Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Hi..
Kama wewe ni mpenzi wa kusoma vitabu au stori mbalimbali itakua kuna watunzi utakua unawakubali, kuna watu wamejaliwa vipaji sana humu duniani yaani ukisoma kitu unajiuliza alifanyaje hadi akatunga kitu kama hiki. Unakuta stori imepangwa ikapangika akili kubwa imetumika. Binafsi hii ndio orodha ya watunzi na waandishi wa stori ninao wakubali zaidi katika historia yangu ya kusoma soma vitu (Fasihi andishi)
Comics za Iron man zimetungwa miaka ya 1950 teknolojia ya Artificial Intelligence haijawa official known lakini jamaa alitunga kama vile ni stori za miaka ya sasa teknolojia ikiwa kubwa. Japo kwenye mythology wanatambua kulikua kuna mungu anaitwa thor ila jamaa stori ya thor sijui aliiweka vipi yaani. Kiufupi jamaa alikua genius sana sioni Mwingine zaidi yake kama nikiwatoa Luka na Paulo.
Wa mwisho naomba nimuweke Rick Warren kaandika kitabu cha Purpose driven to life. Alijitahidi sana. Ni hicho tu na penda toka kwake na pia Dan Brown alijitahidi sana na Novel zake.
Je wewe waandishi wapi unawakubali zaidi?
Kama wewe ni mpenzi wa kusoma vitabu au stori mbalimbali itakua kuna watunzi utakua unawakubali, kuna watu wamejaliwa vipaji sana humu duniani yaani ukisoma kitu unajiuliza alifanyaje hadi akatunga kitu kama hiki. Unakuta stori imepangwa ikapangika akili kubwa imetumika. Binafsi hii ndio orodha ya watunzi na waandishi wa stori ninao wakubali zaidi katika historia yangu ya kusoma soma vitu (Fasihi andishi)
- Paulo the Apostle
- Luke the Evangelist
- Stan Lee
Comics za Iron man zimetungwa miaka ya 1950 teknolojia ya Artificial Intelligence haijawa official known lakini jamaa alitunga kama vile ni stori za miaka ya sasa teknolojia ikiwa kubwa. Japo kwenye mythology wanatambua kulikua kuna mungu anaitwa thor ila jamaa stori ya thor sijui aliiweka vipi yaani. Kiufupi jamaa alikua genius sana sioni Mwingine zaidi yake kama nikiwatoa Luka na Paulo.
- Paul T. Scheuring
- Raymond Marshall
- William Shakespare
Wa mwisho naomba nimuweke Rick Warren kaandika kitabu cha Purpose driven to life. Alijitahidi sana. Ni hicho tu na penda toka kwake na pia Dan Brown alijitahidi sana na Novel zake.
Je wewe waandishi wapi unawakubali zaidi?