EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
mkuu CV yake vipiHamis Kibola..
on the futureKwani nafasi ipo wazi hadi utoe mapendekezo?
Mkuu unaweza kuweka na CV yakeSomebody Mafuru
Wapo wengi tu, Ila Mimi nimependekeza huyo mmoja kama unamjua mwingine pendekeza jina hapoMwingine?
Tunawatanzania kibao wengi wapo nchi za nje huko wanaweza kuleta exposure katika taifa letuDah CV yake ni nzuri Sana, bora apewe huyo aonyeshe ubunifu wake huyo mataragio apumzike
Ndio maana nikasema tupendekeze majina ili tuwe na list ya majina kabisa.Kuna kitu hujaelewa, gas na mafuta yanataka mtu anaeielewa hiyo sector kwanza, namaanisha hii sekta bado ni changa hapa kwetu hivyo lazima kwa sasa anaeteuliwa awe na background ya mafuta ama gas ama hata geology.
Hiyo ni kwa sababu bado sera nyingi zinatakiwa kutungwa na hivyo lazima awe ni mtu anaejua hiyo sekta kishule na kikazi.
Kuleta tu mtu kisa kafanya kazi na makampuni ya mafuta haitaleta mabadiliko yoyote na wala haitasaidia.
Aliyepo ni jembe. Anatosha kwa sasa!Hii ndio orodha ya watanzania wanaofaa kushika nafasi za ukurugenzi TPDC.
Mimi naanza na huyu bwana anaitwa
1. JACKSON DULLE
View attachment 1743847
View attachment 1743848
View attachment 1743851
View attachment 1743852
View attachment 1743853
Namempendekeza huyu bwana kwasababu ana exposure na makampuni ya kimataifa, anauzoefu kwa kufanya kazi na makampuni ya kimataifa ya mafuta na gesi.
Kama una jina lingine liweke kwenye hii list
2.
3..............
Endeleza list hapo
mkuu CV yake vipi
mwanasherimzeeHamis Kibola..
So far sijaona shida ya Mataragio. Kikubwa apewe uhuru kufanya utaalamu wake ili tuone matunda yake kwenye shirika