Orodha yangu ya waandishi wa vitabu na watunzi wa stori..

Orodha yangu ya waandishi wa vitabu na watunzi wa stori..

Huyu Hadley Chase alikuwa mbaguzi sana anavyoa address waafrika kwenye vitabu vyake kama takataka ila naenda sana novels zake nimesoma novel 90.
Kama kwenye "This Is for Real" and "Have This One On Me" katika enzi za vita baridi kati ya USA na USSR. Kulikua na scene ya Senegal walipokutana Malik( a Russian) na Mark Giland(an American), jamaa Mrusi alikua anaua Waafrika eti kwa sababu msafara wao uliokua na Waafrika waongoza njia umeishiwa maji ya kunywa jangwani!
 
Kutwa nzima unashinda kwenye social media kuisifia ccm unafikiri huo muda wa kuandika utautoa wapi!?
Na mimi natamani sana kutunga kitabu, sema kupata muda ndiyo imekuwa changamoto
 
Naanza nyumbani
Ben mtobwa
Elvis musiba
Hussein Issa Tuwa
Keizarahabi
Shaban robert
Na ganzel

Tafsiri za kiswahili
Mkuki na nyota na wengine nawashukuru kwa kazi kama
Kisiwa chenye hazina-treasure island
Mashimo ya mfalme suleimani na hadithi zote za allan quarterman
Arabian night story zote-alfu lela ulela +

Kwa mabeberu
Novel
Sidney sheldon
Dan brown
James haldey chase
Jane k lowling
J.R.R Torkien
 
Code zangu Leonard da Vinci upeo wenu mdogo is not easy to convince me..Nikki mbishi.
 
Back
Top Bottom