Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Abee nipo hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abee nipo hapa
OA kijana shauri YakoHints za Mapishi sie Mabachela 🤩🤩🤩
UnastahiliAbee nipo hapa
Kwani mkuu vocha nilikua nagaiwa peke angu..Binadam bwana ina mana hata aliekuwa anawagea vocha kina Poor Brain hafai kuwepo hapo?
😂😂😂😂😂 Kalaga baho ujiheshimu hata kidogoBinadam bwana ina mana hata aliekuwa anawagea vocha kina Poor Brain hafai kuwepo hapo?
Nimesahau kuweka et al mana mm nakukumbuka wewe tuKwani mkuu vocha nilikua nagaiwa peke angu..
Kwani mkuu mimi ndo kiongozi mpaka umeni tag hapo
Kwani mkuu kusema ujawaona kina Mbaga Jr na mwenzake Vincenzo Jr
Mi sijapenda 😂😂😂😂😂😂😂
Unaendeleaje mkuuMaxence Melo ebu njoo ujibu huu ukwale hapa..🤨
Huyu Advocate Pascal Mayala hata kwenye jamii inayomzunguka huwa anashiriki kila kitu (misiba +chaguzi)Wakuu !
JamiiForums kwa upande wangu hasa mwaka huu 2024 imekuwa ni msaada mkubwa sana katika mambo yangu mbalimbali.
Ninaelekea kutimiza miaka 14 ndani ya huu mtandao na ninaweza kusema mwaka huu wa 2024 nimekuwa ni mtumiaji sana wa huu mtandao kupata habari na connections mbalimbali ili kujenga na kuboresha maisha yangu.
Mtandao wa JamiiForums una wanachama wa kila aina ni vile tu kumekuwa na matumizi ya majina yasiyo kuwa halisi. Pamoja na hivyo nimepata kujuana na kufahamiana na watu mbalimbali pasipo hata kuonana nao ana kwa ana lakini michango yako ya mawazo imenifanya niwe ni mtu mwenye kusoma mawazo yao na kuyafanyia kazi. Napata kuelimika, kuburudika na msaada mbalimbali wa mambo ambayo hata nilikuwa sina ufahamu nayo.
Ifuatayo ni orodha ya Wanachama 10 bora zaidi kwangu kwa mwaka huu. Nitaorodhesha tu majina pasipo kutoa sababu lakini michango yao ya mawazo, utu wao, hekima zao na mitazamo yao imekuwa ni faida kubwa sana.
1. Mshana Jr
2. Robert Heriel Mtibeli
3. DR HAYA LAND
4. The MoNA
5. Aaliyyah
6. Captain Marvelous
7. Pascal Mayalla
8. Elton Tonny
9. Greatest Of All Time
10. raraa reree
Bonus: Cute Wife 🌹🌹🥀🌺🌺
Wanachama wote ni bora lakini hii orodha ya hawa Wanachama kwangu imekuwa ni bora zaidi.
Asanteni sana. Ninawasilisha 🙏
Wakongwe wa kaz mmetusahau watu tupo kitambo tangu 2010 enz za chacha wangwe na dr slaaWakuu !
JamiiForums kwa upande wangu hasa mwaka huu 2024 imekuwa ni msaada mkubwa sana katika mambo yangu mbalimbali.
Ninaelekea kutimiza miaka 14 ndani ya huu mtandao na ninaweza kusema mwaka huu wa 2024 nimekuwa ni mtumiaji sana wa huu mtandao kupata habari na connections mbalimbali ili kujenga na kuboresha maisha yangu.
Mtandao wa JamiiForums una wanachama wa kila aina ni vile tu kumekuwa na matumizi ya majina yasiyo kuwa halisi. Pamoja na hivyo nimepata kujuana na kufahamiana na watu mbalimbali pasipo hata kuonana nao ana kwa ana lakini michango yako ya mawazo imenifanya niwe ni mtu mwenye kusoma mawazo yao na kuyafanyia kazi. Napata kuelimika, kuburudika na msaada mbalimbali wa mambo ambayo hata nilikuwa sina ufahamu nayo.
Ifuatayo ni orodha ya Wanachama 10 bora zaidi kwangu kwa mwaka huu. Nitaorodhesha tu majina pasipo kutoa sababu lakini michango yao ya mawazo, utu wao, hekima zao na mitazamo yao imekuwa ni faida kubwa sana.
1. Mshana Jr
2. Robert Heriel Mtibeli
3. DR HAYA LAND
4. The MoNA
5. Aaliyyah
6. Captain Marvelous
7. Pascal Mayalla
8. Elton Tonny
9. Greatest Of All Time
10. raraa reree
Bonus: Cute Wife 🌹🌹🥀🌺🌺
Wanachama wote ni bora lakini hii orodha ya hawa Wanachama kwangu imekuwa ni bora zaidi.
Asanteni sana. Ninawasilisha 🙏
Wakuu !
JamiiForums kwa upande wangu hasa mwaka huu 2024 imekuwa ni msaada mkubwa sana katika mambo yangu mbalimbali.
Ninaelekea kutimiza miaka 14 ndani ya huu mtandao na ninaweza kusema mwaka huu wa 2024 nimekuwa ni mtumiaji sana wa huu mtandao kupata habari na connections mbalimbali ili kujenga na kuboresha maisha yangu.
Mtandao wa JamiiForums una wanachama wa kila aina ni vile tu kumekuwa na matumizi ya majina yasiyo kuwa halisi. Pamoja na hivyo nimepata kujuana na kufahamiana na watu mbalimbali pasipo hata kuonana nao ana kwa ana lakini michango yako ya mawazo imenifanya niwe ni mtu mwenye kusoma mawazo yao na kuyafanyia kazi. Napata kuelimika, kuburudika na msaada mbalimbali wa mambo ambayo hata nilikuwa sina ufahamu nayo.
Ifuatayo ni orodha ya Wanachama 10 bora zaidi kwangu kwa mwaka huu. Nitaorodhesha tu majina pasipo kutoa sababu lakini michango yao ya mawazo, utu wao, hekima zao na mitazamo yao imekuwa ni faida kubwa sana.
1. Mshana Jr
2. Robert Heriel Mtibeli
3. DR HAYA LAND
4. The MoNA
5. Aaliyyah
6. Captain Marvelous
7. Pascal Mayalla
8. Elton Tonny
9. Greatest Of All Time
10. raraa reree
Bonus: Cute Wife 🌹🌹🥀🌺🌺
Wanachama wote ni bora lakini hii orodha ya hawa Wanachama kwangu imekuwa ni bora zaidi.
Asanteni sana. Ninawasilisha 🙏
Wakuu !
JamiiForums kwa upande wangu hasa mwaka huu 2024 imekuwa ni msaada mkubwa sana katika mambo yangu mbalimbali.
Ninaelekea kutimiza miaka 14 ndani ya huu mtandao na ninaweza kusema mwaka huu wa 2024 nimekuwa ni mtumiaji sana wa huu mtandao kupata habari na connections mbalimbali ili kujenga na kuboresha maisha yangu.
Mtandao wa JamiiForums una wanachama wa kila aina ni vile tu kumekuwa na matumizi ya majina yasiyo kuwa halisi. Pamoja na hivyo nimepata kujuana na kufahamiana na watu mbalimbali pasipo hata kuonana nao ana kwa ana lakini michango yako ya mawazo imenifanya niwe ni mtu mwenye kusoma mawazo yao na kuyafanyia kazi. Napata kuelimika, kuburudika na msaada mbalimbali wa mambo ambayo hata nilikuwa sina ufahamu nayo.
Ifuatayo ni orodha ya Wanachama 10 bora zaidi kwangu kwa mwaka huu. Nitaorodhesha tu majina pasipo kutoa sababu lakini michango yao ya mawazo, utu wao, hekima zao na mitazamo yao imekuwa ni faida kubwa sana.
1. Mshana Jr
2. Robert Heriel Mtibeli
3. DR HAYA LAND
4. The MoNA
5. Aaliyyah
6. Captain Marvelous
7. Pascal Mayalla
8. Elton Tonny
9. Greatest Of All Time
10. raraa reree
Bonus: Cute Wife 🌹🌹🥀🌺🌺
Wanachama wote ni bora lakini hii orodha ya hawa Wanachama kwangu imekuwa ni bora zaidi.
Asanteni sana. Ninawasilisha 🙏
Infact naihusudu sana JF,Kada una roho mbaya na husda wewe Kama mkuu wako.