Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni TAKATAKA, haistahili kujadiliwa na wanjukwaa hili. Peleka Facebook. Too low🤣
Na nyinyi Machalii wa Arusha huwa mnajiona wagumu sana! Mnajifanya nyinyi ni watu wa kurap tu na kufokafoka kwenye miziki yenu! Hamtaki kabisa kuimba kwa kubana pua kama Z Anto!😀😀
Mimi sijionagi mjanja.
Sema Nina mtazamo wa Kupenda mjadala
Toka Magufuli afe na kuzikwa jamaa ghafla akaacha kuweka namba zake za simu kila akianzisha thread. Mleta mada alijipanga kimchongo sana kuutafuta uchawa.Siku hizi huweki namba Tena.... anyway Wacha maisha yaendelee
Ukivaa jezi ya Yanga lazima ujione mjanja! Maana unakuwa ni mwananchi uliyekamilika.Wanaovaa jezi za Yanga.
HahahaToka Magufuli afe na kuzikwa jamaa ghafla akaacha kuweka namba zake za simu kila akianzisha thread. Mleta mada alijipanga kimchongo sana kuutafuta uchawa.
Number 15 [emoji23][emoji23][emoji23]13.Wapiga vinanda kanisani
Wao hudhani bila uwepo wao kanisani,miss haiwezi kuendelea.wanapenda kubenmbelezwa
14.Wenye nyumba
Huwanona wapangaji Kama nyani tu
15.wamiliki Toyota crown
Wanaweza kuvimbiana hata na trekta wakiwa barabarani.Hujiona km wanaendesha ndege