EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
- Thread starter
- #21
Ni kweli hana shida, nahitaji tuwe na majina kabisa kwaajili ya baadaye.So far sijaona shida ya Mataragio. Kikubwa apewe uhuru kufanya utaalamu wake ili tuone matunda yake kwenye shirika