger akifanya kazi kampuni mbalimbali za ulaya za mafuta na gesi afaa kuwa mkurugenzi mkuu wa TPDC?
wewe inaoneka ni mtu mbishi sana mkuu, ngoja tuwaache wengine wapendekeze majina yao. Naona uelewa wako ni mdogo na hujui madhumuni ya huu uzi.
 
Naona CV yake nzuri mno na ana exposure kubwa pia kafanya sehemu tofauti tofauti,
Hakuna CV ya maana hapo huyo ni mtu mdogo tu wa HR

Wazu gu akikupa bidhaa utembeze kama machinga cheo atakachokupa iñi ujisikie vizuri atakuita Sales Executive!!! hayo majina ya Lead Consultant kwenye CV ni nonsense ni mtu mdogo sana kwenye kampuni tena mdogo sana kwenye kitengo cha HR cha kampuni
 
Umtoe Matarajio.umpe HR ? hiyo CV mbona ndogo mno hiyo Ni mtu tu wa kawaida wa HR hata hapa ma HR kama yeye wako kibao kampuni za kimataifa zilizoko nchini zikiwemo kama za Delloite nk
Nashangaa kuna watu wanasifia eti cv nzuri Sana..

Business analyst au Payroll/HR iT consultant kimsingi ni KARANI, hana caliber yoyote ya u-DG.
 
Sijajua ila kuna mzee mmoka yuko UDSM pale geology anafundisha petroleum geology Kwa contract nafikiri kamasijaakosea anaitwa KAGYA.

1.Amefanya kazi za mafuta zaid ya 19 year kwenye mashirika ya nje ya mafuta ikiwemo exploration

2. Ni mzoefu na amefanya kazi hapo TPDC so anaifahamu vizur industry ya mafuta

3. Exploration za maguta na gas kwa Tanzania miaka yote ya hivi karibuni amekuwa akizifanya yeye pamoja na team nzima ya TPDC
3. Hana makuu nafikir TPDC wanamuitaga proffesor kama sikosei ila ngoja nitafute CV yake niilete.
 
wewe inaoneka ni mtu mbishi sana mkuu, ngoja tuwaache wengine wapendekeze majina yao. Naona uelewa wako ni mdogo na hujui madhumuni ya huu uzi.
Kuwa sinjui HR ni mtu wa aina gani na system ya HR siijui? ukiwa nje ukakesha kuandika ki CV chako huku na sisi tunajua .Mleta mada hiyo Ni HR tena junior officer
 
Hakuna CV ya maana hapo huyo ni mtu mdogo tu wa HR

Wazu gu akikupa bidhaa utembeze kama machinga cheo atakachokupa iñi ujisikie vizuri atakuita Sales Executive!!! hayo majina ya Lead Consultant kwenye CV ni nonsense ni mtu mdogo sana kwenye kampuni tena mdogo sana kwenye kitengo cha HR cha kampuni
Vipi huyo mataragio akiondoka duniani Ina maana wengine wasitaftwe ku replace I do believe mtu akikaa sehemu moja ubunifu unapungua sana
 
Hu
Sijajua ila kuna mzee mmoka yuko UDSM pale geology anafundisha petroleum geology Kwa contract nafikiri kamasijaakosea anaitwa KAGYA.

1.Amefanya kazi za mafuta zaid ya 19 year kwenye mashirika ya nje ya mafuta ikiwemo exploration

2. Ni mzoefu na amefanya kazi hapo TPDC so anaifahamu vizur industry ya mafuta

3. Exploration za maguta na gas kwa Tanzania miaka yote ya hivi karibuni amekuwa akizifanya yeye pamoja na team nzima ya TPDC
3. Hana makuu nafikir TPDC wanamuitaga proffesor kama sikosei ila ngoja nitafute CV yake niilete.
Huyu mzee ni kweli namjua yupo vizuri sana.

Screenshot_20210405_154949.jpg


Screenshot_20210405_154921.jpg
 
Nashangaa kuna watu wanasifia eti cv nzuri Sana..

Business analyst au Payroll/HR iT consultant kimsingi ni KARANI, hana caliber yoyote ya u-DG.
Labda atakuwa mtani wangu mhaya kwa kutengeneza CV za kujidai hawajambo.Ukimuliza unaishi wapi mfano anaishi manzese uswahili atakujibu naishi wilaya ya kinondoni karibu na chuo kikuu cha Dar esalaam alipo Profesa Mukandala
Kwa kuwa manzese ni jirani na chuo kikuu inabidi umnyamazie huo utambulisho wake lakini unabaki kulizomea liongo hilo linaishi manzese

Hiyo CV kaiandika kwa misingi hiyo
 
Vipi huyo mataragio akiondoka duniani Ina maana wengine wasitaftwe ku replace I do believe mtu akikaa sehemu moja ubunifu unapungua sana
Mbowe mbona kakaa sana Chadema na hamjamuondoa
 
Labda atakuwa mtani wangu mhaya kwa kutengeneza CV za kujidai hawajambo.Ukimuliza unaishi wapi mfano anaishi manzese uswahili atakujibu naishi wilaya ya kinondoni karibu na chuo kikuu cha Dar esalaam alipo Profesa Mukandala
Kwa kuwa manzese ni jirani na chuo kikuu inabidi umnyamazie huo utambulisho wake lakini unabaki kulizomea liongo hilo linaishi manzese

Hiyo CV kaiandika kwa misingi hiyo
Pendekeza jina acha maneno mengi mkuu, ndio lengo la huu uzi sio majungu mbona mnakuwa kama wajinga fulani hivi kwani lengo la uzi ni kusemana au kupendekeza jina.
Wewe huyo mtu unamfahamu, unaweza kumlipa huyo mtu?
 
Sijajua ila kuna mzee mmoka yuko UDSM pale geology anafundisha petroleum geology Kwa contract nafikiri kamasijaakosea anaitwa KAGYA.

1.Amefanya kazi za mafuta zaid ya 19 year kwenye mashirika ya nje ya mafuta ikiwemo exploration

2. Ni mzoefu na amefanya kazi hapo TPDC so anaifahamu vizur industry ya mafuta

3. Exploration za maguta na gas kwa Tanzania miaka yote ya hivi karibuni amekuwa akizifanya yeye pamoja na team nzima ya TPDC
3. Hana makuu nafikir TPDC wanamuitaga proffesor kama sikosei ila ngoja nitafute CV yake niilete.
Mtu kama huyo I agree sio mwesigwa. TPDC lazima ipate mtu anaeijua vizuri sekta hiyo na kwa vile sekta bado changa inalazimu huyo mtu awe na background ya mafuta na gas. Mtu kama huyo anaijua vizuri sekta.

Yaani jana kuona eti mwesigwa ndio anaenda kumreplace Matajagio nilisikia tumbo la kuhara kabisa. Niliona mama hayuko serious kabisa na nchi yetu.
 
Pendekeza jina acha maneno mengi mkuu, ndio lengo la huu uzi sio majungu mbona mnakuwa kama wajinga fulani hivi kwani lengo la uzi ni kusemana au kupendekeza jina.
Wewe huyo mtu unamfahamu, unaweza kumlipa huyo mtu?

Matarajio anatisha CV yake hii hapa huwrzi li ganisha na huyo HR tena junior lowest level aliko

Wasifu(CV) wa Dkt. James Mataragio


Bell Geospace geoscientist Director General of TPDC

Bell Geospace has announced that one of their valued geoscientists, Dr James Mataragio has been appointed to the post of Director General of the Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) by President Jakaya, effective 15th December 2014. During his tenure at Bell Geospace, Dr Mataragio has been exposed to a variety of mineralisation and hydrocarbon projects, which have contributed to the skill set and experience required by TPDC for the role of Director General.

The appointment of Dr Mataragio, who has worked for Bell Geospace since 2004, was announced in a statement issued by Chief Secretary, Ambassador Ombeni Sefue, adding that Dr Mataragio is among a few experts in minerals, oil and natural gas in diaspora who volunteered advice to the government on development of the sector. The chief secretary further said the president was optimistic that Dr Mataragio will use his education, experience and expertise to overhaul TPDC to become a real development engine and take the nation’s economy to new heights.

In his ten years with Bell Geospace, Dr Mataragio has worked with a number of major international oil and gas firms, including Petrobras (Brazil); BP; Anadarko; Pitkin (Philippines and Peru); Tullow Oil; Pemex (Mexico); ANP (Brazil), Ecopetrol (Colombia); Petronas (Malaysia) and Vale Rio Doce.

Scott Hammond, CEO of Bell Geospace, says “While we will be sad to lose such a valued member of our geoscience team, we are delighted that James is going on to such an important role in the future of petroleum development in Tanzania, and this appointment is a tribute to the sterling work that he has done, both for Bell Geospace and prior to studying for a PhD his work in Tanzania for Anglo Gold and Anglo American. We will be following his progress with great interest, and are sure that he will bring a breadth of skill and experience to this role that will ensure that TPDC has a significant impact on exploration and production in Tanzania”
 
Matarajio anatisha CV yake hii hapa huwrzi li ganisha na huyo HR tena junior lowest level aliko

Wasifu(CV) wa Dkt. James Mataragio


Bell Geospace geoscientist Director General of TPDC

Bell Geospace has announced that one of their valued geoscientists, Dr James Mataragio has been appointed to the post of Director General of the Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) by President Jakaya, effective 15th December 2014. During his tenure at Bell Geospace, Dr Mataragio has been exposed to a variety of mineralisation and hydrocarbon projects, which have contributed to the skill set and experience required by TPDC for the role of Director General.

The appointment of Dr Mataragio, who has worked for Bell Geospace since 2004, was announced in a statement issued by Chief Secretary, Ambassador Ombeni Sefue, adding that Dr Mataragio is among a few experts in minerals, oil and natural gas in diaspora who volunteered advice to the government on development of the sector. The chief secretary further said the president was optimistic that Dr Mataragio will use his education, experience and expertise to overhaul TPDC to become a real development engine and take the nation’s economy to new heights.

In his ten years with Bell Geospace, Dr Mataragio has worked with a number of major international oil and gas firms, including Petrobras (Brazil); BP; Anadarko; Pitkin (Philippines and Peru); Tullow Oil; Pemex (Mexico); ANP (Brazil), Ecopetrol (Colombia); Petronas (Malaysia) and Vale Rio Doce.

Scott Hammond, CEO of Bell Geospace, says “While we will be sad to lose such a valued member of our geoscience team, we are delighted that James is going on to such an important role in the future of petroleum development in Tanzania, and this appointment is a tribute to the sterling work that he has done, both for Bell Geospace and prior to studying for a PhD his work in Tanzania for Anglo Gold and Anglo American. We will be following his progress with great interest, and are sure that he will bring a breadth of skill and experience to this role that will ensure that TPDC has a significant impact on exploration and production in Tanzania”
Sasa mataragio mfano akafa nani atakaye mrithi mkuu? hili ndio lengo la huu uzi. Na ndio sababu nakusisitiza upendekeze jina lingine
 
Back
Top Bottom