Orodha ya watu wanaojiona wajanja nchi hii

Orodha ya watu wanaojiona wajanja nchi hii

Ukiona au kuhisi fulani anajiona ni mjanja maana yake wewe bado ni mshamba... Kwahio jitahid utoke ktk huo ushamba...
 
😀😀

Mimi sijionagi mjanja.
Sema Nina mtazamo wa Kupenda mjadala
Na nyinyi Machalii wa Arusha huwa mnajiona wagumu sana! Mnajifanya nyinyi ni watu wa kurap tu na kufokafoka kwenye miziki yenu! Hamtaki kabisa kuimba kwa kubana pua kama Z Anto!

Halafu wengine mnajiona wajanja mkiwa mmefuga rasta! Kumbe watoto wa mama tu.
 
Hapo kwenye jf itoe weka watumiaji wa Twitter,yaan haoni kwanza ukichangia uzi wowote ili waweze kureply wanacheki kwanza umejoin lin,

NB,Kuna mdau hapo juu mbona hujamjibu?,ameuliza siku hizi mbona huweki no zako za sim kama enzi za jiwe
 
Hujawajua wafanyakaz wa Uhamiaj wew.. au maafisa wa bank wa crdb au nmb.. na wafanyakaz wa voda au tigo.. maanina zao
 
Kundi jingine ni aina ya waandishi wa maisha ya watu kama wewe...
 
Wenye misambwanda
Wenye tumbo flat
wenye dushe kubwa
waliotoka nje ya nchi
wanaojua kidhungu Cha kunywea maji
wenye kitovu mzamo ndani
wenye papuchi nene kama kitumbua
wanaume wenye kifua chenye chuchu mvimbo
wenye uwezo wa kupiga denda mpaka manzi akaloa(Kuna denda tamu wajamen duu🙌)
 
13.Wapiga vinanda kanisani

Wao hudhani bila uwepo wao kanisani,miss haiwezi kuendelea.wanapenda kubenmbelezwa

14.Wenye nyumba

Huwanona wapangaji Kama nyani tu

15.wamiliki Toyota crown

Wanaweza kuvimbiana hata na trekta wakiwa barabarani.Hujiona km wanaendesha ndege
Number 15 [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom