Orodha yangu ya waandishi wa vitabu na watunzi wa stori..

Orodha yangu ya waandishi wa vitabu na watunzi wa stori..

Kuhusu shakespear kuna Nadharia nyingi sana. Kuna conspiracy theory moja inasema kua Williams stories zake zote alikua anaandikiwa na mama mmoja mtumwa mweusi. So willy hakutunga lolote aliweka jina lake tu..
Wengi wanaamini hivyo..
 

  • William Shakespare
Huyu baharia yeye aliishi karne ya 16 huko, ila katunga novel na Mashairi mengi sana..wanasema hakua na elimu kubwa ila alikua anaandika vitu ambavyo kwa mtu kama yeye hawakuelewa alikua anavitoa wapi. Wengine wanasema alikua anatumika na watu ili kuandika vitu anavyoambiwa aandike. Ila ukweli utabaki pale pale kua alikua mtu smart sana. He is my role model.


Je wewe waandishi wapi unawakubali zaidi?
William Shakespare ndiye mwandishi ninaye mkubari kuliko wote. Kwanza alikuwa anajua psychology, medicine, sheria, uongozi, mbinu za kivita, lugha, geography n.k.
Jamaa vitabu vyake vimejumuisha haya yote wakati hakuwa kasoma alikuwa fundi seremala.
Hata angekuwa kasoma haya yote aaliyafahamu vipi na hakuwa anasafiri sana lakni alikuwa anaandika hadi mambo yanayohusiana nchi za mbali.
Ndiye mwandishi anayeongoza kutumia misamiati kwenye uandishi wake.
 
Kuna kitabu niliwahi soma mwaka 2002 kiliitwa mwalimu mkuu wa watu. Nilishamsahau mwandishi jina lake, na ninatamani nipate hata softcopy yake.
 
Paula Paul
Basi itakua mtu namba 5 hukumjua
Nilikuta umeomba huu uzi ufutwe hivo sikusoma.
Jina lake ni René Lodge Brabazon Raymond, almaarufu kama J. H. Chase.
Hayo mengine ni pen name tuu hivo ni ngumu kuyatumia kama utambulisho wake.
Hivi amelitumia kwenye vitabu gani?
 
Nilikuta umeomba huu uzi ufutwe hivo sikusoma.
Jina lake ni René Lodge Brabazon Raymond, almaarufu kama J. H. Chase.
Hayo mengine ni pen name tuu hivo ni ngumu kuyatumia kama utambulisho wake.
Hivi amelitumia kwenye vitabu gani?
Ila Rene ndio jina lake la kuzaliwa..sidhani kama kuna kazi yake kajitambulisha kama Ray au lolote alilonalo..
Nilijua nimekosea kuandika
 
Kwa hapa tanzania nawakubali waandishi hawa..
  1. Ben Mtobwa (nimesoma karibu vitabu vyote)
  2. Kevin Mponda (simulizi zake zipo humu)
  3. The Bold (Mwana Jf)
  4. Mwandishi wa simulizi za Will Gamba
Hao uliowataja ni wale wa Riwaya pendwa.Lakini Kuna wengi waliofanya kazi za kuheshimika.Kila kitu Wazungu tu.Pitia Basi Babu alipofufuka,Kichwa maji,Siku ya watenzi wote,Siri ya sifuri na nyinginezo huwe mzalendo basi.Da'vinci na Uzungu.
 
Nimeshapiga vya John grisham, Nick Carter, Elvis Musiba, Ben mtobwa, alfu lela ulela, shaaban Robert, (kusadikika, kufikirika, adili na nduguze) na vingine kibao ikiwemo series za Harry Potter (prisoner of azkaban, goblet of fire, chamber of secrets)

kwa kweli niko vizuri
 
Nimeshapiga vya John grisham, Nick Carter, Elvis Musiba, Ben mtobwa, alfu lela ulela, shaaban Robert, (kusadikika, kufikirika, adili na nduguze) na vingine kibao ikiwemo series za Harry Potter (prisoner of azkaban, goblet of fire, chamber of secrets)

kwa kweli niko vizuri
Uko vizuri mkuu ila vutabu vya alfu lela ulela vilinishinda kusoma maana vinakiswahili kigumu sana..
 
Back
Top Bottom